Hivi ni kwanini watu wakinywa Bia au pombe nyingine zenye asili ya kizungu uwa wanapenda kuzungumza kingereza,lakini wale wenzangu wakinywa za kienyeji kama ulanzi,mnazi,turbo...wao ni kuzugumza matusi tu?
soma chupa ya bia vizuri utaona kwenye ingredients pameandikwa water 50%,malt 20% na english 30%
khaaaaaaaaa! kizungu kichwa cha juu tu?? au vichwa vyote??
nilimshuhudia mtu akilonga kingereza ila kwa fujo unajua kabisa kwa hali ya kawaida haiwezi kuiongea sijui lakin kwanin huwa ivo
Njooni unikute nimekunywa vodka, utadhani nimetoka urusi siku hiyohiyo! There is something divine in alcohol, Wapi Kaizer athibitishe hili