unachangia kama umekatwa kichwaUkitaka nyimbo za heshima nenda kanisani kaimbe kwaya
Itakuwa unalo plasiii wewe...Hahahahaha wanaimbaga hivi? Ngoja ntawafitilia nicheke
Hahaha dah..Kule wanapga chenja zakoran
Hiyo chenja inaimbwa..unachangia kama umekatwa kichwa
Kuongeza mzukaView attachment 2033025
Wadau naombeni kujua. Ukisikiliza nyimbo za majeshi wakiwa joging utasikia misemo tata inayoashiria matusi. Mimi sina shida na matusi ila naomba kujua sababu huwa ni nini hasa.
Ndimu changa wee, haina majiii"huyo dada kazaliwa nalo hiloo" inye plassiiii
"Huyo dada kazaliwa nalo Hilo "inye plassii
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hii chenja unaweza toka mabio Dar mpaka Kigoma halafu fresh tumasela tukapime ngoma aee ae,
naona wote mmekonda aee ae
mwazidi kutia huruma aee ae aee ae
na yote sababu ya kozi aee ae,,,,,,masela segee,,segedamse, jamani segee wee segedamse,,,,,,,,
mbona hakuna tusi hapo, umewahi kusikia ule wa "vuzi la mgonjwa"View attachment 2033025
Wadau naombeni kujua. Ukisikiliza nyimbo za majeshi wakiwa joging utasikia misemo tata inayoashiria matusi. Mimi sina shida na matusi ila naomba kujua sababu huwa ni nini hasa.
Halafu we Witness nimekushtukia, unapenda matusi.Haaahaaaa
Majibu utayapata mkuu jiandae tu kuyapokea.View attachment 2033025
Wadau naombeni kujua. Ukisikiliza nyimbo za majeshi wakiwa joging utasikia misemo tata inayoashiria matusi. Mimi sina shida na matusi ila naomba kujua sababu huwa ni nini hasa.
Wewe ni zero brain,unalindwa na NaniHawajitambui 90% ya majesho ya Tz ni nyumbu na zero
Hii ni kweli kabisaHawajitambui 90% ya majesho ya Tz ni nyumbu na zero
Haka ka nyimbo nimekakumbuka kakawa kananichenga kidogo ,ahsante mkuuNauza mchicha, majani ya kunde, maboga leo...×2
We nauza mchi, majani ya KU, MAboga leo
Kwenye kozi bila chenja unaeza achia nyoya, Jeshi morali