life is time
New Member
- Sep 2, 2026
- 2
- 2
Wakati wa michuano ya kombe la dunia niliota ndoto nikiwa navuta bangi na lionel messi, niliiwaza sana ndoto hii baada ya kuamka lakini sikuweza kupata maana yake .
Na kuna siku pia niliota ndoto kuwa diamond platnumz alikuja geto kwangu kunikopa 5000. Je hizi ndoto tafsiri yake ni nini au ni utabiri wa kuja kuwa mtu mkubwa sana hapo mbeleni.
Kwa wale wajuzi wa ndoto hebu nifumbulieni
Na kuna siku pia niliota ndoto kuwa diamond platnumz alikuja geto kwangu kunikopa 5000. Je hizi ndoto tafsiri yake ni nini au ni utabiri wa kuja kuwa mtu mkubwa sana hapo mbeleni.
Kwa wale wajuzi wa ndoto hebu nifumbulieni