Nini kimemsukuma Msigwa wa Ikulu kuposti picha hizi mtandaoni siku ya leo akidai ni kumbukumbu?

Makosa mengi yaliyopo Leo hasa yamesababisha na Vyama, mfano, Nje ya Chama, ni lini umewahi kumuona Mh Mdee akipelekwa mahakamani?

Nje ya Chama, ni lini Mh Mbowe amewahi kushinda mahakamani Kwa makosa yake?

Nje ya Chama wote ni watu Wema kuliko Bashite, na Kwa maana hiyo utambue wazi kabisa urafiki wa mtu na mtu haijalishi anatokea Chama gani

Nje ya Vyama, Sisi sote tunapendana tena sio kidogo

Lakini ndani ya Chama, shetani anakaa huko, mawazo ya kuvunja mageti ya magereza ni ndani ya Chama,

Ndani ya Chama uzalendo hamna

Ni hayo mkuu

..hoja yako ina ukweli 50%.

..kitu ambacho hukukizungumzia ni mwenendo wa ccm tangu Magufuli awe mwenyekiti wa chama.

..ccm ya Magufuli imefichama ndani ya dola na mahakama na ndiyo maana unaona ktk u
awamu hii vyama vya upinzani vinasumbuliwa na polisi / vyombo vya ulinzi na usalama, pamoja na mahakama kila wakati.
 
Nadhani anamaanisha Mh. Rais Magufuli ni mtu wa watu, anawapenda watu bila kujali mlengo wa kisiasa. Yaani hana ubaguzi.
 
Huwa natamani sana kuona hizi sura zenye upendo na furaha zikiwa katika nyuso za viongozi wetu bila kujali itikadi za vyama vyao..huu Ndio u Tanzania wetu tunapaswa kujivunia kwa Hilo lakini matokeo yake imekuwa ni kinyume chake na watu wamejenga uadui mkubwa sana na kuwaziana mambo mabaya na kukomoana kisa tu wamepishana mitazamo. Mungu atunusuru katika hili
Africa hawajui kinachoitwa upinzani. Africa wanajua kiongozi ni mfalme na hapaswi kukosolewa. Hii dhana inawasumbua sana viongozi (watawala) wetu.

Tazama hata bungeni ni kuviziana ni nani anajadili nini !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upumbav,watu wanateseka kwa kutekeleza wajibu wao kisa tu ni wapinzani,nvhi hii ukiwa mpinzani ni sawa Corona na unapaswa kutokomezwa kwa namna yoyote ile!Au hukusikia JPm akimwagiza spika awatoe nje hao wabunge ili yeye akawashugjulikie huko uraiani?Kwa hizo picha ni wazi JPM alikuwa hajawa Rais!

"Nearly an old man can withstand adversity but if you want to test the man's character,give hime power"

Abrahm lincoln!

Ukweli mkuu..afu anafanya maigizo pale jumapili kanisani...
 
Najiuliza ni nin kimemsukuma Greyson Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?

Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.

Je,ni hivi hivi tu?

Upendo huu umeanza lini?

Hii hawezi kuwa ni damage control?

View attachment 1398775

View attachment 1398776
Wapo wabunge wanatofautiana vyama na wenziwao, pia wapo waume na wake zao wanatofautiana dini na maisha yanaendelea.
 
Najiuliza ni nin kimemsukuma Greyson Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?

Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.

Je,ni hivi hivi tu?

Upendo huu umeanza lini?

Hii hawezi kuwa ni damage control?

View attachment 1398775

View attachment 1398776
Ni picha moja tu isiyoweza kuwekwa hapo hata kama ipo.

Ni ile ya Tundu Lissu.
 
Hiyo michango mngenipa hata mie kuliko vile.

Siasa haina uadui wa kudumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnatumia hii misemo ya watu vibaya na kupotosha maana yake.

"Siasa haina uadui wa kudumu" - akikuua kwa siasa bado utasema siasa haina uadui wa kudumu?

Anakupa kilema cha maisha bado unaimba "siasa haina uadui wa kudumu"?

Hiyo ni akili toka wapi kama sio matope.
 
katika muda ambao viongozi wetu hawaishi kuitwa mahakamani. katika nyakati ambapo viongozi wetu wanapigwa na kujeruhiwa kiasi cha kulazwa.

hizi status za msemaji wa Ikulu twitter zina maana gani?
80AA1FB3-CE67-4368-BBC8-308A5EA85CB5.jpeg
 
Maendeleo hayana vyama!

Hii kauli ina ukakasi mkubwa Sana!
Magufuli anazuia Wapinzani kutofanya mikutano na vikao vya ndani hasa CHADEMA....! Lakini pia ananyanyasa Wapinzani kwa kuwakamata na kuwafungulia kesi za KUWAKOMOA!!!

Kwa maana ya kauli hii ya Magufuli MAENDELEO NI YA CHAMA CHA CCM!
 
Back
Top Bottom