Nini kinaendelea kati ya spika na John Mnyika?

Nini kinaendelea kati ya spika na John Mnyika?

Muacheni Mnyika apambane anajua watu wote wanamuangalia kwenye tv, ubungo maji hamna lazima atafute cha kuongea kwenye kampeni.

Akili yako inamatatizo......kazi ya mbunge nikupeleka na kufuatilia kero za wananchi serikalini.

Mbunge hawezi kuleta Maji...kero hii ameiwasirisha kwa rais wako mpuuzi na Kama unakumbuka rais aliahidi kuja zungumza na wanaubungo.

Wanaubungo wanapaswa kijiuliza jimbo hili limekaliwa na ccm kwa miaka min gap? Na wamelifanyia nini ktk kipindi hicho?

Mbona Kama ndo yule mchaga mnec hamuwezi mnyika hata kidogo licha ya kuanza kupiga kampeni za nyumba kwa nyumba mapema hii.

Can't you stretch you brain bro? Wake ritz
 
Mnyika shule ndogo angalau angekuwa na shahada moja angeacha ushamba wake wa kuuza sura ktk tv.ana adabu anataka kumuamrisha Spika kwa maneno aliokaririshwa na Lisu wiki mzima anamfundisha.kisha umuone anatisha.tunga sheria acha siasa kamati inapo keti jana alipondwa sana na Dr.ASHA mwalimu wa Lisu UDS.Akajiskia aibu.

Nonsense
 
Ha ha haaa..." Ndio nakwambia hiloo" hapo palinichekesha jana

Afu ukisoma hapo ulipomkot huyo jamaa uwe kama unabinya pua

"Mnyika.......... mnyika..... Unaniamrisha............. futa hayo maneno yako kwanza "
 
Hii miswada ya dharura inashusha hadhi ya Serikali sana, sijui kwa mini Wabunge wa CCM hawaelewi!

Miswada ya aina hii inaivua nguo Serikali kuwa inaongozwa na matukio, haina vipau mbele, na inakurupuka. Kwa hiyo wapunzani wakisema Serikali ya CCM imefeli kwa kila kiti, imechoka, au ni dhaifu; kwa nini tusiwaelewe?
 
Mnyika ameshajua kuwa hapati ubunge jimboni sasa anachofanya ni kutafuta umaarufu kwa mabishano bungeni ili aonekane anawasaidia wana ubungo. Hatudanganyiki.

Pole sana wanaubungo tunajuwa ubora wa wake kimara,sinza,makuburi, ukiwaeleza jambo la kijinga kuusu mnyika utapigwa tu.hivi sita,mwakyembe na kamati yake ccm ikimpitisha lowassa watakuwa wanampigiaje kampeni lowassa je watasema tulimsingiziatu hakuwa namakosa au?
 
Mnyika akirudi hapa ubungo nahama nchi,huyu jamaa ni kichwa Nazi hajafanya lolote hapa jimboni ni kelele tu bungeni

Ulitaka akulishie familia yako? Acha kukimbia majukumu kumuachia mwanaume mwenzako akulishie familia yako.
 
Ndio ubaya wa kumpa mtu cheo kikubwa akiwa hana mme au mke. Ukumbuke hata Mkapa alilejesha ndoa yake siku chache kabla ya kupewa urais.

Huu ni unyanyapaa kwa wasio ndoa.

Hujathibitisha kwamba kukosa ndoa ndiyo sababu ya matatizo.
 
Afu ukisoma hapo ulipomkot huyo jamaa uwe kama unabinya pua

"Mnyika.......... mnyika..... Unaniamrisha............. futa hayo maneno yako kwanza "

Nimecheka kwa sauti kubwa...

" Unashindana na kiti...Kwanini tunabishania upuuzi? Hebu futa kwanza huo upuuzi Hakuna mtu anaeweza kunipangia"
 
Mnyika akirudi hapa ubungo nahama nchi,huyu jamaa ni kichwa Nazi hajafanya lolote hapa jimboni ni kelele tu bungeni
Duh! sio uhame nchi tu, kunywa sumu kabisa ufe maana huna faida yoyote kwa jamii pamoja na wanaokufahamu kwani unawaletea aibu tupu!
 
Mnyika kakiuka hii sheria ndio maana hawaelewani na mama Makinda


attachment.php
 
Kama utakua unafwatilia bunge basi utakubariana na mimi kua. Kwa siku za hivi karibuni spika ameonyesha chuki za wazi dhidi ya mnyika. Hali inayo pelekea spika kushindwa kuzuia hisia zake nakujikuta anasahau kua yeye ni spika na kuanza kumshambulia Mnyika inpersonal.

Labda alimtaka akamkataa .
 
Mnyika akirudi hapa ubungo nahama nchi,huyu jamaa ni kichwa Nazi hajafanya lolote hapa jimboni ni kelele tu bungeni

Huna lolote utahama kwa aibu labda. Kwanza jina lako lenyewe linanitia shaka.
 
Mnyika akirudi hapa ubungo nahama nchi,huyu jamaa ni kichwa Nazi hajafanya lolote hapa jimboni ni kelele tu bungeni
Nitakukatia tiketi ya Fastijeti uende kokote mbali na Ubungo maana Mnyika ni jembe na ubungo naichukua tena!
 
Muacheni Mnyika apambane anajua watu wote wanamuangalia kwenye tv, ubungo maji hamna lazima atafute cha kuongea kwenye kampeni.
Hii "comment" itapata "like" za kumwaga kutoka kwa vijoo na vikwale kama kawaida.
 
Spika anataka miswada ya kuipa meno ccm ipitishwe haraka waendelee kuiba
 
mnyika ni nomaaa.Maccm yanasema ndioooooo bila kuelewa

Wako Kama wale wanafunz darasan wasioelewa mwalimu wa somo akiuliza mmeelewa wao ndo wa kwanza kujibu kwa sauti NDIOOO kumbe hamna kitu.
 
Hujui kuwa kupiga kelele bungeni ni jukumu la Mnyika na mambo ya kufanya huku Ubungo ni jukumu la serikali? Anachokifanya.bungeni ndo kazi yake mnyika,kuhusu kuleta huduma huku ubungo naona unaivua nguo Serikali yako kuwa haijafanya chochote.Uzuri wake siku hizi watu ni werevu wanajua majukumu ya kila mmoja
Hawa ndio wanaoamishwa na watia nia km lilivyo jina lake kuwa "Oooh, mkinichagua nitawaletea maendeleo!!"

Utadhani naendeleo yanashushwa kama mana kwenye sinia toka mbinguni. This is pathetic!

CC: Mtia nia
 
Back
Top Bottom