Kama utakua unafwatilia bunge basi utakubariana na mimi kua. Kwa siku za hivi karibuni spika ameonyesha chuki za wazi dhidi ya mnyika. Hali inayo pelekea spika kushindwa kuzuia hisia zake nakujikuta anasahau kua yeye ni spika na kuanza kumshambulia Mnyika inpersonal.
Mkuu nimemfuatilia huyu mama tokea juzi, Jana na Leo asubuhi, kwa kweli nimeshindwa kumwelewa. Chuki zake kwa Mnyika na Tindu Lissu yamekuwa dhahiri Sana. Kimsingi naona hata wakati mwingine anaamua kuvunja kanuni za bunge kwa makusudi Ili tu kulinda au kutetea serikali.