nini kinakukera jf?

nini kinakukera jf?

Kweli kabisa, naona ban za siku hizi zinafanywa kimya kimya, sasa tutajuaje adhabu inaisha lini tumchinjie hata kuku jamani?...lol..
ama kweli kila shaitwan na mbuyu wake,TF na kuja kujishaua kwake kwenye uzi huu we bado unamuwaza nitts tu?Tf pole mwanawane,we mgande Husn tu,achana na SL,hakufai.
 
kinakuuma eh? Jikunje kwenye mto leo!
Ps:umemsikia King'asti? Anadai eti una mimba ya nitty,,ya kweli hayo?
Kinaniuma Bishanga we acha tu, kutenganishwa ghafla na mpendwa!!!.. Maskini sweetie husband wangu, namwonea huruma ila daah sina cha kufanya!

Pole nitonye honey, usijali bado tunashughulikia zamana na kakako Bishanga!
 
Hivi kumbe toka unipigie kuwa ameondoka bila kuaga hajarudi mpaka leo???

Jidondoshe tu swahiba, tena nakuunga mikono na miguu, ukikwama kudondoka nijulishe nije nikusukumize kabisa mpaka umwangukie shemeji Katavi...
acha kumfundisha mwenzio ushankupe....Upppy,Tf,katavi.....ndo nini sasa?
 
ama kweli kila shaitwan na mbuyu wake,TF na kuja kujishaua kwake kwenye uzi huu we bado unamuwaza nitts tu?Tf pole mwanawane,we mgande Husn tu,achana na SL,hakufai.
Kiapo Bishanga kiapo! Niliapa kuwa na nitts kwa shida na raha, sasa kumkimbia itakuwa natenda dhambi...

Afu mbona unapenda sana kumchokoza TF?
 
Nyama ndio inamaliziwa kuchomwa afu itawekwa!


Swahiba hujambo wewe? Wapotea sana siku hizi, karibu sana jf!
alikuwa arumeru na Husn,ndo karudi baada ya kusikia mambo si mambo.
 
Kiapo Bishanga kiapo! Niliapa kuwa na nitts kwa shida na raha, sasa kumkimbia itakuwa natenda dhambi...

Afu mbona unapenda sana kumchokoza TF?

2011 ms jf ni Husn,na mr jf ni TF,ulikuwa hujui kwani?
 
yaani SL kapata buzi jipya
akamsakizia mmewe kesi ya kuuza unga wa mhindi
ili atese na kitu kipya??
 
yaani SL kapata buzi jipya
akamsakizia mmewe kesi ya kuuza unga wa mhindi
ili atese na kitu kipya??
hichi kifaa kipya ni nani,Babu DC au Mtambuzi,maana nawahisi sana hawa kwa SL.
 
kaopoa hakimu wa humu
ambaye jina lake kama vitafunwa vikavu

maswali gani haya byshernger, unanitafutia kifungo.

hichi kifaa kipya ni nani,Babu DC au Mtambuzi,maana nawahisi sana hawa kwa SL.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom