Nini maana ya kumpa mtoto jina Junior?

Nini maana ya kumpa mtoto jina Junior?

Una uhakika mkubwa na usemalo?

Inawezekana sijaelewa swali lako mkubwa. I meant kwa wenzetu hakuna mtu anaitwa Junior bali "kielezi" hicho kinatumika na jina jingine kuonyesha kwamba kuna mtu mwingine (esp mkubwa) aliyetangulia kupewa jina hilo katika familia au ukoo huo kama nilivyoonesha kwa ukoo wa akina Bush. Ila si vibaya ukanipa elimu zaidi maana maisha ni kujifunza mkuu!
 
si mchezo; au muite Beckham kabisa ingawa hata maana yake siijui!
Umeona eeeh!
kuna kitabu cha majina na maana zake, mi ndo huwa natumia hicho kuchagua majina..... maana kwanza then jina.....
wanangu wawil majina yao yana maana moja "Zawadi kutoka kwa Mungu", mmoja maana yake "Rafiki mwema", na kweli huyu Rafiki mwema ni rafiki haswaaaa, hata ukija wewe leo home, kama yupo home ujue utapokelewa naye, na atakuzoea kwa haraka sana, na hata ukiondoka naye hatakusumbua kabisa.
 
Umeona eeeh!
kuna kitabu cha majina na maana zake, mi ndo huwa natumia hicho kuchagua majina..... maana kwanza then jina.....
wanangu wawil majina yao yana maana moja "Zawadi kutoka kwa Mungu", mmoja maana yake "Rafiki mwema", na kweli huyu Rafiki mwema ni rafiki haswaaaa, hata ukija wewe leo home, kama yupo home ujue utapokelewa naye, na atakuzoea kwa haraka sana, na hata ukiondoka naye hatakusumbua kabisa.

Kwakweli maana ni muhimu sana, tena tukirudi kwenye mambo ya kiroho; haya majina tunayoyaokota ni hatari sana. Biblia inasema maneno yanaumba, kama ambavyo mwanao katurn out to be a real good friend kama jina lake basi hata hao ukoo wa Clinton kama wana madudu basi na watoto wetu wanayabeba sawa na majina ya 'shida', 'sipendeki' na ya hivyo.
 
Kwakweli maana ni muhimu sana, tena tukirudi kwenye mambo ya kiroho; haya majina tunayoyaokota ni hatari sana. Biblia inasema maneno yanaumba, kama ambavyo mwanao katurn out to be a real good friend kama jina lake basi hata hao ukoo wa Clinton kama wana madudu basi na watoto wetu wanayabeba sawa na majina ya 'shida', 'sipendeki' na ya hivyo.
ni kweli kabisa rafiki....
nakumbuka watu wa karibu huwa wanajitahidi sana kuleta majina mtu ukijifungua, nilikuwa nauliza hili lina maana gani? hujui maana hata kwenye consideration siliweki.
mimi nimeitwa jina la bibi yangu (mama wa mama), yaani nina tabia nyingi sana za bibi, hadi umbo.........
namshukuru Mungu tu bibi alikuwa mtu mzuri saaana, nadhani ndo maana babangu aliamua niitwe jina la mama mkwe wake..... sijui na mimi nitakufa kama yeye? maana ilikuwa burudani wakati anakufa....., alipumzika kwa amani, huku anasali na aliokuwa nao na anatabasamu....., wooote tulitamani tufe kama yeye, lol!
 
Mbona mnanichanganya. Mimi nitamuita mwanangu jina la babu yake.

Pandu Makame Pandu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
ni kweli kabisa rafiki....
nakumbuka watu wa karibu huwa wanajitahidi sana kuleta majina mtu ukijifungua, nilikuwa nauliza hili lina maana gani? hujui maana hata kwenye consideration siliweki.
mimi nimeitwa jina la bibi yangu (mama wa mama), yaani nina tabia nyingi sana za bibi, hadi umbo.........
namshukuru Mungu tu bibi alikuwa mtu mzuri saaana, nadhani ndo maana babangu aliamua niitwe jina la mama mkwe wake..... sijui na mimi nitakufa kama yeye? maana ilikuwa burudani wakati anakufa....., alipumzika kwa amani, huku anasali na aliokuwa nao na anatabasamu....., wooote tulitamani tufe kama yeye, lol!

Ujue nami hili la Kaunga ni la bibi yangu, yaani ndio muhimili wa ukoo; imagine at 90s bado anasali misa za kila siku za asubuhi; just like you tunafanana ila mwenzangu kanizidi usmart.
 
mnanikumbusha mbali.kuna dada mmoja alimwita mtoto wake neighbour,bila kujua maana yake.alivyoulizwa alisema hilo neno alilisikia na alilipenda kwa sababu la kingereza na lina sound vizuri.baadae akauliza maana yake anajua hajui.alivyoambiwa maana alisema haijalishi yeye ameshapenda,kwa hiyo mtoto wake anaitwa neighbour
Duh hiyo noma. Umenikumbusha ile tamthilia ya neighbour itv miaka ya 90


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ujue nami hili la Kaunga ni la bibi yangu, yaani ndio muhimili wa ukoo; imagine at 90s bado anasali misa za kila siku za asubuhi; just like you tunafanana ila mwenzangu kanizidi usmart.
ha haaa, unafikiri mimi nilikuwa namfikia kwa usmart? wale wazee wa miaka ile sijui walikuwaje jamani, mweeeeee!
 
