Chawa wa lumumbashi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 793
- 1,749
πΉπΏπΏπ¦mzee baba πΉπΏπΏπ¦πΉπΏπΏπ¦π’π’π’π’
Ndugu zangu watanzania tumepatwa na msiba mwingine wa ndugu yetu ally alawi............πΉπΏπΏπ¦π’π’
Ally Alawi amefariki tanzania πΉπΏ......
Ally Ally ni baharia ambaye alikuwa anaishi ktk mji wa Mosselbay Afrika Kusini πΉπΏπΏπ¦π’π’π’π’
Panapo majaliwa kesho siku ya jumanne ndugu yetu Ally Alawi atazikwa katika makaburi ya kwa bint mussa kiwalaniπΉπΏπΏπ¦π’π’π’π’π’π’π’
Msiba utakuwepo Tandika Forma karibu na shule ya majaribio au sakafa......
Rest in peace baharia πΉπΏπΏπ¦π’π’π’π’
Ndugu zangu watanzania tumepatwa na msiba mwingine wa ndugu yetu ally alawi............πΉπΏπΏπ¦π’π’
Ally Alawi amefariki tanzania πΉπΏ......
Ally Ally ni baharia ambaye alikuwa anaishi ktk mji wa Mosselbay Afrika Kusini πΉπΏπΏπ¦π’π’π’π’
Panapo majaliwa kesho siku ya jumanne ndugu yetu Ally Alawi atazikwa katika makaburi ya kwa bint mussa kiwalaniπΉπΏπΏπ¦π’π’π’π’π’π’π’
Msiba utakuwepo Tandika Forma karibu na shule ya majaribio au sakafa......
Rest in peace baharia πΉπΏπΏπ¦π’π’π’π’