sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
Acha kumzibia Husninyo riziki bana, toka lini mwanafunzi akawa na mme?katavi,watch out meeen,yu gonna be killed by Husn's husband,hajakwambia ana mme? Anaitwa ........f
Acha kumzibia Husninyo riziki bana, toka lini mwanafunzi akawa na mme?katavi,watch out meeen,yu gonna be killed by Husn's husband,hajakwambia ana mme? Anaitwa ........f
bora umejilipua,mPM basi BAK ana hamu ya kutaka kujua nani ali block incoming PMs
Tumeshatoa kero zetu hivyo ruksa kuchakachua huku tukimsubiri Bishanga azifanyie kazi...
Sikukukimbia libent, ujue wakati najiandaa kutoka nikapata taarifa kuwa nitonye kaswekwa lupango hivyo ikabidi niende kumpelekea chai... Hata hivyo bado nashughulikia dhamana!
Afike wapi huyu bepari la kihaya, tumetoa kero zetu afu kabaki kimya!Kafikia wapi huyo Bishanga na pilika ya kushughulikia kero za watu humu ndani?
Sasa kwa babu huendi tena? Nduguyo anaozea jela ati!toba yarabi,fitna yote kumbe kafanya kloro? Now i understand!
Nakerwa na watu ambao hawako'comment bila kuko'quote thread topic nzima, kwani huwa wananichosha ukzngatia nakutumia simu kuingia jf.
Afike wapi huyu bepari la kihaya, tumetoa kero zetu afu kabaki kimya!
Ni kweli asee, afu hata sijui aliharibu wapi... Kapatikana kweli!Ni kweli Nitty kaharibu?!
Hivi huwa wanadhani ni sifa au? Mimi pia wananichosha sana!Yeah... Especially kwa thread ndefu,na kisha anaandika maneno manne tu kwenye post yake... wananichosh'aje?!
Ni kweli asee, afu hata sijui aliharibu wapi... Kapatikana kweli!
Kweli kabisa, naona ban za siku hizi zinafanywa kimya kimya, sasa tutajuaje adhabu inaisha lini tumchinjie hata kuku jamani?...lol..PAW naye hatangazi hukumu yake akishamsentence mtu... Hiyo si weakness jamani?
Tunahitaji kumpokea mpendwa wetu anaporudi,au walau kuifahamu siku ya kurudi uraiabi.. Au waonaje Sweetlady
jamani Eliza wa T anatapika,tulikuwa mwananyamala,mi namshangaa eti anataka chakula chake kiwe mkaa tu na udongo flan mwekundu,ana tatizo gani eliza wa ? Ndo tumelala hivi ananisumbua na kikopo pembeni.Afike wapi huyu bepari la kihaya, tumetoa kero zetu afu kabaki kimya!