Nini kimempeleka Mbowe huko South Africa?

Nini kimempeleka Mbowe huko South Africa?

Magazeti ya leo yameripoti kuwa M/kiti wa CHADEMA Taifa Bw. Mbowe amekimbilia South Afrika. Kama mnakumbuka kamanda huyu ametangaza maandamano na migomo nchi nzima na kweli wito wake umeitikiwa maandamano yapo sasa kinachomfanya akotole nini wakati alitakiwa kuwepo kuonesha uajibikaji na ushiriki wake katika hayo yote.

... Mbowe didnt fly into OliveTambo International!

Kiswahili: Jina la Mbowe halipo kwa manifest zozote Flight zote zilizoingoa Oliver Tambo International. Yuko wapi huyu?

Bob Marley: You cannot fool all the people all the time!

Source: Ourselves
 
Hahahaha majinga na masakala ndio wako na wataingia barabarani kuandamana kwa ajili ya maslahi ya wachache. Nilikuwa mfuasi wa CDM but mambo ya kipuuzi yamenikosesha imani nayo kabisa. Kama mnakumbuka hata wakati Chacha Wangwe akipotezwa kwa ajali Mbowe alikuwa SA, sasa mwenye akili achanganye na zake. Kuna jambo kubwa hapa litatokea
 

... Mbowe didnt fly into OliveTambo International!

Kiswahili: Jina la Mbowe halipo kwa manifest zozote Flight zote zilizoingoa Oliver Tambo International. Yuko wapi huyu?

Bob Marley: You cannot fool all the people all the time!

Source: Ourselves

But u can fool some p'ple sometimes hahaha........ umenikumbusha mbali sana huo wimbo
 
Mbowe as mwenyekiti wa chama na MB pia kiongozi wa kambi rasimi ya upinzani (KUB) anamajukumu mengi,so kusafiri ni moja ya taratibu zake za kazi

Majukumu ya chama yataendelezwa na walio chini yake

Ameenda huko kuwa na kikao na wafadhili wa chadema hapa nchini kikao hicho kitatafsiriwa kuwa anapanga vurugu.anatarajiwa kupokea mabilioni ya fedha kwajili ya kampeni kupinga katiba mpya
 
Ameenda huko kuwa na kikao na wafadhili wa chadema hapa nchini kikao hicho kitatafsiriwa kuwa anapanga vurugu.anatarajiwa kupokea mabilioni ya fedha kwajili ya kampeni kupinga katiba mpya



WAFADHILI GANI? au WAZAYUNI. shamefull
 
> Hii iwe onyo kwako na kwa wengine wenye tabia za malezi mabaya kama wewe, usirudie tena kumtaja mama yangu kwa matusi we humjui mama tena ukome na jifunze kuwa na adabu tena ujieshimu ili ueshimika na jamii inayokuzunguka. Usifikiri matusi yako yana tija kwangu au kwako ila unaonekana mpumbavu kwa kunajisi mdomo wako. USIRUDIE KUNITUSI TENA JIFUNZE UTU na kueshimu mawazo ya watu.

wewe sijui nikuite jinga au pumbavu maana unafikiri wewe tu ndo una wazazi. hujui kwamba hata hao unaowasema sijui wameenda africa kusini wana watoto? ----- sana wewe ukila vya wengine na wewe ukubali kuliwa vyako tena wewe ukome kufuatilia maisha wa wazazi wa wengine ili uepuke haya yanayosababisha unatoa povu kama umefumaniwa unaoga nje
 
mapambano yana mbinu nyingi sana , akiibuka katikati ya maandamano urudi tena hapahapa .

Achana nao, sijui siku atakaporudi halafu wananchi wakajitokeza kwa wingi kumpokea kwa maandamano hawa jamaa watasemaje na hao Polisi wao waliojibunia jukumu jipya la kulinda Open spaces.
 
£¿ Ni kweli alitakiwa kuwepo aratibu haya maandamano ili kuonesha uwepo wake sasa amekotola kwa nini? Nakubuka M/kiti wa chama cha upinzani nchini Uganda Dr Besige alitangaza maamdamano alikaa akashiri mpaka m7 akataka kukimbia Ikulu sasa MBOWE anakimbia maajabu sana wandugu.
andika kihaya utaeleweka, au andika kiswahili utaeleweka pia, ebu chunguza ulichokiandika!
 
Achana nao, sijui siku atakaporudi halafu wananchi wakajitokeza kwa wingi kumpokea kwa maandamano hawa jamaa watasemaje na hao Polisi wao waliojibunia jukumu jipya la kulinda Open spaces.
hapo ndo Msingwa aliwaambia akili ndogo kutawala kubwa! hawaelewi hawa jamaa, polisi wasio tumia akili wamebaki africa hasa Tanzania
 
wana jf habari ya wakati huu paul makonda amesema kua kamanda mbowe amejificha Afrika kusini huku watu wamehasishwa kuandamana nchi nzima.kama ni kweli aisee kesho sitaenda kuandamana.
 
wana jf habari ya wakati huu paul makonda amesema kua kamanda mbowe amejificha Afrika kusini huku watu wamehasishwa kuandamana nchi nzima.kama ni kweli aisee kesho sitaenda kuandamana.

Paul Makonda ndio nani ndani ya nchi hii? huyo ni kijana hasiyejitambua anachojali yeye ni tumbo lake hata kama akiambiwa afanye kitu ambacho kitaudhalilisha uanaume wake anaweza kukubali ili mradi tu tumbo lake lijae.kwa hiyo huyo ni wa kupuuzwa iwe sasa na hata hapo baadae
 
Makonda ni yule anayependa kutaja taja jina la Mbowe ili kupata kick ya kutambulika? Kama unafanya mambo yako kwa kufuata huyo kasema nini basi ni bora ulale tuu na usjihusishe na lolote lile hapa duniani.
 
wana jf habari ya wakati huu paul makonda amesema kua kamanda mbowe amejificha Afrika kusini huku watu wamehasishwa kuandamana nchi nzima.kama ni kweli aisee kesho sitaenda kuandamana.

Ivi Makonda kesharudi toka mafichoni? Siku hizi nasikia kule ofisini anakopigia kelele hakanyagi kabakia huku Dodoma tu.
 
Paul Makonda ndio nani ndani ya nchi hii? huyo ni kijana hasiyejitambua anachojali yeye ni tumbo lake hata kama akiambiwa afanye kitu ambacho kitaudhalilisha uanaume wake anaweza kukubali ili mradi tu tumbo lake lijae.kwa hiyo huyo ni wa kupuuzwa iwe sasa na hata hapo baadae


We boya kweli.

Yana wewe unashawishiwa upuuz na mtu mpuuzi na mjinga form six failure km mbowe wewe unakubali tuh.

Km mbowe anajua kweli kuandamana kwann asiandamane kuwa mstari wa mbele badala yake kakimbilia vifichoni?,


Huku nyuma familia yake akiiipiga marufuku kuandamana?

Hiyo huwa mnafanyaga misukule km nyinyi.
 
Mbona Mbowe hajaenda popote. Mtamuona soon!
 
Back
Top Bottom