Asante kwa kuchagua halotelWalianza kwa kasi kweli kwenye internet sasa hivi ni aibu hata kuzungumzia, customer care namba haipatikani, kwenye facebook ukilalamika hawajibu ila ukiwasifia admin anajibu fasta, utasikia asante kwa kuchagua halotel.
Please jamani embu rudisheni ile speed ya zamani au ni hujuma??

Zamani ht LIVESTREAM nilikuwa nacheki fresh lakini siku hizi haiwezekani inakwamakwama...sema kwa bongo sijaona mtandao mwingine wa kukimbilia maana nina experience na majanga ya Tigo ,voda ,Aittel zote ziliniboakiukweli we ndo nimeona umeongea ukweli kuplay clip insta ni bahati ila kwa hawa wengine wanazungumza uongo youtube naangalia ata muvi bila kukwama kwama af mb za halotel zinakaa mda mrefu haziishi haraka
Hamna kitu mkuu, speed imepungua sio kama mwanzoHahaha jamaa wewe itakuwa sehemu ulipo inazengwe Halotel wako vizuri hasa ukanda wote wa pwani speed yao bado mwendo kasi sijaona mtandao wa kucompare na Halotel aisee,Tukitoa internet kwenye sms ndo hatareeee...
Kweli kabisa,wameshachemsha bado mapemaaWalianza kwa kasi kweli kwenye internet sasa hivi ni aibu hata kuzungumzia, customer care namba haipatikani, kwenye facebook ukilalamika hawajibu ila ukiwasifia admin anajibu fasta, utasikia asante kwa kuchagua halotel.
Please jamani embu rudisheni ile speed ya zamani au ni hujuma??
Mimi nilizitupa kabisaMi natumia halotel speed iko vizuri tu naangalia mpira movie's iko bomba line ya tigo Voda airtel zantel nimeweka pembeni
Waambie mkuu ndio maana wala sikuhangaika nao nilijua, debe likivuma sanaMlitukana nazi wakati embe ni tunda la msimu.
Komaeni na wa-Vietnam wenu msirudi huku.
Hahaha habati mbaya now sina task ya kudownload and niko pwani lakini sehemu nilipo internet haiko good sana lakini inafika hadi 600kbps na nikikaa sehemu nzuri hadi 1mbps...Ongea kwa ushahidi..weka hapa speedtest ya halotel tuamini maneno yako,binafsi kwa sasa nipo pwani..speed ime drop sana,otherwise usubir usiku sana ndio speed at least inakua poa.
Sisemi uongo mkuu,nadownload serries moja yenye episode km 8 iv kwa 30min na hapo bado nafanya mambo mengine ktk mtandao still unasema wanambwela doh...Hamna kitu mkuu, speed imepungua sio kama mwanzo
Kurudi Airtel ni sawa na kushuka kwenye basi na kupanda mkokoteniInazingua mpaka nimerudi airtel
Sasa 600kbs ni speed ya halotel kwa ilivyo anza?Hahaha habati mbaya now sina task ya kudownload and niko pwani lakini sehemu nilipo internet haiko good sana lakini inafika hadi 600kbps na nikikaa sehemu nzuri hadi 1mbps...

haahaha kwa sasa voda au tigo wanafika 1MBpsSasa 600kbs ni speed ya halotel kwa ilivyo anza?
Hiyo speed inapitwa mara tatu zaid na vodacom,
Huitaji task mkuu ,Nenda playstore search app inaitwa speedtest.net utaiona ni yakwanza
Kisha fanya testing na uweke hapa screenshot..![]()