Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,104
- 4,738
Mbunge kazi yake kutunga sheria, washatunga sheria ya mtandao mengine ndo kama vile mtajuana nyinyi na wajomba zenu ma mashangazi zenu na mama wakubwa na wadogo, yanakuwa hayawahusu tena wanaconcentrate na kuongezwa posho,