Nini kinaendelea kati ya spika na John Mnyika?

Nini kinaendelea kati ya spika na John Mnyika?

Kama utakua unafwatilia bunge basi utakubariana na mimi kua. Kwa siku za hivi karibuni spika ameonyesha chuki za wazi dhidi ya mnyika. Hali inayo pelekea spika kushindwa kuzuia hisia zake nakujikuta anasahau kua yeye ni spika na kuanza kumshambulia Mnyika inpersonal.

Mnyika amejaa upuuzi mwingi kwenye kamati walikubali miswada isomwe lakini amekuja bungeni wana anaza kuleta fujo..
 
ni kweli hata mimi naliona hilo ila kweli mnyika ni mbunge pamoja na kukatishwa tamaa jamaa ana hoja nzuri

Na cha ajabu zaidi hoja za msingi kabisa za wapinzani serikali na ccm wanazipinga. Mwisho Wa Siku yanakuwa ni matusi na Fujo bungeni, kama machali alivyomchamba mwenzake mmoja live.
 
John Mnyika unatakiwa kujua hata upige kelele bungeni lakini sisi wana ubungo ahadi yako ya maji tunajua hujatimiza...
 
Last edited by a moderator:
Kama utakua unafwatilia bunge basi utakubariana na mimi kua. Kwa siku za hivi karibuni spika ameonyesha chuki za wazi dhidi ya mnyika. Hali inayo pelekea spika kushindwa kuzuia hisia zake nakujikuta anasahau kua yeye ni spika na kuanza kumshambulia Mnyika inpersonal.
Pengine ni shinikizo nyuma ya pazia! Ni kweli hasira zake kashindwa kuzificha
 
Kwa yanayoendelea bungeni leo kuhusu kuchangia muswada wa hati ya dharura ya wizara ya katiba na sheria, nimeshindwa kuelewa nimpe jina gani mama huyu asiyekuwa na busara wala hekima kwa bunge wala taifa.
Michango yote ya mbunge mnyika na Tundu Lissu kuhusu kuweka muda kwa uchunguzi kwa makosa mbali mbali, waziri analikataa hilo na wabunge wa CCM kwa kutumia wingi wao wanapitisha mambo kidharura dharura ili wamalize muda wa bunge. Kwa kutumia kauli za ndiyo na hapana kama kawaida yao.
Huyu mama anamwambia Mnyika kadiri ya siku zinavyoenda heshima ya Mnyika inazidi kushuka, lakini Mnyika kamjibu "wanaopenda ukweli watazidi kuwaheshimu".
Mama huyu sijui nimpe jina gani zaidi ya 'mhafidhina aliyekalia kiti cha bunge kama kiongozi na refarii wa bunge zima".
Nisiseme sana naweza kutukana bure nikapigwa barn ya maisha

msamehe bure aisee sababu huyu mama anamengi yanayo msibu ndani ya kichwa chake.kutokuwa na mme sio swala dogo aisee umri wake ndio huoo ushakwenda kibra hana hata kipoozeo sasa anavyowaona vijana kama mnyika kwa kweli moyo wake unakumbwa na mfadhaiko mkubwa sana.

vijana mashababi wakisimama mama hues anapagawa kabisaaa
 
Pole sana wanaubungo tunajuwa ubora wa wake kimara,sinza,makuburi, ukiwaeleza jambo la kijinga kuusu mnyika utapigwa tu.hivi sita,mwakyembe na kamati yake ccm ikimpitisha lowassa watakuwa wanampigiaje kampeni lowassa je watasema tulimsingiziatu hakuwa namakosa au?

Nani kamzungumzia Lowasa hapa! Unawashwa nini!?
 
Nimecheka kwa sauti kubwa...

" Unashindana na kiti...Kwanini tunabishania upuuzi? Hebu futa kwanza huo upuuzi Hakuna mtu anaeweza kunipangia"


Hahahahahahhahahahahahahaha ukitaka kufurahi zaidi we binya pua afu useme hayo maneno
 
Mnyika amejaa upuuzi mwingi kwenye kamati walikubali miswada isomwe lakini amekuja bungeni wana anaza kuleta fujo..

Mkuu kwanini unataka kupotosha, unapata faida gani? Jana Mnyika wakati anaomba mwongozo alisema walikubaliana kwenye kamati kuwa hii miswada isiletwe kwa hati ya dharura

Pia Mbunge wa CCM Dr. Kafumu naye alizua tafrani kubwa kabisa akipinga hii miswada kuletwa kwa hati ya dharura.

Hii habari yako wewe umeipata wapi?
 
Mkuu kwanini unataka kupotosha, unapata faida gani? Jana Mnyika wakati anaomba mwongozo alisema walikubaliana kwenye kamati kuwa hii miswada isiletwe kwa hati ya dharura

Pia Mbunge wa CCM Dr. Kafumu naye alizua tafrani kubwa kabisa akipinga hii miswada kuletwa kwa hati ya dharura.

Hii habari yako wewe umeipata wapi?

ulimsikiliza jana Simba chawene ITV?
 
Mnyika akirudi hapa ubungo nahama nchi,huyu jamaa ni kichwa Nazi hajafanya lolote hapa jimboni ni kelele tu bungeni

Sema una hama nchi kwa sababu Serikali ya CCM imeshindwa kukuletea maendeleo siyo Mnyika. Kama ulikuwa unategemea Mnyika akuwekee hela mfukoni kama wanavyofanya watangaza nia wa CCM kwa watia saini, umemiss! Hama tu tena nenda Rwanda ukajifunze wajibu wa serikali kwa wananchi nini.
 
Back
Top Bottom