Nini kina sababisha siku za hedhi kupitiliza kama huna mimba?

Heshima mbele wakuu,

Nahisi naongopewa hapa jamani nitoeni hofu,

Hajapata siku zake tangu Jan 2014 mpaka March 22, na ametokwa na damu nyingi mpaka imepelekea damu yake kupungua mpaka kipimo cha 6. Wanasema ana damu 6 badala ya 12 ambayo ni sahihi kuwa nayo.

Anasikia kizunguzungu, Presha ya kushuka n.k

Madaktari walihisi katoa mimba (abortion)

Naomba ufafanuzi juu ya swala hili, nimekosa uaminifu juu yake, na anaishi mbali na mimi.
watu8 MziziMkavu Mamdenyi EvelynSalt King'asti
 
Last edited by a moderator:
Heshima mbele wakuu,

Nahisi naongopewa hapa jamani nitoeni hofu,

Hajapata siku zake tangu Jan 2014 mpaka March 22, na ametokwa na damu nyingi mpaka imepelekea damu yake kupungua mpaka kipimo cha 6. Wanasema ana damu 6 badala ya 12 ambayo ni sahihi kuwa nayo.

Anasikia kizunguzungu, Presha ya kushuka n.k

Madaktari walihisi katoa mimba (abortion)

Naomba ufafanuzi juu ya swala hili, nimekosa uaminifu juu yake, na anaishi mbali na mimi.
watu8 MziziMkavu Mamdenyi EvelynSalt King'asti
Wanavyosema Ma-Daktari ni ukweli ila kama unampenda mvumilie kula jiwe jifanye kama hakujatokea kitu atakuficha lakini ipo siku atakuambia ukweli wa mambo.
 
Inawezekana hajatoa mimba, na akawa amepoteza mimba bahati mbaya. daktari alipaswa kujua kwa hakika kama ametoa mimba ama la, ila kwa sababu unazini nae tu na sio mkeo huna haki ya kutaka kujua uhakika kwa daktari. apatiwe matibabu asije akadhurika zaidi.

uwezekano wa pili ni kuwa anaweza kuwa na shida ya hormones. again, daktari anaweza kuthibitisha hilo.

pole sana. usiwe mwepesi kuhukumu, mambo ya magonjwa ya kinamama ni complicated kweli
 
Habari wana jf! naomba msaada katika hili...Nina ndugu yangu ana tatizo la hedhi kujirudia tatizo hili lilianza baada ya kujifungua na kuanza kutumia sindano za uzazi wa mpango.Mwanzo alienda hospital wakamuambia tatizo lingeisha kwa sababu ndio kwanza alichoma kwa mara ya kwanza lakini tatizo hilo liliendelea mpaka sasa hata baada ya kuacha sindano.Naomba msaada afanyaje?
 
uamuzi aliofanya ni mzuri wa kuachana na sindano itachukua muda baadaye mzunguko wake utarudi kama kawaida,maana side effects za dawa za uzazi wa mpaka inachukua siku,miezi au miaka hata kuupa mwili kurudi hali ya kawaida...." anaweza kutumia condom kwa wakati huu ambapo mzunguko bado unabadilika badilika....Nanyi mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru'
 
uamuzi
aliofanya ni mzuri wa kuachana na sindano itachukua muda baadaye
mzunguko wake utarudi kama kawaida,maana side effects za dawa za uzazi
wa mpaka inachukua siku,miezi au miaka hata kuupa mwili kurudi hali ya
kawaida...." anaweza kutumia condom kwa wakati huu ambapo mzunguko bado
unabadilika badilika....Nanyi mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka
huru'

Nashukuru kwa ushauri...ila naomba unisaidie tatizo hiyo hedhi imekuwa kero hawezi kukaa hata wiki mbili bila kujirudia..Hamna dawa yoyote anayoweza kutumia ili kurekebisha hormones?
 
Ndg wanajamvi habari

Kwanza niwape pole kwa mapambano mnayoendelea nayo katika kuhakikisha mnatimiza ndoto za maisha bora kwa kila mtanzania najua ni safari ndefu lakini ishallah tutafika.

Wanajamvi, nina mke ambaye tumebahatika kupata mtoto. Kabla ya kupata mtoto mpenzi huyu alikuwa na mzunguko wa kawaida tu katika hedhi kwa kila mwezi lakini mara baada ya kupata mtoto pamekuwa na mabadiliko katika hedhi zake, wakati mwingine tarehe zinazidi au kupungua kutoka kwenye tarehe ya makadirio.

Kilichonistua ni kuwa siku 2 baada ya kuwa amemaliza hedhi pametokea mabadiliko na kuanza tena kutoka damu tena kwa wingi zaidi kuliko kawaidia hii ilinistua nikalazimika leo kumpeleka hospital, doctor akasema ni hali ya kawaida kuona mabadiliko haya hasa mwanamke anapokuwa amejifungua ILA kilichonistua zaidi ni pale alipotoa ushauri wa kitabibu kuwa ili kurudisha hedhi katika mzunguko wake wa kawaida basi mke wangu aanze kutumia vidonge vya MAJIRA kwa siku 7 mfululizo halafu aache

Nimekua nikifahamu kuwa vidonge hivi ni kwa ajili ya uzazi wa mpango sasa Doctor aliponiambia mke atumie vidonge hivi ameniacha njia panda.

Tafadhali Mzizi mkavu najua una uelewa mkubwa, pamoja na wengine naombeni ufafanuzi katika katika hili
 
Ndg wanajamvi habari

Kwanza niwape pole kwa mapambano mnayoendelea nayo katika kuhakikisha mnatimiza ndoto za maisha bora kwa kila mtanzania najua ni safari ndefu lakini ishallah tutafika.

Wanajamvi, nina mke ambaye tumebahatika kupata mtoto. Kabla ya kupata mtoto mpenzi huyu alikuwa na mzunguko wa kawaida tu katika hedhi kwa kila mwezi lakini mara baada ya kupata mtoto pamekuwa na mabadiliko katika hedhi zake, wakati mwingine tarehe zinazidi au kupungua kutoka kwenye tarehe ya makadirio.

Kilichonistua ni kuwa siku 2 baada ya kuwa amemaliza hedhi pametokea mabadiliko na kuanza tena kutoka damu tena kwa wingi zaidi kuliko kawaidia hii ilinistua nikalazimika leo kumpeleka hospital, doctor akasema ni hali ya kawaida kuona mabadiliko haya hasa mwanamke anapokuwa amejifungua ILA kilichonistua zaidi ni pale alipotoa ushauri wa kitabibu kuwa ili kurudisha hedhi katika mzunguko wake wa kawaida basi mke wangu aanze kutumia vidonge vya MAJIRA kwa siku 7 mfululizo halafu aache

Nimekua nikifahamu kuwa vidonge hivi ni kwa ajili ya uzazi wa mpango sasa Doctor aliponiambia mke atumie vidonge hivi ameniacha njia panda.

Tafadhali Mzizi mkavu najua una uelewa mkubwa, pamoja na wengine naombeni ufafanuzi katika katika hili
Achana na kutumia Vidonge vya Majira tumia dawa yangu hii itamsaidia

TIBA YA HEDHI INAYOTOKA KWA WINGI ZAIDI YA ADA: Kanuni ya kwanza: Chukua kijiko kimoja cha maua ya Babunaji (Chamomile) ukoroge ndani ya kikombe kimoja cha maji ya moto. Yakishapoa, unywe kikombe kimoja kutwa mara tatu kabla ya kula.

Kanuni ya pili: Chukua zaatar kijiko kimoja kikubwa cha chakula ukoroge ndani ya kikombe kimoja cha maji ya moto. Kunywa kikombe cha chai kutwa mara tatu.




gorgeousmimi pita hapa tafadhali na MziziMkavu pia mleta mada alikuita
Vipi mkuu utafiti hujambo
 
Achana na kutumia Vidonge vya Majira tumia dawa yangu hii itamsaidia

TIBA YA HEDHI INAYOTOKA KWA WINGI ZAIDI YA ADA: Kanuni ya kwanza: Chukua kijiko kimoja cha maua ya Babunaji (Chamomile) ukoroge ndani ya kikombe kimoja cha maji ya moto. Yakishapoa, unywe kikombe kimoja kutwa mara tatu kabla ya kula.

