Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
Kama waliweza kuwafanyia umafia Mawaziri wa CCM wanaowapinga kwa ufisadi wao, watashindwa kwa chama cha upinzani na viongozi wao?
Tafakari!
Tafakari!
Hamna namna nyingine ya kujibu hoja bila kutokwa povu na matusi?Chris Lukosi hivi ukiambiwa wewe
Ni kati ya vijana wanaofikiria kwa kutumia makalio sio kwamba umetukanwa ila umeambiwa ukweli yaani Elimu yako ni kama haikusaidii kwani tunawasiwasi kwamba huko ulikuwa ukisoma au ulikuwa ukifanya kazi za ndani,au unapersonal issues na viongozi wa Chadema,
Kwa akili ndogo tu za mtu ambae hakwenda shule hauwezi kulinganisha Chadema na Utawala wa Amini kama kweli ni msomi yaani ni akili za kipumbavu huna tofauti na Juliana Shonza kwa kuwa yeye ni mwanamke lakini anakuzidi akili
Unachosema unakihoji na haujibiwi ni kipi yaani unayoyaandika hayakutofautishi na mpumbavu ambae hajaenda shule
Eleza moja unachokigombea na viongozi wa Chadema ni nini make utaonekana mpumbavu zaidi ya ulivyo sasa pamoja na kujiona mjanja,wewe unaongea ujinga sababu umekosa kazi sasa unataka kujipendekeza ili upewe cheo,ni fikra za kitoto kwa kufikiria kwamba utukane ili upewe cheo
Jiajiri tafuta kazi kukaa kwenye laptop mchana kutwa haitakusaidia kutoa matusi all the time
Usitake watu wakuamulie ujinga wako kwa kuongea upuuzi wako
Tumia elimu yako ili ujulikane kwamba ni educated person
Naamini hata yeye mwenyewe anapost huu upumbavu huku roho yake ikimsuta. Lukos kawa mtu waChris Lukosi hivi ukiambiwa wewe
Ni kati ya vijana wanaofikiria kwa kutumia makalio sio kwamba umetukanwa ila umeambiwa ukweli yaani Elimu yako ni kama haikusaidii kwani tunawasiwasi kwamba huko ulikuwa ukisoma au ulikuwa ukifanya kazi za ndani,au unapersonal issues na viongozi wa Chadema,
Kwa akili ndogo tu za mtu ambae hakwenda shule hauwezi kulinganisha Chadema na Utawala wa Amini kama kweli ni msomi yaani ni akili za kipumbavu huna tofauti na Juliana Shonza kwa kuwa yeye ni mwanamke lakini anakuzidi akili
Unachosema unakihoji na haujibiwi ni kipi yaani unayoyaandika hayakutofautishi na mpumbavu ambae hajaenda shule
Eleza moja unachokigombea na viongozi wa Chadema ni nini make utaonekana mpumbavu zaidi ya ulivyo sasa pamoja na kujiona mjanja,wewe unaongea ujinga sababu umekosa kazi sasa unataka kujipendekeza ili upewe cheo,ni fikra za kitoto kwa kufikiria kwamba utukane ili upewe cheo
Jiajiri tafuta kazi kukaa kwenye laptop mchana kutwa haitakusaidia kutoa matusi all the time
Usitake watu wakuamulie ujinga wako kwa kuongea upuuzi wako
Tumia elimu yako ili ujulikane kwamba ni educated person
Ugonjwa wako umefika mahali pa kuvua nguo sasa.
Chris Lukosi, hebu soma ushuhuda wa mawaziri ambao ni wanachama wa CCM jinsi ambavyo sauti yoyote inayojaribu kupinga ufisadi inavyozimwa kwa uovu mkubwa na nguvu za dola.
Kama una haraka soma pekundu tu.
Jiulize kwa nini jeshi la polisi halifanyii kazi matukio hayo ya Mwakyembe na Mwandosya?
Kuna watu wako kwa ajili ya kula nchi hii. Yeyote anayewasumbua, iwe chama au mtu binafsi anashughulikiwa. Hata kama ni mwana CCM mwenzao na waziri katika serikali yao.
Hawataki kuambiwa ukweli, na wewe umeanza kutumika kama chombo cha kuendeleza uovu huo.
Usinunuliwe kwa bei rahisi. Waulize Sitta, Mwakyembe, Mwandosya n.k.
