Kibo255
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 4,408
- 3,942
Mnyika akirudi hapa ubungo nahama nchi,huyu jamaa ni kichwa Nazi hajafanya lolote hapa jimboni ni kelele tu bungeni
Hama tu kama huoni humuhimu Wa mnyika bungeni umechelewa kuhama nchi
Mnyika akirudi hapa ubungo nahama nchi,huyu jamaa ni kichwa Nazi hajafanya lolote hapa jimboni ni kelele tu bungeni
Jiandae kuhama, maana anarudiMnyika akirudi hapa ubungo nahama nchi,huyu jamaa ni kichwa Nazi hajafanya lolote hapa jimboni ni kelele tu bungeni
hakuna mbunge mjinga safari hii kama mnyika sijui ni kuchanganyikiwa kuukosa ubunge
Mnyika akirudi hapa ubungo nahama nchi,huyu jamaa ni kichwa Nazi hajafanya lolote hapa jimboni ni kelele tu bungeni
Kwa yanayoendelea bungeni leo kuhusu kuchangia muswada wa hati ya dharura ya wizara ya katiba na sheria, nimeshindwa kuelewa nimpe jina gani mama huyu asiyekuwa na busara wala hekima kwa bunge wala taifa.
Michango yote ya mbunge mnyika na Tundu Lissu kuhusu kuweka muda kwa uchunguzi kwa makosa mbali mbali, waziri analikataa hilo na wabunge wa CCM kwa kutumia wingi wao wanapitisha mambo kidharura dharura ili wamalize muda wa bunge. Kwa kutumia kauli za ndiyo na hapana kama kawaida yao.
Huyu mama anamwambia Mnyika kadiri ya siku zinavyoenda heshima ya Mnyika inazidi kushuka, lakini Mnyika kamjibu "wanaopenda ukweli watazidi kuwaheshimu".
Mama huyu sijui nimpe jina gani zaidi ya 'mhafidhina aliyekalia kiti cha bunge kama kiongozi na refarii wa bunge zima".
Nisiseme sana naweza kutukana bure nikapigwa barn ya maisha
Umeandika kijinga sana umeonesha political enterest upo kiboya boya tu,
tumpe mama yako hiyo post
Muulize makinda Juzi, ndo anajua kama Mnyika anabwabwaja au la!
hakuna mbunge mjinga safari hii kama mnyika sijui ni kuchanganyikiwa kuukosa ubunge
Achana na hao waganga njaa wa CCM mkuu.. wanashinda kutwa kuchwa humu kututoa kwenye mambo ya msingiacheni roho za kwanini nyie wana ubungo...mulitaka afanye nini sasa...kwani mumekosa nini?...halafu hayo anayoyaongelea bungeni kuhusu taifa letu sote nyie hayawahusu?....mungu anawanyeshea mvua wema na waovu...kwahiyo wewe unataka mungu awanyeshee mvua nyie wema tuu sie waovu ahaha....tunamtaka mnyika bungeni kwa manufaa ya tanzania nzima kuliko nyie watu wa ubungo peke yenu.
tafadhali badilikeni musitutie aibu watanzania wenzenu.
Muacheni Mnyika apambane anajua watu wote wanamuangalia kwenye tv, ubungo maji hamna lazima atafute cha kuongea kwenye kampeni.
Mnyika akirudi hapa ubungo nahama nchi,huyu jamaa ni kichwa Nazi hajafanya lolote hapa jimboni ni kelele tu bungeni
Muacheni Mnyika apambane anajua watu wote wanamuangalia kwenye tv, ubungo maji hamna lazima atafute cha kuongea kwenye kampeni.
Muacheni Mnyika apambane anajua watu wote wanamuangalia kwenye tv, ubungo maji hamna lazima atafute cha kuongea kwenye kampeni.