Nini kitatokea ikiwa marehemu aliomba/alitaka akifa azikwe sehemu fulani lakini akazuiwa sehemu nyingine?
Naomba kufahamishwa wajuzi wenye historia waliowahi shuhudia matukio haya ikiwa marehemu wakati wa Uhai wake aliomba/alitaka akifa azikwe sehemu fulani lakini baada ya kifo Ndugu/jamaa wakiandika eneo tofauti na aliposema nini hutokea?
Share experience
Naomba uzi huu usiunganishwe ama kufutwa iwe sehemu ya mafundisho kwa wasomaji wote.
Tupate elimu kwakuwa sote tuna ndugu/jamaa na sote tutarudi mavumbini.
Naomba kufahamishwa wajuzi wenye historia waliowahi shuhudia matukio haya ikiwa marehemu wakati wa Uhai wake aliomba/alitaka akifa azikwe sehemu fulani lakini baada ya kifo Ndugu/jamaa wakiandika eneo tofauti na aliposema nini hutokea?
Share experience
Naomba uzi huu usiunganishwe ama kufutwa iwe sehemu ya mafundisho kwa wasomaji wote.
Tupate elimu kwakuwa sote tuna ndugu/jamaa na sote tutarudi mavumbini.