Nini msimamo wako kama mtanzania. Serikali,mbili au tatu

zanzibar hiyo ni hoja ya cuf, na wanachotaka wao ni kuwa sio lazima bot ijuwe kila hela inayoingia znz hilo ndio dhumuni lao.si unajua mwarabu anaingiza hela sana pale kisiwani, kwa data za bot zanzbar ina uchumi bora kuliko tanganyika sasa wanaona bot ikiendelea kujua sio vizuri.hilo ndio linawatatiza. eac kesho kutwa tukiwa na sarafu moja tutakuwa na benki moja ya kumonitor sarafu hiyo sasa hiyo haina effect zaidi ya kujua mzunguko wa pesa kwa jumuiya na maendeleo yanayoatikana

Si unaona hapo? Underline ya kwanza kama inapingana na underline with red vile!
Hiyo red unaposema benki ya EAC itakuwa haina effect, kivipi?
Kwahiyo hii bot ya sasa inaeffect kwa Zanzibar? Effect gani hiyo?
 
Si unaona hapo? Underline ya kwanza kama inapingana na underline with red vile!
Hiyo red unaposema benki ya EAC itakuwa haina effect, kivipi?
Kwahiyo hii bot ya sasa inaeffect kwa Zanzibar? Effect gani hiyo?

nimesema eac bank haitakuwa na effect kiuchumi kama ilivyo bot haina effect kiuchumi kwa znz. maana kazi ya bot sio kugawa pesa bali kumonitor pesa .zikitoka nje hupita pale kuingia nchini na kulipa hivyo hvyo.zanzibar hawataki hilo hasa cuf maana wanajua tanganyika ikiijua znz vizuri itajiona inajinyonya yenyewe tanganyika maana zanzibar kiuchumi na maendeleo ya jumla imeizidi tanganyika.na hizo ni data za bot.
 
kuchimba mafuta ni suala kama kuchimba madini ,mwekezaji atakuja na kampuni yake na wataalam wake kuchimba na kuajiri wa znz kama 50 au 100 kwenye masuala ya usafi wqa ofisi na udereva kidogo labda na uhasibu na usekretari sasa kwa mwananchi wa chini n jambo dogo hilo serikali itakuwa ikipokea kodi na ajira hiyo haiwezi kuonekana kama mkombozi maana ni watu wachache mno. tanganyika tuna mamia ya migodi inachimbwa,tunachimba sasa gesi na umeme upepo kule singida je ajira kwa watanganyika zimeongezeka? mtanz wa kawaida aliyeko kijijini tanga anafaidi vipi na hayo machimbo na ma gesi?labda tu ni panadol anayopata kama ataenda zahanati nayo hiyo panadol zahanati zingine hakuna

Si unaona hapo? Kama unaongelea ushindani wa uwingi wa vyanzo vya madini vile!
Kivyanzo, Tanzania bara iko juu! But kama unavyosema mtu wa kijini hafaidiki lolote hapo, naweza nikasema ni kutokana na Ukubwa wa Tz bara + ulafi wa viongozi wake!
Hii ni tofauti na Z,bar ambako:
1 hayo madini hayajaanza kutima!
2 udogo wa eneo!
Hii ya kuhusu ulafi hii yategemea, Haina uhakika!
:focus:
Serikali tatu kwa mtazamo wangu nahisi ni bora kuliko hizo nyengine!
 
nimesema eac bank haitakuwa na effect kiuchumi kama ilivyo bot haina effect kiuchumi kwa znz. maana kazi ya bot sio kugawa pesa bali kumonitor pesa .zikitoka nje hupita pale kuingia nchini na kulipa hivyo hvyo.zanzibar hawataki hilo hasa cuf maana wanajua tanganyika ikiijua znz vizuri itajiona inajinyonya yenyewe tanganyika maana zanzibar kiuchumi na maendeleo ya jumla imeizidi tanganyika.na hizo ni data za bot.

Mh! Hiyo ndio sababu kweki? = wakizikula hela asitambue mtu yoyote!!!!!
 
