JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Makosa mengi yaliyopo Leo hasa yamesababisha na Vyama, mfano, Nje ya Chama, ni lini umewahi kumuona Mh Mdee akipelekwa mahakamani?
Nje ya Chama, ni lini Mh Mbowe amewahi kushinda mahakamani Kwa makosa yake?
Nje ya Chama wote ni watu Wema kuliko Bashite, na Kwa maana hiyo utambue wazi kabisa urafiki wa mtu na mtu haijalishi anatokea Chama gani
Nje ya Vyama, Sisi sote tunapendana tena sio kidogo
Lakini ndani ya Chama, shetani anakaa huko, mawazo ya kuvunja mageti ya magereza ni ndani ya Chama,
Ndani ya Chama uzalendo hamna
Ni hayo mkuu
..hoja yako ina ukweli 50%.
..kitu ambacho hukukizungumzia ni mwenendo wa ccm tangu Magufuli awe mwenyekiti wa chama.
..ccm ya Magufuli imefichama ndani ya dola na mahakama na ndiyo maana unaona ktk u
awamu hii vyama vya upinzani vinasumbuliwa na polisi / vyombo vya ulinzi na usalama, pamoja na mahakama kila wakati.