Peril22
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,422
- 2,313
Aeee ee never, never change,Shusheni hizo chenja wadau
Aeeeee never, never change
I need marijuana, mixer ganja
Na ganja tunakulaga kama fegi...
Aeee ee never, never change,Shusheni hizo chenja wadau
Kanembwa hiyoHahaha aice, kuna moja hiyo enzi posho imekawia kutoka utasikia wimbo et nipe posho yangu niende kibondo nikapambane nao wauza k... Hapo inataftwa morali tu aicee.
Wa kanembwa huyoUtakuwa zao la 824kj wewe
Umemchomoa mkuu🤣🤣🤣Wa kanembwa huyo
Wadeeepoo tuwabeba wadepo ao utunawabebaa kiboro kimedinda mashavu yametuna haya wee haya wee nipe kidogo nichangamshe damu haya wee haya weeAeee ee never, never change,
Aeeeee never, never change
I need marijuana, mixer ganja
Na ganja tunakulaga kama fegi...
Vijana wa cha nyege na nduta wanatumbusha mbaliUmemchomoa mkuu
Chiku weiweiwei mama weeee,Wadeeepoo tuwabeba wadepo ao utunawabebaa kiboro kimedinda mashavu yametuna haya wee haya wee nipe kidogo nichangamshe damu haya wee haya wee
Teh, kwa mtu mzima Msaka.Vijana wa cha nyege na nduta wanatumbusha mbali
mwanajeshi uliyewekwa sero mpaka vyakula vikaoza kwenye buti
Hahaha 824kj enz hzo mkuu op kikweteKanembwa hiyo
Hahaha aice yule urafiki nae we uende tu shamba naskia major cku hizi...hapo maroda pembenTeh, kwa mtu mzima Msaka.
Hahaha ebu nitafutie maroda na mkenyaKanembwa hiyo
😀 😀 😀We nyimbo inaleta morali wewe!bila hivo mabio na fatiki zingine haziendi
Mfano voko kama hizi unakosaje morali
Akili zangu sizielewi sijui pombe!sijui bangi!
Ya leo kali weka nusu,ya leo kali weka yote
Kunguru na kanga mzuri nani,mzuri kanga mwenye madoa,nitampataje kunguru ai,ai,wote tukae chini tujiulize,ana ka K kadogo,ai ,ai wote tukae chini tujiulize
Kunguru mwenyewe wa zenji,ai,ai
Kimbelembele maimuna kimemponza ee,maimuna akiona baka lazima asaule!
Mama amina Jero amina buku jero
Ligomaaa,ligomaaa,ligoma linalia eeeh!eeh