Si unaona hapo? Kama unaongelea ushindani wa uwingi wa vyanzo vya madini vile!
Kivyanzo, Tanzania bara iko juu! But kama unavyosema mtu wa kijini hafaidiki lolote hapo, naweza nikasema ni kutokana na Ukubwa wa Tz bara + ulafi wa viongozi wake!
Hii ni tofauti na Z,bar ambako:
1 hayo madini hayajaanza kutima!
2 udogo wa eneo!
Hii ya kuhusu ulafi hii yategemea, Haina uhakika!
:focus:
Serikali tatu kwa mtazamo wangu nahisi ni bora kuliko hizo nyengine!

ni hizi serikali linatakiwa moja, pamoja na ukubwa ya nchi yetu nao wnanchi wanatakiwa kujituma kuzalisha,watu wasayansi wabuni technology, wa mashambani waongeze ufanisi na kulima sehemu kubwa kila sekta ipanuke ndio nchi inaendelea kutegemea gesi pekee au mafuta kutuendeleza ni kujidanganya na ni maneno ya wanansiasa wenye uhakika wa kuwa madarakani maana wanajua wataingia mikataba na familia zao zitaneemeka sio nchi.
tatizo sio ukubwa wala udogo bali ni uchapaji kazi, china ni kubwa sana inaendelea kwa kasi sana,burundi ni ndogo sana na wanakufa njaa,visiwa vya commoro masikini sana lakini india na usa zilivyo kubwa zinaenda kwa kasi zaidi. hivyo hivyo na nchi ndogo kama finland inaendelea kwa kazi angali nchi kubwa zinakuwa masikini.hivyo taifa dogo linaweza endelea kuliko kubwa nalo kubwa hivyo hivyo kikubwa ni uwajibikaji wa wananchi husika.
 
lakini mkuu wa kaya rais obama anakuwa kama amir jesh mkuu wa majesh yote marekan, Hao magavana hawana hyo hadhi..lakin katika mfumo huu wa serikal tatu hapa tanzania kila nchi inakuwa na rais wake na ni amir jesh mkuu(kama wakiwa na mamlaka kamili) na katika misimamo ya urais na serikali yake leo wanaweza kuwa hv kesho unakuwa vile,
imagine hapo baadae serikali mbil may tanganyika na znb wanatofautiana kimtazamo na kuamua kuivamia tz au vicevesa,hapa namaanisha kama kweli tuna nia ya dhati ya maendeleo basi tueleke serikali moja yenye tawala za majimbo kama zamani tulishakuwa na 2 na kuiua tanganyika yetu
 
lakini mkuu wa kaya rais obama anakuwa kama amir jesh mkuu wa majesh yote marekan, Hao magavana hawana hyo hadhi..lakin katika mfumo huu wa serikal tatu hapa tanzania kila nchi inakuwa na rais wake na ni amir jesh mkuu(kama wakiwa na mamlaka kamili) na katika misimamo ya urais na serikali yake leo wanaweza kuwa hv kesho unakuwa vile,
imagine hapo baadae serikali mbil may tanganyika na znb wanatofautiana kimtazamo na kuamua kuivamia tz au vicevesa,hapa namaanisha kama kweli tuna nia ya dhati ya maendeleo basi tueleke serikali moja yenye tawala za majimbo kama zamani tulishakuwa na 2 na kuiua tanganyika yetu

hiyo nzuri. suluhu ni serikali moja.local govement inaweza kujitanua mpaka zanzibar maana kuna mikoa 5 kule wala hata hakuna haja ya majimbo.
 
Piga kura yako sasa kwa kuandika neno MBILI AU TATU Ilikupata msimamo wako ju ya serikali unazizitaka katika katiba mpya.

NIWAOMBE MOD'S WATUSAIDIE KUTENGENEZA UTARATIBU KAMA ULE WA MPAMBANO KATI YA DR.SLAA NA LOWASA NA MSIUONDOE MPAKA KATIBA ITAKAPO PATIKANA. TAFADHALI SANA.

Kila mtu na yake
 
Naombeni mawazo yenu kwa upande zote,faida zake na hasara zake kwa manufaa ya wananchi
 
Hivi kwa nini watu wagumu sana kuelewa?
Serikali mbili;
SERIKALI YA TANGANYIKA
SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR

Sasa kelele zaidi za nini? hapo si kila mtu kivyake au???
 
Back
Top Bottom