Kanuni ya pili: Chukua zaatar kijiko kimoja kikubwa cha chakula ukoroge ndani ya kikombe kimoja cha maji ya moto. Kunywa kikombe cha chai kutwa mara tatu.




Vipi mkuu utafiti hujambo

Sijambo sana kaka. Vp na wewe na familia wazima?
 
Ndg wanajamvi habari

Kwanza niwape pole kwa mapambano mnayoendelea nayo katika kuhakikisha mnatimiza ndoto za maisha bora kwa kila mtanzania najua ni safari ndefu lakini ishallah tutafika.

Wanajamvi, nina mke ambaye tumebahatika kupata mtoto. Kabla ya kupata mtoto mpenzi huyu alikuwa na mzunguko wa kawaida tu katika hedhi kwa kila mwezi lakini mara baada ya kupata mtoto pamekuwa na mabadiliko katika hedhi zake, wakati mwingine tarehe zinazidi au kupungua kutoka kwenye tarehe ya makadirio.

Kilichonistua ni kuwa siku 2 baada ya kuwa amemaliza hedhi pametokea mabadiliko na kuanza tena kutoka damu tena kwa wingi zaidi kuliko kawaidia hii ilinistua nikalazimika leo kumpeleka hospital, doctor akasema ni hali ya kawaida kuona mabadiliko haya hasa mwanamke anapokuwa amejifungua ILA kilichonistua zaidi ni pale alipotoa ushauri wa kitabibu kuwa ili kurudisha hedhi katika mzunguko wake wa kawaida basi mke wangu aanze kutumia vidonge vya MAJIRA kwa siku 7 mfululizo halafu aache

Nimekua nikifahamu kuwa vidonge hivi ni kwa ajili ya uzazi wa mpango sasa Doctor aliponiambia mke atumie vidonge hivi ameniacha njia panda.

Tafadhali Mzizi mkavu najua una uelewa mkubwa, pamoja na wengine naombeni ufafanuzi katika katika hili

Pole sana mkuu MNYOO JOGOO,naomba unisaidie majibu ya maswali yafuatayo ili nijue cha kukushauri,

1. mkeo amejifungua lini? na ilimchukua muda gani kuanza tena hedhi?

2. Ana maumivu yoyote ya tumbo au homa?

nikutoe hofu tu kwamba vidonge vya uzazi wa mpango/majira vinaweza kutumika kurekebisha mzunguko wa hedhi,mpe pole bibie na hongera kwa kupata mtoto!
 
Last edited by a moderator:
Hello - Local Sponsor.

Nashukuru kwa kujali na kutaka kujua zaidi. Mke wangu alijifungua miezi sita iliyopita, na ilimchukua miezi 3 kuanza period, maumivu ya tumbo huwa yanakuwepo na yamekupo hata kabla ya kujifungua pindi anapokaribia period ila kwa sasa yanakuwa yanamediz kidogo.

Natanguliza shukrani

Pole sana mkuu MNYOO JOGOO,naomba unisaidie majibu ya maswali yafuatayo ili nijue cha kukushauri,

1. mkeo amejifungua lini? na ilimchukua muda gani kuanza tena hedhi?

2. Ana maumivu yoyote ya tumbo au homa?

nikutoe hofu tu kwamba vidonge vya uzazi wa mpango/majira vinaweza kutumika kurekebisha mzunguko wa hedhi,mpe pole bibie na hongera kwa kupata mtoto!
 
Achana na kutumia Vidonge vya Majira tumia dawa yangu hii itamsaidia

TIBA YA HEDHI INAYOTOKA KWA WINGI ZAIDI YA ADA: Kanuni ya kwanza: Chukua kijiko kimoja cha maua ya Babunaji (Chamomile) ukoroge ndani ya kikombe kimoja cha maji ya moto. Yakishapoa, unywe kikombe kimoja kutwa mara tatu kabla ya kula.

Kanuni ya pili: Chukua zaatar kijiko kimoja kikubwa cha chakula ukoroge ndani ya kikombe kimoja cha maji ya moto. Kunywa kikombe cha chai kutwa mara tatu.




Vipi mkuu utafiti hujambo

asante sana kwa tiba lakini hivyo vitu vinapatikana wapi? yaani maduka gani?
 
Back
Top Bottom