Nadhani hapa umeona ulinganisho wako na utawala wa Idd Amin una ukweli fulani hapa nchini......
Wanaowaona chadema ni heroes ni wale ambao wanaamini au wameahidiwa nafasi wakishika dola,
Wengine ni brainwashed hopeless people tu
mkuu umepatia kabisa, sema mimi nilikua naufananisha na utawala wa dikteta musolin mwenyewe, karibia wamkutie Hitler mwenyewe lakini naona wanaelekea huko, maana washaanza ugaidi taratibu
Boss,
Mimi sio mtu wa kutumwa kama unavyofikiri, mimi najituma mwenyewe.
Ninachoeleza hapa ni kwa faida yako wewe na vijana wengine ambao mko brainwashed hamjui hatima yenu.
Ngoja nikuulize swali.
Umewahi kukopa hela za ruzuku ujikimu mahitaji yako?
Ha ha ha ha ah ah ha ha ha ha ha aaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!. Unajua leo nimekuwa na kazig nyingi sana wala sijapata muda wa kucheka namna hii tangu asubuhi. Ahsante sana. Umenitengenezea jioni njema.Mkuu ugonjwa wako umefika pabaya!
Nimekaa nimejiuliza maswali mengi kuhusu namna utawala wa CHADEMA ulivyo na nimeshindwa kuelewa.
Ndani ya CHADEMA ni dhambi kuhoji lolote baya likifanywa na wakuu wa chama
Ndani ya CHADEMA mgombea urais anachaguliwa na mtu mmoja tu
Ndani ya CHADEMA kuna kashfa nyingi sana ambazo ni marufuku kuzijadili wala kuhoji na ukuionekana unataka kudadisi basi utaitwa msaliti.
Tukumbuke kuwa kauli mbiu ya CHADEMA ni demokrasia huru na haki, Hivi wanelewa kweli maana ya demokrasia au wanaimba tu kama nyimbo za kizaire?
CHADEMA wananikumbusha Idd Amin wakati wa utawala wake Uganda, ilikuwa ukisema lolote baya dhidi yake basi hautachukua raundi kesho yake watatkukuta kama sio kwenye friji basi kando kando ya barabara umekufa.
Chadema wao wanapenda kuwanyooshea vidole CCM na kuwahimiza wafuasi wao ambao wame wa brainwash kuandamana kila kukicha na kufanya vurugu pale wanapopata cha kuongea wakati wao yakitokea kwao husema wamesingiziwa
Pia kuna jambo moja linalonitia mashaka hapa.
Hawa CHADEMA kila kukicha wanajenga chuki kati ya wananchi na polisi. Hii ina maana kuwa kama CHADEMA wakipewa dola basi polisi wote itabidi wafukuzwe na wataunda polisi mpya. unaandaa kuwafukuza walinzi wa usalama wenye mafunzo ya kijeshi matokeo yake unayajua???
Hii ni hatari sana kwani hawa watu wanweza kuja kuwa hatari kuliko hata Amin kwani sasa hawana dola ni huwezi kuwahoji, jee wakichukua nchi tutapona kweli?
Hii ndharia ya kutetea na kuficha madhambi ni hatari sana kwa taifa letu
Kwa tuliosoma tz ni wengi. Kuna ruzuku ya elimu na hadi sasa nadaiwa na loan board na nilijikimu kwelikweli.Boss,
Mimi sio mtu wa kutumwa kama unavyofikiri, mimi najituma mwenyewe.
Ninachoeleza hapa ni kwa faida yako wewe na vijana wengine ambao mko brainwashed hamjui hatima yenu.
Ngoja nikuulize swali.
Umewahi kukopa hela za ruzuku ujikimu mahitaji yako?
Wanaowaona chadema ni heroes ni wale ambao wanaamini au wameahidiwa nafasi wakishika dola,
Wengine ni brainwashed hopeless people tu
Usidharau kinywaji chetu cha asiliKumbe ukinywa mataputapu ndio unaongea hivi....aya bana..
Mataputapu at work......
Kuhusu Utawala wa Idd Amin na Uganda kwa mapana yake soma " GUARDIAN ANGEL " kilichoandikwa na Aliyekuwa Waziri katika Serikali ya Uganda.
Vita ya Kagera ilikuwa vita baina ya UKRISTO WA NYERERE NA KANISA LAKE na IDD AMIN NA UISLAM wake na ushahidi upo, Utafute vitabuni !