Unazungumzia wabunge wa chama tawala? Kama ndio, wao wana kazi kuu zifatazo:-
1: kuunga hoja mkono kwa 100% kabla hajachangia na hitimisho lake anatoa matatizo ya jimbo lake.
2:- kusinzia mapema kabisa na akistuka anagonga meza kushangilia asichokisikiza!
3:- ni wabadhirifu kupindukia na wanashirikiana na wakurugenzi wa halmashauri watokako kuiba hela za walimu.
4:- ni wanafiki na hawana chembe ya uzalendo kwa nchi yao, mfano kwenye bunge la katiba.
5:- wapo kimaslahi zaidi na wanawaza posho tu mfano leo hii wanajiongezea ili ifike laki 5.
6:- wale wa viti maalumu wapo kupiga vigelegele na mipasho kwa kwenda mbele as if wapo kijiweni.
Ni bunge la aina yake katika sayari yetu kwani haliisimamii serikali kuhudumia wananchi. Nawashauri wawaige wabunge wa upinzani kwa uwezo wao wa kuibua na kujenga hoja current. Kujikomba kwao ccm kutawamaliza kisiasa.
1: kuunga hoja mkono kwa 100% kabla hajachangia na hitimisho lake anatoa matatizo ya jimbo lake.
2:- kusinzia mapema kabisa na akistuka anagonga meza kushangilia asichokisikiza!
3:- ni wabadhirifu kupindukia na wanashirikiana na wakurugenzi wa halmashauri watokako kuiba hela za walimu.
4:- ni wanafiki na hawana chembe ya uzalendo kwa nchi yao, mfano kwenye bunge la katiba.
5:- wapo kimaslahi zaidi na wanawaza posho tu mfano leo hii wanajiongezea ili ifike laki 5.
6:- wale wa viti maalumu wapo kupiga vigelegele na mipasho kwa kwenda mbele as if wapo kijiweni.
Ni bunge la aina yake katika sayari yetu kwani haliisimamii serikali kuhudumia wananchi. Nawashauri wawaige wabunge wa upinzani kwa uwezo wao wa kuibua na kujenga hoja current. Kujikomba kwao ccm kutawamaliza kisiasa.