Nini kinaendelea kati ya spika na John Mnyika?

Nini kinaendelea kati ya spika na John Mnyika?

DCONSCIOUS

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,269
Reaction score
473
Kama utakua unafwatilia bunge basi utakubariana na mimi kua. Kwa siku za hivi karibuni spika ameonyesha chuki za wazi dhidi ya mnyika. Hali inayo pelekea spika kushindwa kuzuia hisia zake nakujikuta anasahau kua yeye ni spika na kuanza kumshambulia Mnyika inpersonal.
 
Mnyika akirudi hapa ubungo nahama nchi,huyu jamaa ni kichwa Nazi hajafanya lolote hapa jimboni ni kelele tu bungeni
 
Kama utakua unafwatilia bunge basi utakubariana na mimi kua. Kwa siku za hivi karibuni spika ameonyesha chuki za wazi dhidi ya mnyika. Hali inayo pelekea spika kushindwa kuzuia hisia zake nakujikuta anasahau kua yeye ni spika na kuanza kumshambulia Mnyika inpersonal.

Ndio ubaya wa kumpa mtu cheo kikubwa akiwa hana mme au mke. Ukumbuke hata Mkapa alilejesha ndoa yake siku chache kabla ya kupewa urais.
 
Nimechukia huyu mama inaonekana mawazir wana mcontrol anafanya ngoma iende inakera,hao ccm wanaosema ndyo hata hoja hawatoi mahopeless sana wanakera wapo kishabiki zaid
 
Toa habari kwa kina sio wote tunatizama sahivi elezea kinacho endelea
 
Huo mswada wa dharura unaopitishwa leo sioni km kulikuwa na umuhimu kujadiliwa.
Spika angeingia na kuhoji kuwa wanaokubali hoja ya serikali waseme ndiooo...
Na wanaokataa hoja ya wapinzani waseme siooo...
Kisha waahirishe bunge maana hakuna mjadala hapo .
 
Leta habari inayoeleweka wewe!
 
Kwa yanayoendelea bungeni leo kuhusu kuchangia muswada wa hati ya dharura ya wizara ya katiba na sheria, nimeshindwa kuelewa nimpe jina gani mama huyu asiyekuwa na busara wala hekima kwa bunge wala taifa.
Michango yote ya mbunge mnyika na Tundu Lissu kuhusu kuweka muda kwa uchunguzi kwa makosa mbali mbali, waziri analikataa hilo na wabunge wa CCM kwa kutumia wingi wao wanapitisha mambo kidharura dharura ili wamalize muda wa bunge. Kwa kutumia kauli za ndiyo na hapana kama kawaida yao.
Huyu mama anamwambia Mnyika kadiri ya siku zinavyoenda heshima ya Mnyika inazidi kushuka, lakini Mnyika kamjibu "wanaopenda ukweli watazidi kuwaheshimu".
Mama huyu sijui nimpe jina gani zaidi ya 'mhafidhina aliyekalia kiti cha bunge kama kiongozi na refarii wa bunge zima".
Nisiseme sana naweza kutukana bure nikapigwa barn ya maisha
 
Huyu mama hatoacha Legacy yoyote

And as the first woman speaker of the parliament, that is a sad truth!!! Hana cha mfano wa kuigwa kabisa. Ila kama mjanja bora ajirekebishe dakika hizi za majeruhi anaweza angalau kutoka na moja
 
Mnyika akirudi hapa ubungo nahama nchi,huyu jamaa ni kichwa Nazi hajafanya lolote hapa jimboni ni kelele tu bungeni

acheni roho za kwanini nyie wana ubungo...mulitaka afanye nini sasa...kwani mumekosa nini?...halafu hayo anayoyaongelea bungeni kuhusu taifa letu sote nyie hayawahusu?....mungu anawanyeshea mvua wema na waovu...kwahiyo wewe unataka mungu awanyeshee mvua nyie wema tuu sie waovu ahaha....tunamtaka mnyika bungeni kwa manufaa ya tanzania nzima kuliko nyie watu wa ubungo peke yenu.

tafadhali badilikeni musitutie aibu watanzania wenzenu.
 
Umeandika kijinga sana umeonesha political enterest upo kiboya boya tu,

tumpe mama yako hiyo post
 
Watanzania tunalifatilia Bunge tunachambua kuna watu wanadhan kukaa mule ndo wamemaliza ila Wanaoibua hizi hoja wameeleweka.Ni suala la muda tu.
 
unaweza elezea kwa kina zaidi kwa faida ya wasio jiran na luninga
 
Back
Top Bottom