Nini siri ya kunywa bia na kuzungumza kingereza?

]ni usharobalo tu[/[/COLOR]QUOTE]

Tena hawa masharobaro ndiyo wanafurahisha zaidi na kuvuruga THEORY YA lugha kulingana na formula; wakilewa sana wanaanza kulia kwa kilugha chao...Ndiyo major criticism ya THEORY YETU YA UTASEMA LUGHA ILIYOTUMIKA KUANDIKA FORMULA YA POMBE ULEWAYO!!!!
 
Nimeitwa kwenye ITAVYUU ya kampuni ya kigeni na nina uhakika interview ni VINGEREZA; kwa hiyo unanishauri nijidunge VALUOR kulainisha lafudhi yangu ya kidhungu nikiwa katika usaili??? Just thinking loudly (sijanywa hapa)

hiyo pombe sio ya kuchezea iyo.
unaweza vua nguo kwenye panel kama una kichwa chepesi
 
Kuna usemi wa ki~Italiano usemao "Inverinyo veritus" Meaning "In alcohol there is truth..." hivyo kunywa pombe useme ukweli wa moyo wako...
 
Nimeitwa kwenye ITAVYUU ya kampuni ya kigeni na nina uhakika interview ni VINGEREZA; kwa hiyo unanishauri nijidunge VALUOR kulainisha lafudhi yangu ya kidhungu nikiwa katika usaili??? Just thinking loudly (sijanywa hapa)

Suruma wala huitaji coz maranying aliekunywa huongea bila mpangilio so u dnt need kujidunga afterall lafudhi ni tatizo kwa weng coz kila mtu an ancient yake so ilimrad u can speak n ukaeleweka kusleing'isha ni mbwembwe tuuuu
 
ubongo una visanduku(clusters)vya memory vingi sana na vyote vinafunguka kulingana na kilaji ulichopiga.kwa mfano..


  1. ukinywa bia-inafungua kisanduku cha kumbukumbu ya lugha na kukukumbusha kuwa nawe ulisoma kingereza
  2. Ukinywa mataptap-yanafungua kisanduku cha kumbukumbu ya matusi yote uliyowahi kuyasikia duniani
  3. Ukinywa gongo-Inafungua kisanduku cha ujasiri na utemi na kujisikia kama unataka kupigana na kima yoyote mbele yako
  4. Ukinywa Wine-inafungua kisanduku cha kukumbusha mambo ya Bustani ya Eden
  5. Ukigonga Whisky-inafungua kisanduku cha kujisikia ufahari na kukumbusha mipango miiingi na kujiskia kibosile flani
  6. Kiroba--kinakukumbusha nyimbo zote hadi zile za ukuti ukuti
 
Back
Top Bottom