Nini kinachowasukuma baadhi ya kinadada/kinamama kukubali kuwa 'nyumba ndogo'?

Si mpaka huyo mume "aachwe". Na deal na wote wawili!

nyumba kubwa,i also beg to differ..,unadeal na nyumba ndogo kwa nini? she is just a woman amefuatwa na kama wewe ulivyofuatwa, hivi unajua maneno wanayosema wanaume kuhusu wake zao kwa nyumba ndogo? usitake kujua,most of the time ni kukashfu wake zao,mara mke wangu mshamba,mke wangu hajui hiki, mke wangu hafanyi vile, hata kama hayo wanayosema si kweli lakini wanayasema hayo huko kwenye nyumba ndogo,anyways ninachojaribu kusema ni kuwa mumeo kwanza ndio mwenye makosa akijua anaye mke, lakini akajiingiza kwenye mahusiano na kuanzisha nyumba ndogo, the best way ni wewe kudeal na mumeo ujue lilikumba lipi la kuacha mkewe ndani na kwenda nyumba ndogo! am sure ukiwaka kiukweli kwa mumeo na kama bado anakupenda yeye mwenyewe ataifutilia mbali hiyo nyumba ndogo, na hiyo nyumba ndogo itabaki na maumivu na kudadili waume za watu hadi wakome.
 
Ukweli ni kuwa kuna sababu nyingi zinazofanya wanaume wawe na nyumba ndogo. Awali kuna migongano ndani ya nyumba isiyokwisha. Pili, tamaa za wanaume kutak kuwa na wanawake wengi kama alama ya ufahali!
 
Mmmmmh mbona watu wengi wanaongelea finances,sheltering and of the sort kuwa huyu dada wa pili kushughulikiwa aka NN ndie mwenye kuhitaji hivyo vyote.

Kwa kuona kwangu, siku hizi kina dada akiisha okoka kutoka kwenye umasikini ni vigumu kuishi ni mwanaume aliyeanza nae maisha, je hivi kama dada anapata mipesa mingi kuliko huyo mume na anam finance huyo mume wa mtu na familia yake bado anabeba cheo cha nyumba ndogo?

What if they fell in love huyu akiwa mume wa mtu na huyu mke wa watu na wanachakachuana kila mtu anakwenda zake huyu dada ni nyumba ndogo?au ni mpaka huyu dada awe yuko free and owned by this King of the nyumbas?

Na vipi hawa wanaume wanaozikimbia nyumba zao kwenda kuwa house husbands kwa nyumba ndogo?

My opinion ni kuwa yote yanaanzia na sababu moja tu falling in love ingawa yakiendelea ndio matokeo ya nyumba ndogo.
Mimi nakaa na vidada 3 vina magari ya nguvu na havichukui vijana waoaji vinasema wana demands za hali ya juu,hawa wazee wana limited time and they spend their valuable money and time to the maximum
:mwaaah:
 
Mmmmmh mbona watu wengi wanaongelea finances,sheltering and of the sort kuwa huyu dada wa pili kushughulikiwa aka NN ndie mwenye kuhitaji hivyo vyote.

Kwa kuona kwangu, siku hizi kina dada akiisha okoka kutoka kwenye umasikini ni vigumu kuishi ni mwanaume aliyeanza nae maisha, je hivi kama dada anapata mipesa mingi kuliko huyo mume na anam finance huyo mume wa mtu na familia yake bado anabeba cheo cha nyumba ndogo?

What if they fell in love huyu akiwa mume wa mtu na huyu mke wa watu na wanachakachuana kila mtu anakwenda zake huyu dada ni nyumba ndogo?au ni mpaka huyu dada awe yuko free and owned by this King of the nyumbas?

Na vipi hawa wanaume wanaozikimbia nyumba zao kwenda kuwa house husbands kwa nyumba ndogo?

