The Stranger
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 270
- 246
Halafu hii concept ya kua dunia inajaa watu ni uongo mtupu..naturally dunia haiwezi kujaa to the extent that inaleta madhara, haiwezi na haitaweza.. tumekakarishwa tokea mashulen huko kuwa dunia ina undergo overpopulation na kwamba watu inabidi wapunguze kuzaliana.. lakin ukichunguza kwa makin ni kinyume kabisa na agizo la MUUMBAJI mwenyewe kuwa tuzae tuongezeke tuijaze nchi.Binadamu tunaongezeka kwa Kasi sana ni hatari kwa dunia ni vyema tuwe balance Kuna umuhimu mkubwa mno na moja ya kitu kinachofanya watu tuwe wengi Sana ni huduma zinazokidhi za afya na chakula pamoja na amani.
Sio vibaya kuwa na hivyo vitu ni Jambo zuri lakini sio wote wanaokubali kuwa balance tunazaliana hovyo mwishowe dunia itushindwe kutumudu!. Naomba nisiongeze Wala nisipunguze ila niishie hapo.
Yani hadi sasa kuna maeneo makubwa hajawa covered na watu.. ni mapori na vijijin huko.. lakin utasikia eti dunia iko overpopulated na kua inatakiwa iwe depopulated, mi hainiingii akilini kabisa... Sio bure kuna agenda itakuwa imejificha ya depopulation humu.