1. Libeneke: Kwa ufahamu wangu neno ili ni Kiswahili cha mtaani (Lugha ya msimu), na maana yake ni Kung'ang'ania jambo bila sababu ya maana.WanaJF, naomba msaada wa maneno haya:
1. LIBENEKE
2. MSAADA KATIKA TUTA/TUTANI
Natanguliza shukurani - Asanteni
Nadhani neno Magumashi ni Kiswahili cha mtaani (Lugha ya Msimu). Maana yake ni kitu cha Bandia (Fake)... Uongo, Utapeli.Nini maana ya magumashi, sharobalo
asante mkuu nimejua maana sasa,inabidi uwe unatufasilia maana huku uswazi hayo maneno wamegeuza lugha ya taifaNadhani neno Magumashi ni Kiswahili cha mtaani (Lugha ya Msimu). Maana yake ni kitu cha Bandia (Fake)... Uongo, Utapeli.