My opinion ni kuwa yote yanaanzia na sababu moja tu falling in love ingawa yakiendelea ndio matokeo ya nyumba ndogo.
Mimi nakaa na vidada 3 vina magari ya nguvu na havichukui vijana waoaji vinasema wana demands za hali ya juu,hawa wazee wana limited time and they spend their valuable money and time to the maximum
:mwaaah:


hiyo sentensi yako ya mwisho nadhani imepingana na opinion yako, its not love on the first plce ndioi inayofanya kuwe na nyumba ndogo bali ni hizo sababu tajwa na hao wadada watatu unaishi nao!
 
Nyumba kubwa, wewe ndo mwanamke wa shoka! nimependa kila comment yako! ningekuwa na uwezo ningepita na kuchoma mto nyumba ndogo zoote. nimeshuhudia sehemu nyingi zinaleta umaskini sana ktk family. kwa nini uibe cha mwenzio?
 
Asante kwa kunielewa. That is my way of protecting my hubby. Mume wangu akicheat yeye na huyo alocheat nae wooote wana case ya kujibu. Sina nia ya kushawish wengine wafuate navyosema ila tuache unafiki wa na deal na mume wangu tu eti wanawake tupendane. TUPENDANE wakati unaiba penzi la moyo wangu. Kama kuna mtu nitamchukia duniani ni nyumba ndogo ya mume wangu.

Naendelea kuinsist most of nyumba ndogo WANAJILENGESHA kwa waume za watu; period!!! Hence wana deserve share ya varangati.

Nyumba kubwa, wewe ndo mwanamke wa shoka! nimependa kila comment yako! ningekuwa na uwezo ningepita na kuchoma mto nyumba ndogo zoote. nimeshuhudia sehemu nyingi zinaleta umaskini sana ktk family. kwa nini uibe cha mwenzio?
 
My opinion stands to be the same
lakini hivyo vidada mtizamo wao ndio huo hivi viko zaidi kwenye biz na sio nyumba ndogo!
[/COLOR]hiyo sentensi yako ya mwisho nadhani imepingana na opinion yako, its not love on the first plce ndioi inayofanya kuwe na nyumba ndogo bali ni hizo sababu tajwa na hao wadada watatu unaishi nao!
 
Hilo swali kwenye bold ni zuri sana. Wenyewe watakujibu eti siyo wezi. Eti mtu mzima haibiwi! Inahu! Siyo mwizi ulipelekwa kwenye altare??? Siyo mwizi huyo mwanaume amekutolea mahari? Siyo mwizi, mbona unakumbatia mto na mnakaa kuangalia saa jamaa asijechelewa kwa THE WIFE?

Nyumba kubwa, wewe ndo mwanamke wa shoka! nimependa kila comment yako! ningekuwa na uwezo ningepita na kuchoma mto nyumba ndogo zoote. nimeshuhudia sehemu nyingi zinaleta umaskini sana ktk family. kwa nini uibe cha mwenzio?
 
Are you sure kuwa wanaume wanawasema vibaya wake zao kwa nyumba ndogo??? Hizo nyumba ndogo ni wazushi tu. Kuna wanaume humu jaribu kuwahoji uone kama kuna mwanaume (a real man) anaweza kumkandia wife kwa nyumba ndogo.


But the opposite is true. Kuna wababa wawili tuko office moja wanawakandia vimada wao tena in public. Utasikia 'nakachezea tu na njaa zake'.

nyumba kubwa,i also beg to differ..,unadeal na nyumba ndogo kwa nini? she is just a woman amefuatwa na kama wewe ulivyofuatwa, hivi unajua maneno wanayosema wanaume kuhusu wake zao kwa nyumba ndogo? usitake kujua,most of the time ni kukashfu wake zao,mara mke wangu mshamba,mke wangu hajui hiki, mke wangu hafanyi vile, hata kama hayo wanayosema si kweli lakini wanayasema hayo huko kwenye nyumba ndogo,anyways ninachojaribu kusema ni kuwa mumeo kwanza ndio mwenye makosa akijua anaye mke, lakini akajiingiza kwenye mahusiano na kuanzisha nyumba ndogo, the best way ni wewe kudeal na mumeo ujue lilikumba lipi la kuacha mkewe ndani na kwenda nyumba ndogo! am sure ukiwaka kiukweli kwa mumeo na kama bado anakupenda yeye mwenyewe ataifutilia mbali hiyo nyumba ndogo, na hiyo nyumba ndogo itabaki na maumivu na kudadili waume za watu hadi wakome.
 
