Nini kinaendelea nyuma ya huu ufaulu wa kushangaza wa kidato cha sita?

Nini kinaendelea nyuma ya huu ufaulu wa kushangaza wa kidato cha sita?

nguvu ya buku

Senior Member
Joined
Jul 15, 2025
Posts
168
Reaction score
549
DIVISION 1 - 61,120
DIVISION 2 - 49,385
DIVISION 3 - 14,870
DIVISION 4 NA 0 - 760

Watu wanasema elimu imerahisishwa kuna vitabu mitandaoni lakini haibadilishi uhalisia kuna wanafunzi hawapo serious, kuna wanafunzi wenye uwezo mdogo hata kuwe na rundo la material, wanafunzi watoro, n.k.
 
Sidhani hata kama huwa wanasahihisha hiyo mitihani tenyewe, ni mwendo wa kupika data tu , ionekane serikali imeongeza kiwango cha ufaulu, kwa sasa elimu yetu imeingiliwa na siasa.
 
DIVISION 1 - 61,120
DIVISION 2 - 49,385
DIVISION 3 - 14,870
DIVISION 4 NA 0 - 760

Watu wanasema elimu imerahisishwa kuna vitabu mitandaoni lakini haibadilishi uhalisia kuna wanafunzi huwa hawapo serious na masomo, wanafunzi wenye uwezo mdogo hata kuwe na rundo la material, watoro, n.k.
Baraza la mitihani limeunga mkono juhudi za awamu ya 6
 
DIVISION 1 - 61,120
DIVISION 2 - 49,385
DIVISION 3 - 14,870
DIVISION 4 NA 0 - 760

Watu wanasema elimu imerahisishwa kuna vitabu mitandaoni lakini haibadilishi uhalisia kuna wanafunzi huwa hawapo serious na masomo, wanafunzi wenye uwezo mdogo hata kuwe na rundo la material, watoro, n.k.


Hata vyuo vikuu kuna downfall mkuu
 
DIVISION 1 - 61,120
DIVISION 2 - 49,385
DIVISION 3 - 14,870
DIVISION 4 NA 0 - 760

Watu wanasema elimu imerahisishwa kuna vitabu mitandaoni lakini haibadilishi uhalisia kuna wanafunzi huwa hawapo serious na masomo, wanafunzi wenye uwezo mdogo hata kuwe na rundo la material, watoro, n.k.
CCM NI 💩💩💩
 
DIVISION 1 - 61,120
DIVISION 2 - 49,385
DIVISION 3 - 14,870
DIVISION 4 NA 0 - 760

Watu wanasema elimu imerahisishwa kuna vitabu mitandaoni lakini haibadilishi uhalisia kuna wanafunzi hawapo serious, kuna wanafunzi wenye uwezo mdogo hata kuwe na rundo la material, wanafunzi watoro, n.k.
Sasa kama hesabu nazo Zina majibu ya kuchagua kwanini wafeli?
 
Uchumi tu. Ufaulu mzuri huwa na Bell curve kwenye graph. Haijawahi kutokea one zikazidi 2 au 3
 
Sidhani kama sababu inaweza kuwa technology, hata hivyo wanafunzi hawaruhusiwi kuwa na simu Shuleni,huo muda wa ku~dig deeper wanautoa wapi?...tuseme labda kipindi cha likizo, lakini ni wangapi wana~access na hizo smartphone,sio tu kuwa nayo bali kuitumia effectively.

Elimu ya advance ni ngumu/rahisi kutegemeana na uwezo wa mtu lakini huu ufaulu kidogo unatia mashaka.

Mbona vyuoni watu wanamiliki simu lakini ufaulu upo balanced?
 
Wazee acheni wivu, Pongezeni vijana kwa kufaulu.

Hata zamani watu walikua wanafaulu, ila walikua wanachaguliwa wachache kutokana na uhaba wa shule
 
Back
Top Bottom