Nini kimempeleka Mbowe huko South Africa?

Nini kimempeleka Mbowe huko South Africa?

sawa, lakini kukosekana umeme hakuwafanyi wananchi kupigwa virungu kwa kuandamana bila vibali. Sio wewe uanzishe maandamano yasiyo na vibali halafu umbebe mchepuko wako muende sauzi, uache watoto wa "makamanda" wapigwe
haa haa kweli nimeamini nyani haoni kundule duh.
 
haa haa,mkuu usianze kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzie, anza kwako. Mbona sijaona mkimkosoa jk? Huu ni unafiki mkubwa!

Unaishi dunia gani wewe mpaka useme hujawahi kuona JK akikosolewa? By the way, siyo kila anayekosoa CDM ni CCM.
 
tatizo lako na la wengi ni hilo.

Unafikiri kila mtu ambaye ana hoja ambazo haziwafurahishi chadema basi atakuwa ni CCM na mtu mwenye hoja ambazo haziwafurahishi CCM basi ni chadema!

Hii ni moja ya sababu inayoshusha sana hadhi ya Jamiiforums hususani jukwaa la siasa.

Mimi ni miongoni mwa watu ambao wanachukizwa sana na safari zisizo na tija za Rais Kikwete.

Pia nina hamu CCM iondolewe madarakani haraka sana lakini nasikitishwa na 'utayari' wa vyama vya upinzani tulivyonavyo.
Moja ya jambo linalonishangaza na kuni;disapoint ni hili la mbowe kusafiri in the midle of very important operation.

Juzi Wananchi wa Kenya eneo la Garissa wamekasirishwa na kitendo cha rais wao kwenda USA wakati ilikuwa aende kuzindua project muhimu sana ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa hamu sana, wananchi wameahidi wataurushia mawe msafara wa Uhuru siku ukipita maeneo ya Garissa.

By the way sina shida na mbowe personnal nadhani hapo ume

Tatizo humu jukwaani watu huwa wanachukulia vitu kwa msimamo mkali utasema dini, ukienda against tu unaonekana upo upande wa pili kiitikadi wakati kinachotakiwa ni kuangalia kwa jicho la kawaida na umuhimu wa safari ya mheshimiwa nje ya nchi maana kama alitangaza ingekuwa vyema na yeye akawepo na kwa vyovyote hiyo safari sio dharula hivyo kulikuwa na possibility ya kuangalia kufanya maandamano kwa siku za usoni baada ya yeye kurudi. (akingefanya hivyo ingewapa hamasa zaidi wananchi na wafuasi wake, hasa wale waliojitokeza bila kuitwa juzi kati wakati anakwenda kuhojiwa mpaka ikapelekea wakapigwa pamoja na waandishi wa habari)
 
Ameenda kichukua fungu lake kwa ajili ya kuendesha Maandamano ameenda na video ya maandamano ya Alhamisi kama Sample
 
Magazeti ya leo yameripoti kuwa M/kiti wa CHADEMA Taifa Bw. Mbowe amekimbilia South Afrika. Kama mnakumbuka kamanda huyu ametangaza maandamano na migomo nchi nzima na kweli wito wake umeitikiwa maandamano yapo sasa kinachomfanya akotole nini wakati alitakiwa kuwepo kuonesha uajibikaji na ushiriki wake katika hayo yote.

hyo ni janja tu atakuwa ameenda Ujeruman kupeleka ripoti.
 
CHADEMA sasa kimekua Mbowe hahitajiki sana kila mahali tuna makamanda kibao wa kuratibu maandamano.
Hizo fikra za kumuhitaji Mbowe kila mahali ni.za kimagamba tu.
 
hapo ndo upate picha ya kwamba siku pakitokea machafuko, viongozi wenu hao hao wanaowatumia watakuwa huko wanakula bata, wakipongezana huku wakitazama Tv, na kusikiliza Bb swahili kuhusu machafuko yanayoendelea hapa TZ,
 
pesa za maandamano hakuna maandamano bila pesa huenda yale mabilion wanafichia huko. ni mtizamo wangu tu
 
Kwani hakuna makamu mwenyekiti? Mbona jk yuko marekani?

Tena huy jamaa akisikia kutakuwa na maandamano huyooo US. Nakumbuka ha migomo yote anakuwa nje ya nchi. Kama ule wa madaktari, waalimu yote alikimbia nchi. Sasa wakati nchi inakuwa kwenye utata iweje mkulu mwenyewe anakuwa hayupo? Nahisi hata akigundulika mgonjwa mmoja wa ebola atakata kona miezi miwili mizima.
 
Kwani wewe mtoa mada uliataka akamfuate mama yako au unataka nini? mbona wa kwenu anabembea huko arimeca
 
Ni gazeti gani limeandika hiyo habari tafadhali nisaidieni jina nikalitafute.............
 
mbowe mbona tupo naye acheni unafiki hayo magazeti ya ccm ni ya kufungia maandazi tuu
 
Tuliza mtori nyama zipo chini ndugu,hiyo ni moja ya maandalizi mazuri,kinakuumia nin?
 
KUNA MKUTANO WA WAMILIKI WA CLUB ZA USIKU DUNIANI UNAFANYIKA S.AFRIKA,KAENDA KUHUDHURIA.MWAKA JANA ILIKUWA MACAU CHINA.Si munajua kamanda mjasiria mali.
 
Mbowe as mwenyekiti wa chama na MB pia kiongozi wa kambi rasimi ya upinzani (KUB) anamajukumu mengi,so kusafiri ni moja ya taratibu zake za kazi

Majukumu ya chama yataendelezwa na walio chini yake

anasafiri kipindi hiki ambacho katangaza maandamano nchi nzima
 
Kwani kusafiri kwa MBOWE ni tatizo?kwani yeye ndio anatufanya tuandamane au?acheni UZUZU,hakuna mtu anayeandamana kwa kushinikizwa na Mbowe bali ni machungu yanayotokana na matatizo hasa ya kiuchumi na Kijamii,na ole wenu nyie mnaotupiga virungu,risasi na mabomu kwa kodi zetu,iko siko na nyie mtaiona,si mnaona mnaanza kupigwa mabomu huko Songea?MUNGU AWALAANI!PeopleeeeeeeeEeeeeeeeEeeeeeeeesssssssssss
 
Kwani wewe mtoa mada uliataka akamfuate mama yako au unataka nini? mbona wa kwenu anabembea huko arimeca

> Hii iwe onyo kwako na kwa wengine wenye tabia za malezi mabaya kama wewe, usirudie tena kumtaja mama yangu kwa matusi we humjui mama tena ukome na jifunze kuwa na adabu tena ujieshimu ili ueshimika na jamii inayokuzunguka. Usifikiri matusi yako yana tija kwangu au kwako ila unaonekana mpumbavu kwa kunajisi mdomo wako. USIRUDIE KUNITUSI TENA JIFUNZE UTU na kueshimu mawazo ya watu.
 
Back
Top Bottom