GJHariohay
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 1,041
- 1,161
Mbowe anakula raha south na Mukya wajinga nendeni mkaandamane
Ulitaka ale raha na mama ako??
Acha wivu wa kijinga mpuuzi wew
Mbowe anakula raha south na Mukya wajinga nendeni mkaandamane
Kwani hakuna makamu mwenyekiti? Mbona jk yuko marekani?
tatizo naliona kwenye matumizi ya neno " amekimbilia", ni magazeti gani yaliyo ripoti habari hiyo?Magazeti ya leo yameripoti kuwa M/kiti wa CHADEMA Taifa Bw. Mbowe amekimbilia South Afrika. Kama mnakumbuka kamanda huyu ametangaza maandamano na migomo nchi nzima na kweli wito wake umeitikiwa maandamano yapo sasa kinachomfanya akotole nini wakati alitakiwa kuwepo kuonesha uajibikaji na ushiriki wake katika hayo yote.
Nimepotosha wapi?Usipotoshe mkuu,mh mbowe alitangaza kusudio la kufanya maandamano pia viongozi wote waliikuwepo kwenye mkutano wa chadema pale mcity aliwaambiwa kuwa kila mtu akirudi mkoani kwake ama eneo lake la kazi afanye maandalizi ya maandamano pia watoe mrejesho makao makuu kisha itatolewa ratiba maalumu ya hayo maandamo
Kwa hyo mbowe kusafiri ni moja ya majukumu yake na agenda ya maandamano bado iko pale pale
kwa nini anasafiri kipindi hiki kigumu kwa wanachama wake? Je huku si kukimbia uwajibikaji?
Magazeti ya leo yameripoti kuwa M/kiti wa CHADEMA Taifa Bw. Mbowe amekimbilia South Afrika. Kama mnakumbuka kamanda huyu ametangaza maandamano na migomo nchi nzima na kweli wito wake umeitikiwa maandamano yapo sasa kinachomfanya akotole nini wakati alitakiwa kuwepo kuonesha uajibikaji na ushiriki wake katika hayo yote.
Mbona mwenzake yuko USA wakati nchi imo katika hati hati??Magazeti ya leo yameripoti kuwa M/kiti wa CHADEMA Taifa Bw. Mbowe amekimbilia South Afrika. Kama mnakumbuka kamanda huyu ametangaza maandamano na migomo nchi nzima na kweli wito wake umeitikiwa maandamano yapo sasa kinachomfanya akotole nini wakati alitakiwa kuwepo kuonesha uajibikaji na ushiriki wake katika hayo yote.
Kama ipo hivyo mkuu ni kwa nini muwapige risasi si muache watu waandamane ! ili mumnyime mbowe hiyo agenda mpya.Maandamano yapo wapi kamanda tufahamishe, Mbowe ni msanii wa kisiasa anachotaka yeye ni mtaji wa kisiasa watu wapigwe risasi apate agenda mpya.
Magazeti ya leo yameripoti kuwa M/kiti wa CHADEMA Taifa Bw. Mbowe amekimbilia South Afrika. Kama mnakumbuka kamanda huyu ametangaza maandamano na migomo nchi nzima na kweli wito wake umeitikiwa maandamano yapo sasa kinachomfanya akotole nini wakati alitakiwa kuwepo kuonesha uajibikaji na ushiriki wake katika hayo yote.
Kweli nyani haoni kundule. Mbona mwenyekiti wenu na mkulu wa kaya ameendaMagazeti ya leo yameripoti kuwa M/kiti wa CHADEMA Taifa Bw. Mbowe amekimbilia South Afrika. Kama mnakumbuka kamanda huyu ametangaza maandamano na migomo nchi nzima na kweli wito wake umeitikiwa maandamano yapo sasa kinachomfanya akotole nini wakati alitakiwa kuwepo kuonesha uajibikaji na ushiriki wake katika hayo yote.
We need Mbowe right now why South Africa, He is the hero of us why you run away my brother are you escaping or you just kinding us. You are my hero MBOWE now go back to Bongoland.
Nilifikiri high priority kwa sasa ni maanadamano aliyoyaongoza kuyaratibu, kumbe sivyo!!
We need Mbowe right now why South Africa, He is the hero of us why you run away my brother are you escaping or you just kinding us. You are my hero MBOWE now go back to Bongoland.