Siku hizi umezuka mtindo wa baadhi ya watu kuwaita watoto wao Junior. Kwa ninavyoelewa mimi junior ni mamlaka ambayo iko chini ya mamlaka nyingine juu yake (senior). Sasa ni nini mantiki ya kuwapa watoto jina hilo? Au wanamaanisha sawa na kulivyokuwa George Bush baba akiwa raisi, then mwanawe alipokuwa raisi ikabidi watu wawe wananrefer kama Bush junior?
Sasa mimi huku unakuta naitwa Maiko Masamaki, mwanangu namuita Junior!, junior what? Kama yeye ni junior kwangu, mimi si junior kwa baba yangu pia? Au ukoo unaanzia kwangu? Hivi G. Bush "Junior" angekuwa na mtoto nae akaitwa G. Bush, alafu akaja kuwa raisi ataitwaje, Junior square au?
Alafu ni kwa nini mara nyingi ni watoto wa kiume tu wanaitwa Junior?!!! Wa kike hawawezi kuwa junior kwa mama zao?
Nadhani ni kupotoka tu!

Lakini ukitizama sana si afadhali ya hata hiyo Junior angalau ina maana fulani kuliko majina lukuki ya kiingereza/kizungu ambayo tunayaiga bila hata kujua maana zake? Wengine wanakwenda mbali zaidi kwa kuwapa majina ya ukoo ya kizung kama majina yao ya mwanzo....inachosha sana!

Hawakukosea waliosema "mwacha asili ni mtumwa"! Majina yetu ya asili mengi kama si yote ya maana fulani lakini tumeyaacha/hatuyataki!
 
Inawezekana sijaelewa swali lako mkubwa. I meant kwa wenzetu hakuna mtu anaitwa Junior bali "kielezi" hicho kinatumika na jina jingine kuonyesha kwamba kuna mtu mwingine (esp mkubwa) aliyetangulia kupewa jina hilo katika familia au ukoo huo kama nilivyoonesha kwa ukoo wa akina Bush. Ila si vibaya ukanipa elimu zaidi maana maisha ni kujifunza mkuu!

Huyu Junior Raymond Kennedy ni Mmarekani mzungu na alizaliwa huko Fort Gibson, Oklahoma mwaka 1950.

Junior Francisco Felix Sanchez alizaliwa huko Dominican Republic.

Halafu kuna huyu Junior dos Santos ambaye alizaliwa huko Brasil.

Kwa hiyo usiseme "kwa wenzetu hakuna mtu anaitwa Junior". Wapo, ila siyo jina ambalo linatumiwa na watu wengi.
 

habari ndio hiyo
kila mtu ana choice yake
hata angeitwa senior, wakubwa zake
wangemwita senior si yaleyale tu!!!
na wengi junior inakua jina la home,kubatizwa
anakua na jina lake jingine so sio ishu!!
 
nilishawahi kutolea ufafanuzi suala hili kutokana na wengi wetu kuwa na majina ya kikasumba tu bila kujua maana na matumizi ya majina hayo kwa usahihi, mfano ni nape mnauye ambaye anajiita jr. Ni makosa kwani jr huongezwa kwenye jina la kwanza la mtoto wa kiume linalofanana na jina la kwanza la baba mzazi. Hivyo ili kuwatofautisha mwishoni mwa majina huweka jr. Kwa mtoto na sr kama sijakosea spelling kwa baba.

Maana ya jr katika dictionary ni kama ifuatavyo:
junior, jr, jnr(noun)
a son who has the same first name as his father

hivyo basi pale jina la kwanza la baba mzazi linapotajwa ili kutofautisha na mwanaye ambaye ana jina hilo hilo la kwanza la babake mzazi, basi baada ya jina huongezwa
sr lenye maana ya senior kwa baba mzazi, kwa maana ya mkuu, mkubwa nk wakati mwanae ni jr kwa maana ya kijana.

Nataraji kwa ufafanuzi huu wengi watajifunza na kujizoesha maana, matumizi sahihi ya maneno haya.

Kwa watoto wa kike sijawahi kusikia po pote wala kuandikwa popote kuhusu hilo.

amen amen
 
Umeona eeeh!
kuna kitabu cha majina na maana zake, mi ndo huwa natumia hicho kuchagua majina..... maana kwanza then jina.....
wanangu wawil majina yao yana maana moja "Zawadi kutoka kwa Mungu", mmoja maana yake "Rafiki mwema", na kweli huyu Rafiki mwema ni rafiki haswaaaa, hata ukija wewe leo home, kama yupo home ujue utapokelewa naye, na atakuzoea kwa haraka sana, na hata ukiondoka naye hatakusumbua kabisa.

Lyk I knw u. . .
 
Sasa mkuu huoni huo utakuwa ubinafsi? Kwa nini umuite mtoto wako jina lako mwenyewe?!!! Maana kama wewe unaitwa Maiko, ukamuita mwanao Maiko, je na yeye akiamua kumuita mwanaye Maiko, huyo mwanae ataitwa Maiko jr jr?..,

Ataitwa Maiko III. Maana yake ni Maiko wa Tatu!
 
Mawanaharakati Mmarekani Mweusi Martin Luther King Jr alirithi jina la baba yake Martin Luther King, Mtoto wake mkubwa anaitwa Martin Luther King III.
 
Dicteta wa zamani wa Haiti, alikuwa anaitwa Papa Doc na mwanae aliyemwachia madaraka alikuwa anaitwa Baby Doc.
 
Back
Top Bottom