Nini kimempata Mzee Warioba?

Nini kimempata Mzee Warioba?

Wakati anaongea pumzi yake ilikuwa inakata taratibu na nilishangaa hakuna aliyekuwa ana notice upumuaji wake. Nilitamani hata kufungua uzi hapa wasaidizi wake wamsaidie
Hana wasaidizi,
Nachelea kusema hata Dereva wake hayuko makini kabisa.
 
Sisi wengine tuna zile hisia za ziada. Toka nime notice hadi anaanguka ni muda mfupi ila niliona something is happening
You should have trusted your intuition maybe you would have saved the life of this statesman if any bad thing could happen to him
 
You should have trusted your intuition maybe you would have saved the life of this statesman if any this bad could happen to him
He is Ok!
Najiuliza kwanini hana wasaidizi kabisa?
 
Wakati anaongea pumzi yake ilikuwa inakata taratibu na nilishangaa hakuna aliyekuwa ana notice upumuaji wake. Nilitamani hata kufungua uzi hapa wasaidizi wake wamsaidie
Warioba siyo mara yake kwanza kuanguka. Hata wakati wa kuanza mchakato wa katiba ie ya enzi za Kikwete 2014, alianguka tena. Huwa wanafanya makosa kutokuwa karibu naye anapokuwa jukwaani.
 
Back
Top Bottom