Kipipi katika hii zama ya technolojia kweli unaweza kudanganywa na mtu kuwa hajaoa? Na haya ma social media yote kuanzia sijuhi face book. Mh kama kuna watu walijikuta ni nyumba ndogo kwa sababu ya kudanganywa ni wachache saaana aisee. Usiulize kabla ya kumkubali mtu kweli?

Alafu kuna wanaume wengine ni waongo sana, wanadanganya hawajaoa kumbe wana wake na watoto juu! E.g hawa wanaosoma/kusafiri sehemu za mbali na wake zao wanayafanya sana haya mambo, sasa na hapa sijui tutawalaumu nyumba ndogo? Tena wengine wanajihalalishia makazi nakuongezea watoto kabisaa! Kazi ipo!
 
Hapo kwenye bold inategemea umeibua mwanaume gani. Ukiibua mume mwenye mke kama mimi your fantasy will rarely last for a month. Ila ukimpata wa wale wenye lower self esteem utaendelea kuji sevia kama ulivyopanga.

Nyumba kubwa usijisifu tu kuwa una mbio, msifu na anaekukimbiza kuwa hana mbio. (usijiamini tu kuwa una uwezo wa kumlinda mumeo, ila shukuru pia kuwa umepata mtu 'mtulivu'. Wanaume wengine wako very smart aisee...

Hii ina ukweli. Ukiwa too picky unadoda; unashtuka wa umri wako woote wameshaoa; unaamua kubanana na hao wa umri wako ambao ni waume za watu. Siamini kuwa kuna kudoda kwa bahati mbaya kama kupo ni kiasi kidogo sana mostly ni maringo na tabia mbaya.

Unachukuliaje usemi kuwa kuolewa ni bahati? Na kutokuolewa ni kudoda kweli?

Uaminifu umekwisha siku hizi kiasi kwamba watu wanakata tamaa wanaona bora kuwa nyumba ndogo ajue wazi kuwa anashare! Na kingine ni commitment, wengi wao hawataki kujicommit au kujifunga kama wanavyoita wenyewe so anaona solution ni kuwa nyumba ndogo kitu ambacho kitamruhusu kuwa na maamuzi yake mengine mradi tu ana mtoto/watoto na ana mtu wakumtimizia haja zake pale anapomhitaji (mume wa mtu)!!

Kuna baadhi ya wanaume wanakuwa wanoko na wafuatiliji kwa nyumba ndogo zao kuliko hata kwa zile kubwa...

nyumba kubwa,i also beg to differ..,unadeal na nyumba ndogo kwa nini? she is just a woman amefuatwa na kama wewe ulivyofuatwa, hivi unajua maneno wanayosema wanaume kuhusu wake zao kwa nyumba ndogo? usitake kujua,most of the time ni kukashfu wake zao,mara mke wangu mshamba,mke wangu hajui hiki, mke wangu hafanyi vile, hata kama hayo wanayosema si kweli lakini wanayasema hayo huko kwenye nyumba ndogo,anyways ninachojaribu kusema ni kuwa mumeo kwanza ndio mwenye makosa akijua anaye mke, lakini akajiingiza kwenye mahusiano na kuanzisha nyumba ndogo, the best way ni wewe kudeal na mumeo ujue lilikumba lipi la kuacha mkewe ndani na kwenda nyumba ndogo! am sure ukiwaka kiukweli kwa mumeo na kama bado anakupenda yeye mwenyewe ataifutilia mbali hiyo nyumba ndogo, na hiyo nyumba ndogo itabaki na maumivu na kudadili waume za watu hadi wakome.

