mbotoro kivoi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,993
- 2,941
Bila picha itakuwa Kam chaiWa Salaam ndugu.kuna hawa waarabu wanapita na magari mashuleni. Wameniuzia home Thearte ya watts 210 ila napenda kujua tofauti ya Sound Bar na Home Theatre.
Walinianzia 550,000 ila wakanipa kwa 500,000. Niliipenda ilivyo.