Nini kinachowasukuma baadhi ya kinadada/kinamama kukubali kuwa 'nyumba ndogo'?

ANGALIENI CHEATERS ya USA E.News, MUONE NYUMBA KUBWA ZINAVYOPOTEZEWA HESHIMA ,usifanye mchezo mwanamke kama umechuja kwa mumeo,Nyumba kubwa you look like avery strong woman ,naomba ukaongeze ujuzi to how men cheat their wives,tafuta muda tu uangalie mwanamke anapewa fake love 100%,na anachetiwa kwa the same percent!kuna vitu tunajiamini course we have never taste the other side ,na ukijua hiyo the other ndio itakupa confidence zaidi sbb utakuwa umeyajua madhaifu yako!
 
More from google; specifically kwa mwanamke mwenye low-self esteem:

o A woman's low self-esteem can affect every relationship she has. She may feel unworthy as a daughter, feeling she let her parents down by not being as successful, smart, or popular as a sibling, or to the same degree that she feels her parents think she should be. As a wife, she may not feel pretty enough, thin enough, or sexually attractive enough. She may even marry someone who is mentally or physically abusive, as she feels she doesn't deserve more. As a parent herself, she may have difficulty being a strict disciplinarian. In friendships, she may not pursue any relationships, causing her to feel more isolated. She may be a pushover and be unable to say no. She may develop relationships with people who take advantage of her vulnerability.
 
Sorry nyumba kubwa hapa watu wa dizaini hii wanaotangaza ugomvi waume zao wanabebwa kuliko unavyodhani, kifupi wananyumba ndogo za kumwaga.[/QUOTE]
Maty mie sitii neno, umesema ukweli mtupu,huwezi kutambua kabisa mumeo ni wa aina ipi mpaka abadilike completely na hapo utajiuliza ni huyuhuyu aliyekuwa ananisubiria salon ni retouch nywele?sasa hivi ni kutumia akili ya ziada tu, sometime unacheza na saikolojia yake tu ili kumbana, ila maugomvi mie nishavuka huko
 
I don't generalize by single case.

ANGALIENI CHEATERS ya USA E.News, MUONE NYUMBA KUBWA ZINAVYOPOTEZEWA HESHIMA ,usifanye mchezo mwanamke kama umechuja kwa mumeo,Nyumba kubwa you look like avery strong woman ,naomba ukaongeze ujuzi to how men cheat their wives,tafuta muda tu uangalie mwanamke anapewa fake love 100%,na anachetiwa kwa the same percent!kuna vitu tunajiamini course we have never taste the other side ,na ukijua hiyo the other ndio itakupa confidence zaidi sbb utakuwa umeyajua madhaifu yako!
 
Some women always strive to move to a higher level so they feel that a relationship with a high profile man will give them a sense of status and power. They feel it will attract attention and respect as well as inner satisfaction. Some see it as a booster for their self esteem because they associate attention from high profile men with status and power. They lack confidence in themselves and do not think they can achieve alone, so they seek a well placed man to ease their path. Accompanying this is the desire for a sense of security. For those (women) who are not well off financially, the desire to meet their needs drives them, since the man often caters for all their finances.
 
Nyumba kubwa:
How would you rate the self-esteem of their counter parts aka the wives who, despite being aware of the existance of hizo nyumba ndogo wanang'ang'ana na ndoa?.........just curious :confused2:

Tuko:
I think some is for financial reasons, others is for love and/or reproduction. As for my opinion, personally the only benefit I can see, with me being nyumba ndogo God forbid ,will be having someone constistent and dependable in my life, that I can call upon and rely on, while at the same time being able to maintain my independence and individuality. My life has been about, me, myself and I for over 30+ years now, so I reckon it's going to be hard for me to have to change it, to be about some man, and his silly wants and/or needs full time as marriages demand!


Ulitaka huyu mama wa nyumba kubwa baada ya kujua mumewe ana nyumba ndogo afanye nini hasa? Hadhi ya nyumba kubwa always iko juu kuliko ile ya nyumba ndogo kwa sababu bi mkubwa ana ujasiri wa kutoka na husband bila kujificha na mumewe huwa anaingia nyumbani mchana kweupe. Nyumba ndogo ni vigumu sana kutoka na mume wa mtu hadharani kama kwenye harusi n.k na pia hutembelewa saa za usiku zaidi.
Ukitaka kujua nyumba kubwa ina hadhi kuliko nyumba ndogo, subiri mtoto apate matatizo katika nyumba kubwa halafu husband apigiwe simu uone atakavyokimbilia home. Ila akiwa home kubwa akapigiwa simu nyumba ndogo saa 4 usiku basi ujue atalala mpaka asubuhi ndo akiwa mwelekeo wa kazini ndo atapitia nyumba ndogo. Hii ndio sababu inawafanya akina bi mkubwa kutojisumbua sana kwani anajua yeye ndo mwenye mume na mwingine amedandia kwa nyuma na ipo siku ataachia tu.
 
Will thanking you alone be enough??? Am afraid not! Anyway; many thanks for understanding our POSITION.

Ulitaka huyu mama wa nyumba kubwa baada ya kujua mumewe ana nyumba ndogo afanye nini hasa? Hadhi ya nyumba kubwa always iko juu kuliko ile ya nyumba ndogo kwa sababu bi mkubwa ana ujasiri wa kutoka na husband bila kujificha na mumewe huwa anaingia nyumbani mchana kweupe. Nyumba ndogo ni vigumu sana kutoka na mume wa mtu hadharani kama kwenye harusi n.k na pia hutembelewa saa za usiku zaidi.
Ukitaka kujua nyumba kubwa ina hadhi kuliko nyumba ndogo, subiri mtoto apate matatizo katika nyumba kubwa halafu husband apigiwe simu uone atakavyokimbilia home. Ila akiwa home kubwa akapigiwa simu nyumba ndogo saa 4 usiku basi ujue atalala mpaka asubuhi ndo akiwa mwelekeo wa kazini ndo atapitia nyumba ndogo. Hii ndio sababu inawafanya akina bi mkubwa kutojisumbua sana kwani anajua yeye ndo mwenye mume na mwingine amedandia kwa nyuma na ipo siku ataachia tu.
 
Na ukimkuta nyumba ndogo anaejiamini huwezi kamwe abadan kumvaa na kumzushia varangati.

Atakuuliza kwa misingi ipi? Who are you? Mumeo ndo nani? Na masuala mengine yote atakurefer kwa huyo huyo mume. Utampiga?

ishu kama hii unatakiwa uanzane na mume wako mwenyewe, hata ukiweza kumdunda huyo dada bado kesho wataendelea kama mumeo kaamua! nitapambana na mdada pale tu atakapotaka kununua kec icyomuhusu.
 
daughter naombe nikuulize msimamo wako hapo ni upi......

Kaizer nakubaliana na sababu zilizotajwa na wengi kuhusu nini kinamsukuma mdada kuwa nyumba ndogo,lakini sikubaliana na swala la WIFE kudeal na 'mwizi' kwa sababu huyo 'muibwaji' alikuwa na maamuzi ya juu zaidi kwenye huo mchakato wa kuibiana. Wife alifunga mkataba na Muibwaji kwamba watakuwa faithful to each other till death do them part,sasa kwa nini pale inapotokea 'muibwaji' akaamua 'kuibwa' lawama zinaenda kwa 'mwizi'?
 
Maty my dear; embu tuweke kando mambo ya nyumba ndogo turudi kwenye woman to woman chat; Hivi inawezekana mwanaume akakufuatilia mwaka?? Na wewe huna hata feelings nae??? Am sure kuna signs za matumaini zinazo mfanya aendelee kukusumbua mwaka.


Nikikumbuka ujana wangu sikuwahi kuruhusu usumbufu wa muda mrefu kwani if you are not the one siumi umi maneno nakupa live na hutakuwa na hamu ya kuendelea kunifuata hata three months nini mwaka.

Mamii kuna wanaume ving'ang'anizi hasa itokee mnafanya kazi pamoja, huwezi kumtukana kwani ni mtu ambae mnakutana kila siku unamwambia tu kiutu uzima lakini haelewi kabisa mimi nina mifano hai my dear.

Sasa kuna huyu ana mkewe we ni nyumba ndogo inafika mahali unamwambia mi na wewe basi, anakataa kata kata hakuelewi kila siku ni simu simu simu, mwingine anakutishia hata maisha vile vile hasa bahati mbaya ukutane na mkurya ndio utajua ninamaanisha nini. Wanaume hawa waangalie hivyo hivyo kama mumeo ni mstaarabu shukuru lakini wengi wameoa mke wa kuja kumalizia nae uzee.
 
Hilo ni tatizo kubwa na ni exceptional case. Maana huyo wa hivyo hafai si kwa mkewe tu hata kwa nyumba ndogo.

Mamii kuna wanaume ving'ang'anizi hasa itokee mnafanya kazi pamoja, huwezi kumtukana kwani ni mtu ambae mnakutana kila siku unamwambia tu kiutu uzima lakini haelewi kabisa mimi nina mifano hai my dear.

Sasa kuna huyu ana mkewe we ni nyumba ndogo inafika mahali unamwambia mi na wewe basi, anakataa kata kata hakuelewi kila siku ni simu simu simu, mwingine anakutishia hata maisha vile vile hasa bahati mbaya ukutane na mkurya ndio utajua ninamaanisha nini. Wanaume hawa waangalie hivyo hivyo kama mumeo ni mstaarabu shukuru lakini wengi wameoa mke wa kuja kumalizia nae uzee.
 
Umenichelesha ulivyosema wakurya. Hao watani zangu mwanaume hacheat wala kitanda hakizai haramu.

Mamii kuna wanaume ving'ang'anizi hasa itokee mnafanya kazi pamoja, huwezi kumtukana kwani ni mtu ambae mnakutana kila siku unamwambia tu kiutu uzima lakini haelewi kabisa mimi nina mifano hai my dear.

Sasa kuna huyu ana mkewe we ni nyumba ndogo inafika mahali unamwambia mi na wewe basi, anakataa kata kata hakuelewi kila siku ni simu simu simu, mwingine anakutishia hata maisha vile vile hasa bahati mbaya ukutane na mkurya ndio utajua ninamaanisha nini. Wanaume hawa waangalie hivyo hivyo kama mumeo ni mstaarabu shukuru lakini wengi wameoa mke wa kuja kumalizia nae uzee.
 
Mvumbuzi unafanya mchezo na kudandia nyuma lazima aachie tu gari ikiongeza speed; unless amevaa viatu vya magurudumu.

Ulitaka huyu mama wa nyumba kubwa baada ya kujua mumewe ana nyumba ndogo afanye nini hasa? Hadhi ya nyumba kubwa always iko juu kuliko ile ya nyumba ndogo kwa sababu bi mkubwa ana ujasiri wa kutoka na husband bila kujificha na mumewe huwa anaingia nyumbani mchana kweupe. Nyumba ndogo ni vigumu sana kutoka na mume wa mtu hadharani kama kwenye harusi n.k na pia hutembelewa saa za usiku zaidi.
Ukitaka kujua nyumba kubwa ina hadhi kuliko nyumba ndogo, subiri mtoto apate matatizo katika nyumba kubwa halafu husband apigiwe simu uone atakavyokimbilia home. Ila akiwa home kubwa akapigiwa simu nyumba ndogo saa 4 usiku basi ujue atalala mpaka asubuhi ndo akiwa mwelekeo wa kazini ndo atapitia nyumba ndogo. Hii ndio sababu inawafanya akina bi mkubwa kutojisumbua sana kwani anajua yeye ndo mwenye mume na mwingine amedandia kwa nyuma na ipo siku ataachia tu.
 
Wengi hapa mnajadili kama kuwa mke mwenza ni manza. Katika historia nzima ya binadamu mwanamume siku zote amekuwa na wake wengi. Hivi ndivyo ilivyo hata katika ulimwengu wa wanyama. Wanyama wachache sana wanakuwa na mke mmoja. Mababu zetu hawakuwa na kipimo. Na wakati huo hili lilikuwa jambo la kawaida kabisa.
Nadhani watu wengi wamekuwa brain-washed na wazungu. Wazungu, labda kutokana na mazingira yao, hawawezi kukurukakara hizi, ndipo wakazipiga marufuku. Ki-stamina na hata ki-mpangilio wa maisha, ni wazungu wachache wanaoweza hivi. Lakini hata wao, huko nyuma sana walikuwa wana 'wingi wa wake' katika jamii zao.
Sasa swali langu ni hili. Imagine kama watu wote waume wanakuwa waaminifu...utawapeleka wapi mamilioni ya wanawake ambao wamezidi idadi ya waume. Huko Jamaica ratio ya mwanamume kwa wanawake ni 1-7! Au mnataka kusema kuzini ni bora kuliko kuoa? Kwa vile wanaume wengi-kwa tabia aliyowaumba M/Mungu- hawatosheki na mwanamke mmoja. hata huko Ulaya, kila siku kuna maskendo. Ni jambo lisilowezekana kimaumbile. Ni kama hii ya 'utawa' ambayo siku hizi mwasikia kumbe baadhi ya mapadre wana sehemu ya kujisaidia!
Hii ndiyo maana wanawake nchini Iran walipiga kura ya kupinga sheria ya kulazimisha 'mke mmoja'. Wanawake, ndio waliopinga na si wanaume!
 
Ulitaka huyu mama wa nyumba kubwa baada ya kujua mumewe ana nyumba ndogo afanye nini hasa? Hadhi ya nyumba kubwa always iko juu kuliko ile ya nyumba ndogo kwa sababu bi mkubwa ana ujasiri wa kutoka na husband bila kujificha na mumewe huwa anaingia nyumbani mchana kweupe. Nyumba ndogo ni vigumu sana kutoka na mume wa mtu hadharani kama kwenye harusi n.k na pia hutembelewa saa za usiku zaidi.
Ukitaka kujua nyumba kubwa ina hadhi kuliko nyumba ndogo, subiri mtoto apate matatizo katika nyumba kubwa halafu husband apigiwe simu uone atakavyokimbilia home. Ila akiwa home kubwa akapigiwa simu nyumba ndogo saa 4 usiku basi ujue atalala mpaka asubuhi ndo akiwa mwelekeo wa kazini ndo atapitia nyumba ndogo. Hii ndio sababu inawafanya akina bi mkubwa kutojisumbua sana kwani anajua yeye ndo mwenye mume na mwingine amedandia kwa nyuma na ipo siku ataachia tu.

MVUMBUZI
Just to name a few.............
Amkalishe mumewe chini, amkanye. Amshtaki kwa kwa wazazi, viongozi wa dini yao, amtukane, amuabishe, au ampigie matarumbeta ikiwezekana and so forth...........basically whatever anger these wives usually take out on hizo nyumba ndogo, wammwagie jamaa mwenyewe!

Kuhusu "hadhi", ni hadhi gani kuwa na mume mwenye kimada nje? Especially karne hii ambayo magonjwa yamejazana tele? Anyways I guess different strokes for differet folks. I wouldnt categorize a married woman iliyowekewa nyumba ndogo, as being in ndoa ya hadhi!!! I just cant fathom why some women now days seem to think that having ring is all that ndoa is about !! They proudly say "Ohh atatoka huko lakini usiku anarudi kulala hapahapapa!" Like really? How desperate can one bei!? To me, theres has to be more otherwise I dont see the point!!
 
Afu nawatamani saana hao nyumba ndogo wababe wakutane na nyumba kubwa mie ndiyo watajua kama MWIZI ana power or not.

Wewe bwana kuna mipingo huku duniani mbona wewe cha mtoto,hadi ninafikia kuwa nyumba ndogo ujue nimeji koki vya kutosha, anayeruka ameagana na nyonga, kama ukali simba ni mkali lakini anazalishwa. so ujue na ukali wako kama wanawake wa shoka wameamua kuingilia anga zako watakuweza tu. By the way kama hupendi mumeo atembee na wanawake na pia uanataka awe wa kwako peke yako unamuweka tu kwenye pochi yako uwe unatembea nae kila uendako....
 
Back
Top Bottom