Na kujichunguza pia maana baadhi ya wanawake simply drive their men to the hands of other women...

Kipipi katika hii zama ya technolojia kweli unaweza kudanganywa na mtu kuwa hajaoa? Na haya ma social media yote kuanzia sijuhi face book. Mh kama kuna watu walijikuta ni nyumba ndogo kwa sababu ya kudanganywa ni wachache saaana aisee. Usiulize kabla ya kumkubali mtu kweli?
 
Kusema kuwa kuna wanaume "wako smart" sijuhi una maana gani ila kama nimekuelewa ngoja nikujibu.

Mwanaume kuwa smart nilivyoelewa mimi ni kuwa ana cheat bila kujulikana. Am I right? If am right. Why should I bother kama mtu ana cheat na mimi sijuhi na sitokaa nijue. If I don't know then sioni tatizo hapo kwani nikiona tatizo maanake niishi kwa wasiwasi na kudhania dhania.

Na kama hiyo ni smartness then am still nyumba kubwa and am proud to be since I still hold a position that makes him respect me kiasi kuwa anampa wakati mgumu nyumba ndogo kwa ku spend very short time nae.

Siamini kwenye kuwazia tatizo ambalo halipo. Kwangu mimi mwanaume ni cheater if and only if nimemkamata na evidence.


Nyumba kubwa usijisifu tu kuwa una mbio, msifu na anaekukimbiza kuwa hana mbio. (usijiamini tu kuwa una uwezo wa kumlinda mumeo, ila shukuru pia kuwa umepata mtu 'mtulivu'. Wanaume wengine wako very smart aisee...



Unachukuliaje usemi kuwa kuolewa ni bahati? Na kutokuolewa ni kudoda kweli?



Kuna baadhi ya wanaume wanakuwa wanoko na wafuatiliji kwa nyumba ndogo zao kuliko hata kwa zile kubwa...



Na kujichunguza pia maana baadhi ya wanawake simply drive their men to the hands of other women...
 
Kipipi katika hii zama ya technolojia kweli unaweza kudanganywa na mtu kuwa hajaoa? Na haya ma social media yote kuanzia sijuhi face book. Mh kama kuna watu walijikuta ni nyumba ndogo kwa sababu ya kudanganywa ni wachache saaana aisee. Usiulize kabla ya kumkubali mtu kweli?

haaa.......hivi unadhani naropoka ee? Huu mchezo mbona mi nimeushuhudia sana tu! Naweza nisiwe mimi (definately not me) ila kuna watu wanaingizwa mkenge kwa sana na tena si ajabu wakapatikana kwenye hilo kundi ambalo we unawaita wachache! Kuuliza wanauliza na bado wanaliwa kekundu aisee!
 
haaa.......hivi unadhani naropoka ee? Huu mchezo mbona mi nimeushuhudia sana tu! Naweza nisiwe mimi (definately not me) ila kuna watu wanaingizwa mkenge kwa sana na tena si ajabu wakapatikana kwenye hilo kundi ambalo we unawaita wachache! Kuuliza wanauliza na bado wanaliwa kekundu aisee!

Bila shaka wanaheshimu maneno ya wahenga kuwa 'ukimchunguza bata humli'...

Hapo nilipobild umenifanya nicheke hadi nimepata mudi ya kulala...
 
Asante kwa kunielewa. That is my way of protecting my hubby. Mume wangu akicheat yeye na huyo alocheat nae wooote wana case ya kujibu. Sina nia ya kushawish wengine wafuate navyosema ila tuache unafiki wa na deal na mume wangu tu eti wanawake tupendane. TUPENDANE wakati unaiba penzi la moyo wangu. Kama kuna mtu nitamchukia duniani ni nyumba ndogo ya mume wangu.

