Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,238
- 6,367
Wema ni asset ametupa madiwani 2 Kati ya 43. Uoni alivyo asset.
Wema si ndio alimshawishi Nyalandu ahamie Chadema?!
Wema ni asset ametupa madiwani 2 Kati ya 43. Uoni alivyo asset.
nyumbu bana unafananisha vitu viwili tofauti, ngoja nikuache na ujinga wako tu, ukiacha kuwa karai utajitambuaHivi CCM na Mbowe nani aliyekaa madarakani kwa muda mrefu?????
1. CCM(TANU)......1961- 2017{56}.
2. NYERERE.......... 1961- 1990{29}.
2. MBOWE.............1995- 2017{22}.
Miaka 56 ya CCM madarakani, miaka 29 Nyerere madarakaani na 22 ya Mbowe ipi miingi??
..mbona ccm walimtumia vizuri?
..nini kifanyike ili ujio wake uwe na faida kwa chama?
..tukubali kuwa cdm inapigwa mabao ktk level zote.
..sasa collectively watu inabidi warudi kwenye drawing board na kupanga mbinu na mikakati mipya.
..hakuna mwenye afadhali cdm sasa hivi.
..everybody sucks.
Yeye ametupa diwani moja......!!!Na mchango wa da'Mange je umeleta kata ngapi? Please hide my ID.
Hili ni kosa la Vyama vyote hadi ccm. Naona mnapokea na kutukuza bila kujiridhisha kama Upendo wake kwa chama ni wa kiitikadi au ni mhamiaji wa muda. Ndiyo maana enzi hizo mtu alitakiwa kuingia darasani miezi 3
Mbowe anaweza kuwa ni kiongozi mzuri lakini si mwamikakati. Katika kipindi hiki ambacho hata CCM tuna changamoto kubwa kuliko wakati wowote ule inashangaza kuona chama kama Chadema ni kama hakipo vile. Kipindi cha Dr. Slaa CHADEMA ilikuwa na mvuto wa kipekee sana lakini CHADEMA ya hivi sasa inashangilia mtu kutoka CCM na kujiunga nao. Enzi zile mwana CCM angeweza kujiunga na isiwe habari kabisa na ndiyo maana mwana mikakati Dr. Slaa aliwashauri mumpokee Lowasa, ahojiwe kuhusu tuhuma zake lakini abaki kama mwanachama wa kawaida na asipewe nafasi ya Kugombea.
Lakini Mheshimiwa Mbowe na mahesabu na maono ya kichaga akaona it's now or never. Akautupilia mbali ushauri wa Dr. Slaa na kumkubalia Lowasa kila alichokitaka ikiwemo nafasi mbali mbali kwa watu anaokwenda nao humo CHADEMA. Hata mke wake akazawadiwa ubunge wa viti maalum sema akaukataa. Kwa mseto huo bado mnataka mniambie kuna CHADEMA hapo? Acheni masikhara, njooni CCM tusaidiane kumpinga magufuli kutokea ndani .
Mkuu tumestuka baada ya kutoona mchango wowote kwenye uchaguzi wa madiwaniUkiona thread kama hii ujue makamanda washastuka Wema anarudi CCM ....kwanini hamkusema kipindi mnafanya mbwembwe kibao? ....
Tumerudi nyuma mnoVitu vingine vinatokea tujifunze. Tukubaliane ule upuuzi wa 2015 umetugharimu sana. Lazima tujitafakari, tukiri makosa na kujirekebisha kwa dhati ili tuaminike upya. Watu wenye moyo safi bila unafiki kama Mnyika ndio maana hili limempa shida mno ....
Niliwaambieni mapema sana. Bado mtataka kubishana?Usichokijua ni kwamba huyo Wema tayari yupo mbioni kurejea CCM.
Mlikua hamjui kwamba ni rahisi sana kumtongoza au kumgonga mwanamke aliyegombana na bwana ake? Mlipaswa kujipigia tu na kupita zenu kando, sasa nyie mtu mihasira yake mnampa mapokezi na kutangaza ndoa. Hasira Zikipoa lazima arudi kwa bwana ake tena huku akiomba msamaha na kutembea kwa magoti