kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,746
Magazeti ya leo yameripoti kuwa M/kiti wa CHADEMA Taifa Bw. Mbowe amekimbilia South Afrika. Kama mnakumbuka kamanda huyu ametangaza maandamano na migomo nchi nzima na kweli wito wake umeitikiwa maandamano yapo sasa kinachomfanya akotole nini wakati alitakiwa kuwepo kuonesha uajibikaji na ushiriki wake katika hayo yote.
Tuwekee hapa jina la gazeti (lakini lisiwe Uhuru,Mzalendo au Jamba Leo) na utuwekee habari nzima ya kilichoandikwa.