Naendelea kuinsist most of nyumba ndogo WANAJILENGESHA kwa waume za watu; period!!! Hence wana deserve share ya varangati.

Tunaposema kudeal na mumeo hatumaanishi kuwa umuache nyumba ndogo kwa kisingizio eti tupendane, hapana!! Binafsi ninasema its better to deal with ur hubby kwa sababu yeye ndo mwenye uamuzi wa kuwa na nyumba ndogo na sio nyumba ndogo mwenye uamuzi wa kuwa na mumeo(sijui ka nimeeleweka)! Hata kama nyumba ndogo kajilengesha vipi, bado mumeo ndo mkosaji mkuu kwa sababu anaamua kuwa na nyumba ndogo kwa makusudi kabisa wakati anatambua kuwa ana mke nyumbani! Unaweza kuwa na material power lakini utaexercise varangati kwa nyumba ndogo ngapi? Tena kama mumeo ndo kifunuzi mbona utahangaika! Finally, tafuta mnyonge umuonee na hilo varangati lako utakaloanzisha!!
 
Are you sure kuwa wanaume wanawasema vibaya wake zao kwa nyumba ndogo??? Hizo nyumba ndogo ni wazushi tu. Kuna wanaume humu jaribu kuwahoji uone kama kuna mwanaume (a real man) anaweza kumkandia wife kwa nyumba ndogo.


But the opposite is true. Kuna wababa wawili tuko office moja wanawakandia vimada wao tena in public. Utasikia 'nakachezea tu na njaa zake'.

am sure nyumba kubwa wapo wanaume wanaosema vibaya, hata hao wababa unaofanya nao kazi wanasema in public kuwa hizo nyumba ndogo wanazichezea but wakiwa na hizo nyumba ndogo hawasemi hivyo, wanawapamba kwa maneno matamu including kuwaponda wake zao, hizo ni trick za wanaume bana just kuwaonyesha hao nyumba ndogo kuwa wanawapenda, hata kama hawamaanishi.
 
Hilo swali kwenye bold ni zuri sana. Wenyewe watakujibu eti siyo wezi. Eti mtu mzima haibiwi! Inahu! Siyo mwizi ulipelekwa kwenye altare??? Siyo mwizi huyo mwanaume amekutolea mahari? Siyo mwizi, mbona unakumbatia mto na mnakaa kuangalia saa jamaa asijechelewa kwa THE WIFE?

Hiyo ni hiari ya mumeo wala sijatumia mabavu so long as ye sio mzoga! Ukinikuta guest nimelala na mumeo au baa/club/klabuni nimepakatwa na mumeo basi ukipenda niite mwizi lakini sitakuruhusu unifanyie fujo, otherwise....tutaandika historia humu jamvini!! Narudia tena tafuta mnyonge umuonee!
 
Tunaposema kudeal na mumeo hatumaanishi kuwa umuache nyumba ndogo kwa kisingizio eti tupendane, hapana!! Binafsi ninasema its better to deal with ur hubby kwa sababu yeye ndo mwenye uamuzi wa kuwa na nyumba ndogo na sio nyumba ndogo mwenye uamuzi wa kuwa na mumeo(sijui ka nimeeleweka)! Hata kama nyumba ndogo kajilengesha vipi, bado mumeo ndo mkosaji mkuu kwa sababu anaamua kuwa na nyumba ndogo kwa makusudi kabisa wakati anatambua kuwa ana mke nyumbani! Unaweza kuwa na material power lakini utaexercise varangati kwa nyumba ndogo ngapi? Tena kama mumeo ndo kifunuzi mbona utahangaika! Finally, tafuta mnyonge umuonee na hilo varangati lako utakaloanzisha!!


Kipipi
All I can say is " Thank you"...............I had decided that I was done, with this thread but after reading this comment, I thought it will be amiss, of me not to thank you. It' s like you read my mind or something!! Cheeeeeeeeeeeeers:cheer2:!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom