Naombeni Uzoefu wa kuwa poligamist hapa.

incredible terminator

JF-Expert Member
Aug 1, 2016
2,229
3,525
Wakubwa kwa watoto habari za majukumu,?

Nakumbuka miaka kadhaa nilishawahi kushare hapa changamoto ninazopitia na mama watoto wangu, wengi walishauri niachane nae na wengine wakashauri nivumilie, Iko hivi baada ya sintofaham za hapa na pale Wife aliondoka hom na aliondoka na watoto wangu wawili,

Ameenda amekaa kwao kwa mda, nami kutokana na changamoto za hapa na pale nikaona bora nisogeze jiko nisiendelee kutaabika, Ila baada ya kuvuta jiko Wife karudi, kusema kweli kibinadam na kikawaida nilipata wazo la kumfungia vyoo au kutompokea ila nikawaza kuhusu wanangu nikaona nitakuwa sijawatendea haki kwa kuwa nyumba niliyojenga mimi ilipaswa wanangu wakae na pili nikaona ni nyema wakae na mama yao ndio nitakuw na amani pia,

Basi hapa ikanibidi niongee na wife nilieowa nikamhamisha hapa nikamfungulia biashara na kumpangia nyumba eneo tofauti na hapa, ili kupisha mwenyenyumba hapa namaanisha mama watoto,

Picha linaanza kuwa B mdogo nimeishi nae Takriban mwaka ila ameniprove vitu ambavyo awali sikuwahi kuviamini

1. Nimeamini mwanamke anaweza kumbadilisha mwanaume asichepuke hata bila kushika sim yake,

2. Nimeamini mwanamke anaweza kumfanya mwanaume akawa tajiri na akawa mtu wa kuheshimika kila anapopita.

3. Nimeamini mwanamke ni msimamizi mzuri wa biashara na mwenye kuleta maendeleo hasa ukimwezesha.

Tofauti ya B mdogo na mama watoto wangu ni kubwa sana,
Kwanza kabisa mama watoto wangu hata kama biashara nimemfungulia mimi ila anachokipata ni cha kwake tu hataki hata niguse 100,
Pili akitaka kutumia anachukua hata bila kunishirikisha na anafanya atakavyo kwa kuwa biashara ni yake,Tofauti na B mdogo ambae kila anachokipata lazima anishirikishe na lazima anikabidhi kwa kuomba nimshauri ni kipi afanye na hata nikiishiwa nikamuomba hanikopeshi ananipa bila kunidai kama alivyokuwa akifanya Mama watoto wangu.

Lakini kando na yote anayonifanyia B mdogo ila kusema kweli Nampenda sana mama watoto wangu japo ni mtu mwenye matukio ya ajabu sana, na hata alivyotaka kurudi sikuona shida nilikubali faster na mke wangu hakuona ubaya kupisha nyumba maana aliniambia

"Mme wangu acha aje kwa kuwa ana watoto wako lakini pia mimi siko huru kuishi kwenye hii nyumba kwa kuwa haina baraka kwangu mimi nipo tayari hata kuishi chumba kimoja ili tuanze upya nami nipate kwangu ila hapa ni kwake"

Kusema kweli ni wanawake wachache wanaweza kukubali kuacha mjengo na kwenda kupanga. Ila alivyorud Mama watoto watoto kwanza amenipiga limit kwenda kulala kwa B mdogo, pili hataki kabisa ushirikiano na mke Mdogo na amekuwa ni mtu mwenye kisirani sana hasa akiskia nazungumzia suala la mke mdogo, Japokuwa kumuacha mke mdogo siwezi maama ni mwanamke postive sana kwangu, nimekubali kuwa na wake wawili japo ni kitu ambacho sikuwahi kukifikiria awali.

Hapa nahitaji wazee wenzangu mnipe tips namna ya kuishi na hawa viumbe maana hadi sasa mke mkubwa anapasua kichwa sana nikitoka tu kidogo nikirud nakuta kavimba na analia bila sababu mara anatishia tena kuondoka na kuacha watoto ile hali alivyokuja kabla hajafika aliafiki kuwa amekubaliana na matokeo ya mimi kuowa.
 
Wakubwa kwa watoto habari za majukumu,?

Nakumbuka miaka kadhaa nilishawahi kushare hapa changamoto ninazopitia na mama watoto wangu, wengi walishauri niachane nae na wengine wakashauri nivumilie, Iko hivi baada ya sintofaham za hapa na pale Wife aliondoka hom na aliondoka na watoto wangu wawili,

Ameenda amekaa kwao kwa mda, nami kutokana na changamoto za hapa na pale nikaona bora nisogeze jiko nisiendelee kutaabika, Ila baada ya kuvuta jiko Wife karudi, kusema kweli kibinadam na kikawaida nilipata wazo la kumfungia vyoo au kutompokea ila nikawaza kuhusu wanangu nikaona nitakuwa sijawatendea haki kwa kuwa nyumba niliyojenga mimi ilipaswa wanangu wakae na pili nikaona ni nyema wakae na mama yao ndio nitakuw na amani pia,

Basi hapa ikanibidi niongee na wife nilieowa nikamhamisha hapa nikamfungulia biashara na kumpangia nyumba eneo tofauti na hapa, ili kupisha mwenyenyumba hapa namaanisha mama watoto,

Picha linaanza kuwa B mdogo nimeishi nae Takriban mwaka ila ameniprove vitu ambavyo awali sikuwahi kuviamini

1. Nimeamini mwanamke anaweza kumbadilisha mwanaume asichepuke hata bila kushika sim yake,

2. Nimeamini mwanamke anaweza kumfanya mwanaume akawa tajiri na akawa mtu wa kuheshimika kila anapopita.

3. Nimeamini mwanamke ni msimamizi mzuri wa biashara na mwenye kuleta maendeleo hasa ukimwezesha.

Tofauti ya B mdogo na mama watoto wangu ni kubwa sana,
Kwanza kabisa mama watoto wangu hata kama biashara nimemfungulia mimi ila anachokipata ni cha kwake tu hataki hata niguse 100,
Pili akitaka kutumia anachukua hata bila kunishirikisha na anafanya atakavyo kwa kuwa biashara ni yake,Tofauti na B mdogo ambae kila anachokipata lazima anishirikishe na lazima anikabidhi kwa kuomba nimshauri ni kipi afanye na hata nikiishiwa nikamuomba hanikopeshi ananipa bila kunidai kama alivyokuwa akifanya Mama watoto wangu.

Lakini kando na yote anayonifanyia B mdogo ila kusema kweli Nampenda sana mama watoto wangu japo ni mtu mwenye matukio ya ajabu sana, na hata alivyotaka kurudi sikuona shida nilikubali faster na mke wangu hakuona ubaya kupisha nyumba maana aliniambia

"Mme wangu acha aje kwa kuwa ana watoto wako lakini pia mimi siko huru kuishi kwenye hii nyumba kwa kuwa haina baraka kwangu mimi nipo tayari hata kuishi chumba kimoja ili tuanze upya nami nipate kwangu ila hapa ni kwake"

Kusema kweli ni wanawake wachache wanaweza kukubali kuacha mjengo na kwenda kupanga. Ila alivyorud Mama watoto watoto kwanza amenipiga limit kwenda kulala kwa B mdogo, pili hataki kabisa ushirikiano na mke Mdogo na amekuwa ni mtu mwenye kisirani sana hasa akiskia nazungumzia suala la mke mdogo, Japokuwa kumuacha mke mdogo siwezi maama ni mwanamke postive sana kwangu, nimekubali kuwa na wake wawili japo ni kitu ambacho sikuwahi kukifikiria awali.

Hapa nahitaji wazee wenzangu mnipe tips namna ya kuishi na hawa viumbe maana hadi sasa mke mkubwa anapasua kichwa sana nikitoka tu kidogo nikirud nakuta kavimba na analia bila sababu mara anatishia tena kuondoka na kuacha watoto ile hali alivyokuja kabla hajafika aliafiki kuwa amekubaliana na matokeo ya mimi kuowa.
Mbn mpo kimy
 
Wakubwa kwa watoto habari za majukumu,?

Nakumbuka miaka kadhaa nilishawahi kushare hapa changamoto ninazopitia na mama watoto wangu, wengi walishauri niachane nae na wengine wakashauri nivumilie, Iko hivi baada ya sintofaham za hapa na pale Wife aliondoka hom na aliondoka na watoto wangu wawili,

Ameenda amekaa kwao kwa mda, nami kutokana na changamoto za hapa na pale nikaona bora nisogeze jiko nisiendelee kutaabika, Ila baada ya kuvuta jiko Wife karudi, kusema kweli kibinadam na kikawaida nilipata wazo la kumfungia vyoo au kutompokea ila nikawaza kuhusu wanangu nikaona nitakuwa sijawatendea haki kwa kuwa nyumba niliyojenga mimi ilipaswa wanangu wakae na pili nikaona ni nyema wakae na mama yao ndio nitakuw na amani pia,

