Nini kimewafanya Simba kukubali mkataba wa Bilioni 20 wakati wadhamini waliopita walikuwa wanatoa Bilioni 26?

Nini kimewafanya Simba kukubali mkataba wa Bilioni 20 wakati wadhamini waliopita walikuwa wanatoa Bilioni 26?

Je M-beti na Simba walitudanganya? Inakuwaje Simba wakubali pesa ndogo (bilioni 20) wakati mkataba ulioisha ulikuwa bilioni 26?

Je club hiyo inaporomoka thamani? Kwanini wasingekomaa wapate angalau Bilioni 30? Au hata bilioni 27?
Wewe uliishawahi kukomalia Mkataba ukapata shilingi ngapi badala ya shilingi ngapi?
 
Wengine ni vibarua mwaka wa 5 huu mshahara laki 4 hatujawahi kuongezewa hata mia ila hili la Simba linatuumiza zaidi. Uongozi wazembe mno.
Ahahahahaha! Mwamba hii komenti yako ni komenti yangu bora ya mwezi Julai, 2025 kwenye mambo ya Soka! Ahahahahaha!!
 
1753821840412.jpeg

Mkataba miaka mitano umeisha baada ya miaka mitatu.

Simba hawana akili ya kuhoji hili mo akiwapiga hela ni haki yake.
 
Mo aje kuzungumzia na hii mikataba sio kila siku akiamka yeye ni kuwadai tu watani kwenye mikataba ya pesa yupo kimya..
 
Back
Top Bottom