Nini maana ya mambo haya?

Nini maana ya mambo haya?

Teleskopu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2017
Posts
703
Reaction score
768
Website inayoitwa Diagel.com ni website kubwa ambayo inaongelea masuala mbalimbali kuhusu nchi zote duniani. Inapata taarifa zake kutoka vyanzo mbalimbali vikubwa, kama vile CIA, idara ya ulinzi ya Marekani, benki ya dunia, nk.

Unaweza kusoma taarifa za Bwana Diagel mwenyewe HAPA. Utagundua si mtu tu wa kawaida kama mimi.

Mojawapo ya jambo nyeti linaloongelewa na website yake ni Matarajio ya idadi ya watu (Population projections) yatakavyokuwa hadi mwaka 2025 (miaka 4 ijayo) kwa kila nchi.

Ifuatayo ni mifano ya nchi chache.
Screen Shot 2021-10-07 at 9.11.48 AM.png

....
1633588968923.png

.....
1633589004458.png

....
Screen Shot 2021-10-07 at 9.13.30 AM.png

....

Kutokana na mifano hiyo hapo juu, tunapata summary ifuatayo:

Nchi Idadi ya sasaInayotarajiwa 2025Wanaotarajiwa kupungua
ChinaBilioni 1.439Bilioni 1.358Milioni 80
MarekaniMilioni 330Milioni 99Milioni 230
UrusiMilioni 145Milioni 141Milioni 4
KanadaMilioni 37Milioni 26Milioni 11
TaiwaniMilioni 23Milioni 18Milioni 5
AjentinaMilioni 45Milioni 41Milioni 4
PolandiMilioni 37Milioni 33Milioni 4
TanzaniaMilioni 60Milioni 42Milioni 18

Unaweza kusoma population projection ya nchi zote HAPA.

MASWALI
  1. Idadi ya watu itaongezeka au itapungua?
  2. Kiwango cha upunguaji ni kidogo au ni kikubwa?
  3. Ni kitu gani HASA kitafanya watu wapungue? Mfano, nini kitasababisha Wamarekani watoke milioni karibu 330 hadi milioni 99? Hao milioni 230 wataenda wapi?
……………..
Asilimia kubwa ya watu wana misemo yao waliyozoea. Husema, mzungu angetaka kutumaliza angeshatumaliza. Mzungu akuangamize ili apate faida gani?
…………
Please, think again. Huenda hujajua mambo MAOVU yanayoendelea ulimwenguni ambayo hata ukiambiwa, akili haiwezi kuyabeba. Utasema ni uongo tu.

How I wish someone could listen and see what is going on!
 
Binadamu tunaongezeka kwa Kasi sana ni hatari kwa dunia ni vyema tuwe balance Kuna umuhimu mkubwa mno na moja ya kitu kinachofanya watu tuwe wengi Sana ni huduma zinazokidhi za afya na chakula pamoja na amani.

Sio vibaya kuwa na hivyo vitu ni Jambo zuri lakini sio wote wanaokubali kuwa balance tunazaliana hovyo mwishowe dunia itushindwe kutumudu!. Naomba nisiongeze Wala nisipunguze ila niishie hapo.
 
Binadamu tunaongezeka kwa Kasi sana ni hatari kwa dunia ni vyema tuwe balance Kuna umuhimu mkubwa mno na moja ya kitu kinachofanya watu tuwe wengi Sana ni huduma zinazokidhi za afya na chakula pamoja na amani. Sio vibaya kuwa na hivyo vitu ni Jambo zuri lakini sio wote wanaokubali kuwa balance tunazaliana hovyo mwishowe dunia itushindwe kutumudu!. Naomba nisiongeze Wala nisipunguze ila niishie hapo.
Umesikika mkuu. Lakini mfano ukiambiwa ujitokeze na familia yako ili mpunguzwe kwa ajili ya kuisaidia dunia, utakubali?
 
Mabeberu Hayatupendi
ingawaje mkuu, hawa ni zaidi ya mabeberu. Hawa sio kwamba wanatafuta waafrika. Tazama jinsi ambavyo Marekani yenyewe imepangwa kutendwa. Ina maana kuna kitu zaidi ya mabeberu
 
Itakuwa kitu gani hicho sasa?!
Illuminati.
Hawa ndio wanaoongoza ulimwengu, pesa, vita na mambo yote mabaya katika ngazi ya ulimwengu. Ni watu wachache tu kama asilimia 1 ya wanadamu wote. Wanataka wapunguze watu, kisha watakaosalia wawe watumwa wao.

 
Back
Top Bottom