Basi hapa ikanibidi niongee na wife nilieowa nikamhamisha hapa nikamfungulia biashara na kumpangia nyumba eneo tofauti na hapa, ili kupisha mwenyenyumba hapa namaanisha mama watoto,

Picha linaanza kuwa B mdogo nimeishi nae Takriban mwaka ila ameniprove vitu ambavyo awali sikuwahi kuviamini

1. Nimeamini mwanamke anaweza kumbadilisha mwanaume asichepuke hata bila kushika sim yake,

2. Nimeamini mwanamke anaweza kumfanya mwanaume akawa tajiri na akawa mtu wa kuheshimika kila anapopita.

3. Nimeamini mwanamke ni msimamizi mzuri wa biashara na mwenye kuleta maendeleo hasa ukimwezesha.

Tofauti ya B mdogo na mama watoto wangu ni kubwa sana,
Kwanza kabisa mama watoto wangu hata kama biashara nimemfungulia mimi ila anachokipata ni cha kwake tu hataki hata niguse 100,
Pili akitaka kutumia anachukua hata bila kunishirikisha na anafanya atakavyo kwa kuwa biashara ni yake,Tofauti na B mdogo ambae kila anachokipata lazima anishirikishe na lazima anikabidhi kwa kuomba nimshauri ni kipi afanye na hata nikiishiwa nikamuomba hanikopeshi ananipa bila kunidai kama alivyokuwa akifanya Mama watoto wangu.

Lakini kando na yote anayonifanyia B mdogo ila kusema kweli Nampenda sana mama watoto wangu japo ni mtu mwenye matukio ya ajabu sana, na hata alivyotaka kurudi sikuona shida nilikubali faster na mke wangu hakuona ubaya kupisha nyumba maana aliniambia

"Mme wangu acha aje kwa kuwa ana watoto wako lakini pia mimi siko huru kuishi kwenye hii nyumba kwa kuwa haina baraka kwangu mimi nipo tayari hata kuishi chumba kimoja ili tuanze upya nami nipate kwangu ila hapa ni kwake"

Kusema kweli ni wanawake wachache wanaweza kukubali kuacha mjengo na kwenda kupanga. Ila alivyorud Mama watoto watoto kwanza amenipiga limit kwenda kulala kwa B mdogo, pili hataki kabisa ushirikiano na mke Mdogo na amekuwa ni mtu mwenye kisirani sana hasa akiskia nazungumzia suala la mke mdogo, Japokuwa kumuacha mke mdogo siwezi maama ni mwanamke postive sana kwangu, nimekubali kuwa na wake wawili japo ni kitu ambacho sikuwahi kukifikiria awali.

Hapa nahitaji wazee wenzangu mnipe tips namna ya kuishi na hawa viumbe maana hadi sasa mke mkubwa anapasua kichwa sana nikitoka tu kidogo nikirud nakuta kavimba na analia bila sababu mara anatishia tena kuondoka na kuacha watoto ile hali alivyokuja kabla hajafika aliafiki kuwa amekubaliana na matokeo ya mimi kuowa.
Hujui unachokitafuta kwenye mahusiano na utaendelea kuteseka sababu hujui unachokitafuta
Mwanaume au baba ni neno lenye mamlaka ndiyo maana mwanaume akaitwa kichwa cha familia
Mwanamke anatakiwa aishi na wewe chini ya mamlaka yako na afuate kile unachotaka wewe.
 
Mimi nikija kuoa, akaja akaondoka. Basi ameondoka mazima. Labda nifate wanangu.

Mtu akiondoka maana yake ahitaji kuwa nawe. Sasa kinachokufanya wewe utake kuwa nae ni nini?

Ndoa ni kwa wale wanaoithamini.
 
Mimi nikija kuoa, akaja akaondoka. Basi ameondoka mazima. Labda nifate wanangu.

Mtu akiondoka maana yake ahitaji kuwa nawe. Sasa kinachokufanya wewe utake kuwa nae ni nini?

Ndoa ni kwa wale wanaoithamini.
Ni sahih mkuu ila mimi huruma inaniponza alafu najiskis vbaya wsnangu wakilelewa na mama wa kambo.
 
Wakubwa kwa watoto habari za majukumu,?

Nakumbuka miaka kadhaa nilishawahi kushare hapa changamoto ninazopitia na mama watoto wangu, wengi walishauri niachane nae na wengine wakashauri nivumilie, Iko hivi baada ya sintofaham za hapa na pale Wife aliondoka hom na aliondoka na watoto wangu wawili,

Ameenda amekaa kwao kwa mda, nami kutokana na changamoto za hapa na pale nikaona bora nisogeze jiko nisiendelee kutaabika, Ila baada ya kuvuta jiko Wife karudi, kusema kweli kibinadam na kikawaida nilipata wazo la kumfungia vyoo au kutompokea ila nikawaza kuhusu wanangu nikaona nitakuwa sijawatendea haki kwa kuwa nyumba niliyojenga mimi ilipaswa wanangu wakae na pili nikaona ni nyema wakae na mama yao ndio nitakuw na amani pia,

Basi hapa ikanibidi niongee na wife nilieowa nikamhamisha hapa nikamfungulia biashara na kumpangia nyumba eneo tofauti na hapa, ili kupisha mwenyenyumba hapa namaanisha mama watoto,

Picha linaanza kuwa B mdogo nimeishi nae Takriban mwaka ila ameniprove vitu ambavyo awali sikuwahi kuviamini

1. Nimeamini mwanamke anaweza kumbadilisha mwanaume asichepuke hata bila kushika sim yake,

2. Nimeamini mwanamke anaweza kumfanya mwanaume akawa tajiri na akawa mtu wa kuheshimika kila anapopita.

3. Nimeamini mwanamke ni msimamizi mzuri wa biashara na mwenye kuleta maendeleo hasa ukimwezesha.

Tofauti ya B mdogo na mama watoto wangu ni kubwa sana,
Kwanza kabisa mama watoto wangu hata kama biashara nimemfungulia mimi ila anachokipata ni cha kwake tu hataki hata niguse 100,
Pili akitaka kutumia anachukua hata bila kunishirikisha na anafanya atakavyo kwa kuwa biashara ni yake,Tofauti na B mdogo ambae kila anachokipata lazima anishirikishe na lazima anikabidhi kwa kuomba nimshauri ni kipi afanye na hata nikiishiwa nikamuomba hanikopeshi ananipa bila kunidai kama alivyokuwa akifanya Mama watoto wangu.

Lakini kando na yote anayonifanyia B mdogo ila kusema kweli Nampenda sana mama watoto wangu japo ni mtu mwenye matukio ya ajabu sana, na hata alivyotaka kurudi sikuona shida nilikubali faster na mke wangu hakuona ubaya kupisha nyumba maana aliniambia

"Mme wangu acha aje kwa kuwa ana watoto wako lakini pia mimi siko huru kuishi kwenye hii nyumba kwa kuwa haina baraka kwangu mimi nipo tayari hata kuishi chumba kimoja ili tuanze upya nami nipate kwangu ila hapa ni kwake"

Kusema kweli ni wanawake wachache wanaweza kukubali kuacha mjengo na kwenda kupanga. Ila alivyorud Mama watoto watoto kwanza amenipiga limit kwenda kulala kwa B mdogo, pili hataki kabisa ushirikiano na mke Mdogo na amekuwa ni mtu mwenye kisirani sana hasa akiskia nazungumzia suala la mke mdogo, Japokuwa kumuacha mke mdogo siwezi maama ni mwanamke postive sana kwangu, nimekubali kuwa na wake wawili japo ni kitu ambacho sikuwahi kukifikiria awali.

Hapa nahitaji wazee wenzangu mnipe tips namna ya kuishi na hawa viumbe maana hadi sasa mke mkubwa anapasua kichwa sana nikitoka tu kidogo nikirud nakuta kavimba na analia bila sababu mara anatishia tena kuondoka na kuacha watoto ile hali alivyokuja kabla hajafika aliafiki kuwa amekubaliana na matokeo ya mimi kuowa.
Last paragraph,imenifanya nicheke!
Mtu anakupasua kichwa ,na yupo ambae hakupasui kichwa si uende huko mkuu ukapumzishe kichwa?
 
Kwann walelewe na mama wa kambo wakati mama Yao mzazi yupo?
Huu ujinga mi ndio sitaki, Kila mmoja alee wanae km alivyozaa!
Akiondoka,aondoke nao utawahudumia watt asilete ujinga!
Hapa ndipo tatzo linapoanzia maana alivyokuwa kwao inasemekana ndugu zake wamemwambia arudshe watoto ndio wampe mtaji na hapo ndipo kaamua kuomba kurud
 
Hapa ndipo tatzo linapoanzia maana alivyokuwa kwao inasemekana ndugu zake wamemwambia arudshe watoto ndio wampe mtaji na hapo ndipo kaamua kuomba kurud
Lakini na ww km mwanaume huna msimamo
Mwanamke anakuamliaje Cha kufanya!?
Haya ndo tunasema mwanaume lzm uwe strong!
Kwani ye wa kwanza kuzaa?
Huyo atakuja kukupiga tukio utashangaa!
 
