654
Senior Member
- Feb 1, 2012
- 172
- 40
MOJA ii ni nchi moja! huko tuendako si ajabu kila Mkoa ukadai serikali yakeNaombeni mawazo yenu kwa upande zote,faida zake na hasara zake kwa manufaa ya wananchi
MOJA ii ni nchi moja! huko tuendako si ajabu kila Mkoa ukadai serikali yakeNaombeni mawazo yenu kwa upande zote,faida zake na hasara zake kwa manufaa ya wananchi
Naombeni mawazo yenu kwa upande zote,faida zake na hasara zake kwa manufaa ya wananchi
Tunachotaka watanzania ni Katina mpya na siyo serikali mpya sasa nashanga hili la serikali ya tatu imefuata nini