Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 20,047
- 16,178
Hivi eda huwa miezi mingapi?Rais kawa mjane sasa
Hivi eda huwa miezi mingapi?Rais kawa mjane sasa
Mzee anatuelimisha vizuri sana yule mzee wenu wa msoga anatuibia na kutuua juuHawa wazee waende tuu. Wanakula mafao tuu.. Kwa umri wake inatosha tuu.
Ana umri gani?Mzee Warioba amedondoka gafla wakati anatoa hotuba yake TCD.
Mungu amsaidie
Alipokua waziri mkuu 'serikali ilikua likizo',alichukua rushwa chama cha ushirika Kanda ya ziwa,mjomba wake akamuamuru kurudishaKati ya watu ambao wakifa watu inabidi wafanye tamasha kubwa la kusherekea maisha yake na utimishi uliotukuka kwa nchi yake.
Watu wasilie kabisa.
Kwenye tamasha yarushwe na kuchapishwa yote aliyo ongea na kuandika kuhusu kuilinda nchi yake na rasilimali za nchi yake..
Kwani waziri mkuu ana kinga?Alipokua waziri mkuu 'serikali ilikua likizo',alichukua rushwa chama cha ushirika Kanda ya ziwa,mjomba wake akamuamuru kurudisha
Pole sana kwa kumuamini kwa upofu huyo dingi,rushwa alichukua na anko wake akamwambia arudisheKwani waziri mkuu ana kinga?
Mpelekeni mahakamani endapo alifanya makosa hayo.
Tena anavyo wachokonoa hiyo ndiyo njia ya kumnyamazisha kirahisi.
Ukiona hamjampeleka mahakamani hadi sasa ujue hizi tuhuma za uongo.
Tibaijuka anataka kumshitaki bycola kwa kuchapisha mtandaoni kuwa alichukua hela za kifisadi za escrow, bycola alisema tibaijuka na kanisa hawana uzalendo wowote kwa sakata lile la escrow kupitia bank mkomboziUnafufua makaburi
Mumshitaki mbona Daniel Yona na Basil Mramba mliwashitaki. Mnashindwa nini kwa huyu adui wenu anaye wapigia kelele wakati mnakula kwa fujo vitu haramu?Pole sana kwa kumuamini kwa upofu huyo dingi,rushwa alichukua na anko wake akamwambia arudishe
Tibaijuka karudisha vichenji vya mboga,bank ya kanisa imeshitakiwa kwa kutakatisha pesa?Mumshitaki mbona Daniel Yona na Basil Mramba mliwashitaki. Mnashindwa nini kwa huyu adui wenu anaye wapigia kelele wakati mnakula kwa fujo vitu haramu?
Bora huyu aliambiwa arudishe na mjomba wake akarudisha. Ninyi mama yenu hawaambii mrudishe anatuambia tuwataje tuwazomee Ila muendelee kula kwa urefu wa kamba zenu bila bughudha.