Siku nikisema naoa jua lazima wawe wake 2 au watatu

Make mmoja utaishiwa kuwa MWANAFALSAFA tu(Sio msanii)
 
Wakubwa kwa watoto habari za majukumu,?

Nakumbuka miaka kadhaa nilishawahi kushare hapa changamoto ninazopitia na mama watoto wangu, wengi walishauri niachane nae na wengine wakashauri nivumilie, Iko hivi baada ya sintofaham za hapa na pale Wife aliondoka hom na aliondoka na watoto wangu wawili,

Ameenda amekaa kwao kwa mda, nami kutokana na changamoto za hapa na pale nikaona bora nisogeze jiko nisiendelee kutaabika, Ila baada ya kuvuta jiko Wife karudi, kusema kweli kibinadam na kikawaida nilipata wazo la kumfungia vyoo au kutompokea ila nikawaza kuhusu wanangu nikaona nitakuwa sijawatendea haki kwa kuwa nyumba niliyojenga mimi ilipaswa wanangu wakae na pili nikaona ni nyema wakae na mama yao ndio nitakuw na amani pia,

Basi hapa ikanibidi niongee na wife nilieowa nikamhamisha hapa nikamfungulia biashara na kumpangia nyumba eneo tofauti na hapa, ili kupisha mwenyenyumba hapa namaanisha mama watoto,

Picha linaanza kuwa B mdogo nimeishi nae Takriban mwaka ila ameniprove vitu ambavyo awali sikuwahi kuviamini

1. Nimeamini mwanamke anaweza kumbadilisha mwanaume asichepuke hata bila kushika sim yake,

2. Nimeamini mwanamke anaweza kumfanya mwanaume akawa tajiri na akawa mtu wa kuheshimika kila anapopita.

3. Nimeamini mwanamke ni msimamizi mzuri wa biashara na mwenye kuleta maendeleo hasa ukimwezesha.

Tofauti ya B mdogo na mama watoto wangu ni kubwa sana,
Kwanza kabisa mama watoto wangu hata kama biashara nimemfungulia mimi ila anachokipata ni cha kwake tu hataki hata niguse 100,
Pili akitaka kutumia anachukua hata bila kunishirikisha na anafanya atakavyo kwa kuwa biashara ni yake,Tofauti na B mdogo ambae kila anachokipata lazima anishirikishe na lazima anikabidhi kwa kuomba nimshauri ni kipi afanye na hata nikiishiwa nikamuomba hanikopeshi ananipa bila kunidai kama alivyokuwa akifanya Mama watoto wangu.

Lakini kando na yote anayonifanyia B mdogo ila kusema kweli Nampenda sana mama watoto wangu japo ni mtu mwenye matukio ya ajabu sana, na hata alivyotaka kurudi sikuona shida nilikubali faster na mke wangu hakuona ubaya kupisha nyumba maana aliniambia

"Mme wangu acha aje kwa kuwa ana watoto wako lakini pia mimi siko huru kuishi kwenye hii nyumba kwa kuwa haina baraka kwangu mimi nipo tayari hata kuishi chumba kimoja ili tuanze upya nami nipate kwangu ila hapa ni kwake"

Kusema kweli ni wanawake wachache wanaweza kukubali kuacha mjengo na kwenda kupanga. Ila alivyorud Mama watoto watoto kwanza amenipiga limit kwenda kulala kwa B mdogo, pili hataki kabisa ushirikiano na mke Mdogo na amekuwa ni mtu mwenye kisirani sana hasa akiskia nazungumzia suala la mke mdogo, Japokuwa kumuacha mke mdogo siwezi maama ni mwanamke postive sana kwangu, nimekubali kuwa na wake wawili japo ni kitu ambacho sikuwahi kukifikiria awali.

Hapa nahitaji wazee wenzangu mnipe tips namna ya kuishi na hawa viumbe maana hadi sasa mke mkubwa anapasua kichwa sana nikitoka tu kidogo nikirud nakuta kavimba na analia bila sababu mara anatishia tena kuondoka na kuacha watoto ile hali alivyokuja kabla hajafika aliafiki kuwa amekubaliana na matokeo ya mimi kuowa.
Kwa hiyo unataka kuwa kitombi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom