NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,377
- 12,932
Habari za kazi wakuu!?? Ni matumaini yangu yu wazima wa afya kabisa na ninaomba nitoe pole kwa ndugu zetu waaliopo hosipitali kwa muda huu,
Naomba turudi kwenye swali hapo juu ili nisiwachoshe ndugu zangu,
"NINI SIRI YA JIWE"!???
Labda nirudi nyuma kidogo nakumbuka kipindi nipo mdogo nikiwa safarini na Mzee haja kubwa ikinibana kama tupo mbali na maeneo ya nyumbani au kupata sehemu ya kujisaidia , alichokifanya Mzee wangu nikuniwekea MAWE au JIWE mfukoni kwangu.
Na kweli baada ya muda haja kubwa hukata na tunaendelea na safari, hiyo kitu ilinishangaza sana.
Sasa leo hii nimeamua kuleta swali kwenu wakuu.
NINI SIRI YA JIWE??????
Karibuni sana wakuu.
Naomba turudi kwenye swali hapo juu ili nisiwachoshe ndugu zangu,
"NINI SIRI YA JIWE"!???
Labda nirudi nyuma kidogo nakumbuka kipindi nipo mdogo nikiwa safarini na Mzee haja kubwa ikinibana kama tupo mbali na maeneo ya nyumbani au kupata sehemu ya kujisaidia , alichokifanya Mzee wangu nikuniwekea MAWE au JIWE mfukoni kwangu.
Na kweli baada ya muda haja kubwa hukata na tunaendelea na safari, hiyo kitu ilinishangaza sana.
Sasa leo hii nimeamua kuleta swali kwenu wakuu.
NINI SIRI YA JIWE??????
Karibuni sana wakuu.