Nini Tofauti ya Home Theatre na Sond Bar?

Nini Tofauti ya Home Theatre na Sond Bar?

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,782
Wa Salaam ndugu.kuna hawa waarabu wanapita na magari mashuleni. Wameniuzia home Thearte ya watts 210 ila napenda kujua tofauti ya Sound Bar na Home Theatre.
Walinianzia 550,000 ila wakanipa kwa 500,000. Niliipenda ilivyo.
 
Nje ya mada hao waarabu koko sijui waturuki wanaowauzia vitu kwa kupitisha kwenye magari wanawapiga mnooo na watu mmejaa uvivu
Najua wana bei ila niliipenda kaka ilivyo, mana hapo mjini ndogo yake niliona juzi wanauza 400,000
 
20250722_152648.jpg
20250722_152636.jpg
 
Wa Salaam ndugu.kuna hawa waarabu wanapita na magari mashuleni. Wameniuzia home Thearte ya watts 210 ila napenda kujua tofauti ya Sound Bar na Home Theatre.
Walinianzia 550,000 ila wakanipa kwa 500,000. Niliipenda ilivyo.
Dukani ukiongeza laki mbili unapata watt 1000 lg.Wamekupiga
 
Tofauti yake ni kuwa mmoja atatupatia ekari 5 kila kijana na mwingine ataanzisha ATM za wali nchi nzima
 
Wa Salaam ndugu.kuna hawa waarabu wanapita na magari mashuleni. Wameniuzia home Thearte ya watts 210 ila napenda kujua tofauti ya Sound Bar na Home Theatre.
Walinianzia 550,000 ila wakanipa kwa 500,000. Niliipenda ilivyo.
Home theatre mziki wake ni mzuri
 
Mishahara yetu midogo bila kukopa kidogo ni ngumu kukusanya mara nyingi kwa mkupuo. Kwa mkopo ni 600,000 miezi 5 ila nililipa Cash 500000 mana nilipenda ilivyo tu na sauti inanitosha mana sikodishi au mashindano
 
Back
Top Bottom