GE2025 Nini kimempata Fatma Karume?

GE2025 Nini kimempata Fatma Karume?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Hivi karibuni, Fatma Karume ameonekana kubadili mwelekeo wa mijadala yake ya kisiasa kwa namna ambayo imeibua maswali miongoni mwa watanzania, hasa wale wanaoamini katika harakati za mageuzi ya kweli.

Mwanzo, alivamia vikali kauli za Askofu Gwajima aliyekuwa anapinga matukio ya utekaji na ukiukwaji wa haki unaodaiwa kufanywa na vyombo vya dola, akimtuhumu kuwa anatafuta "attention" ya kisiasa, licha ya kwamba hoja za Gwajima zilikuwa na uzito wa kulinda utu na uhuru wa raia.

Sasa, ameibukia tena kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), akizibeza juhudi za CHADEMA na sera yao ya "No Reforms, No Elections", akikariri kuwa kusitisha uchaguzi ni kosa la jinai. Kauli hii imechukuliwa na wengi kama kejeli isiyoakisi hali halisi ya mazingira ya kisiasa nchini, ambapo haki za msingi, uhuru wa kisiasa na uhuru wa kutoa maoni vinaendelea kukandamizwa.

Cha kushangaza zaidi, kauli hizi za Fatma Karume zinatolewa wakati ambapo Tundu Lissu, mmoja wa viongozi wa upinzani na mwanasheria mwenzake, yuko rumande akikabiliwa na mashtaka ya uhaini, ambayo kisheria adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa. Hali hii imezidi kuzua maswali: je, Fatma Karume bado yupo upande wa watetezi wa haki, au amebadili msimamo kwa sababu ambazo bado hazijafahamika wazi?

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Hayati John Magufuli, Fatma Karume alijitokeza kuwa mmoja wa sauti thabiti zilizokuwa zikikemea dhuluma, ukandamizaji, na matumizi mabaya ya madaraka. Lakini katika utawala wa sasa, ambao nao umeonesha mwelekeo wa kukiuka misingi ya demokrasia, sauti yake imekuwa ya mashaka, wakati mwingine ikisikika kama ya kukubaliabiana na mfumo badala ya kuukosoa.
Je, ni mabadiliko ya kiitikadi? Ni mkakati wa kisiasa? Au kuna mambo ya ndani zaidi ambayo bado hayajawekwa wazi kwa umma? Kwa vyovyote vile, hatua na kauli za Fatma Karume zinahitaji tafakari, hasa kwa wale wanaoamini katika dhana ya "principled activism" yaani, kupigania haki bila kujali nani yuko madarakani.
Kwani yule ni mzanzibari au mtanganyika? Jibu utalipata hapo
 
We unaishi marekani na uko nyuma ya keyboard ni rahis kuongea unavyotaka kuna watu tokea mwaka 2020 wamefungwa kwa sababu tu walitimiza haki yao ya kikatiba ya kushiriki uchaguzi, wengine ni vilema, wengine wamekufa kosa lao ni kutimiza haki yao ya kikatiba yote haya zito hayaoni anaamua kushiriki uchaguzi alafu anaibukia huko anasema tukalinde kura serious nchi yeyote yenye mfumo mzuri wa uchaguzi wananchi hawana ulazima wa kwenda kulinda kura kitendo cha kuwaambia wananchi wakalinde kura basi huo mfumo wa uchaguzi una-mapungufu sasa kwanini ulikubal kushiriki hilo ndo swali wananchi wanalouliza

Alafu unashangaa nini na nawakati Wamarekani weusi wamekua aggressive sana kwa watu ambao wako kinyume na wao unakumbuka ice cube alipiga picha na trump Africa America walimjia juu vibaya mno kumbuka kupiga picha na trump sio kosa ila walimjia juu mpaka leo account yake instagram sidhani kama ipo mpaka kuna watu wanalalamika Africa America wamekuwa mazomb ya Democrats nakushangaa unashangaa ya fatma karume
Kuishi Marekani kunahusikanaje na hoja abstract?

Swali ni, kwa nini mna expectations zote hizi kwa Fatma Karume, mtu ambaye si mfanyakazi wa serikali wala mpigiwa kura na watu, kwa nini mnamfanya kama some pillar of society?

Akisema kaenda kuhiji Mecca na sasa anajikita zaidi kumrudia mola wake haya mambo ya dunia anajiondoa polepole mtasema nini? Mtasema ni lazima awe activist wa nguvu?
 
Ni haki yake kikatiba hajapatwa na lolote tumtakie safari njema
Hivi karibuni, Fatma Karume ameonekana kubadili mwelekeo wa mijadala yake ya kisiasa kwa namna ambayo imeibua maswali miongoni mwa watanzania, hasa wale wanaoamini katika harakati za mageuzi ya kweli.

Mwanzo, alivamia vikali kauli za Askofu Gwajima aliyekuwa anapinga matukio ya utekaji na ukiukwaji wa haki unaodaiwa kufanywa na vyombo vya dola, akimtuhumu kuwa anatafuta "attention" ya kisiasa, licha ya kwamba hoja za Gwajima zilikuwa na uzito wa kulinda utu na uhuru wa raia.

Sasa, ameibukia tena kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), akizibeza juhudi za CHADEMA na sera yao ya "No Reforms, No Elections", akikariri kuwa kusitisha uchaguzi ni kosa la jinai. Kauli hii imechukuliwa na wengi kama kejeli isiyoakisi hali halisi ya mazingira ya kisiasa nchini, ambapo haki za msingi, uhuru wa kisiasa na uhuru wa kutoa maoni vinaendelea kukandamizwa.

Cha kushangaza zaidi, kauli hizi za Fatma Karume zinatolewa wakati ambapo Tundu Lissu, mmoja wa viongozi wa upinzani na mwanasheria mwenzake, yuko rumande akikabiliwa na mashtaka ya uhaini, ambayo kisheria adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa. Hali hii imezidi kuzua maswali: je, Fatma Karume bado yupo upande wa watetezi wa haki, au amebadili msimamo kwa sababu ambazo bado hazijafahamika wazi?

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Hayati John Magufuli, Fatma Karume alijitokeza kuwa mmoja wa sauti thabiti zilizokuwa zikikemea dhuluma, ukandamizaji, na matumizi mabaya ya madaraka. Lakini katika utawala wa sasa, ambao nao umeonesha mwelekeo wa kukiuka misingi ya demokrasia, sauti yake imekuwa ya mashaka, wakati mwingine ikisikika kama ya kukubaliabiana na mfumo badala ya kuukosoa.
Je, ni mabadiliko ya kiitikadi? Ni mkakati wa kisiasa? Au kuna mambo ya ndani zaidi ambayo bado hayajawekwa wazi kwa umma? Kwa vyovyote vile, hatua na kauli za Fatma Karume zinahitaji tafakari, hasa kwa wale wanaoamini katika dhana ya "principled activism" yaani, kupigania haki bila kujali nani yuko madarakani.
 
Ni siasa tu, siasa watu wanabadilika, unaweza amka ukakuta Lissu yuko zake CCM na gwanda la kijani.
Mwanasiasa kubadilika ni sekunde tu maslahi yake(sio yako) yakitimizwa
 
Hivi karibuni, Fatma Karume ameonekana kubadili mwelekeo wa mijadala yake ya kisiasa kwa namna ambayo imeibua maswali miongoni mwa watanzania, hasa wale wanaoamini katika harakati za mageuzi ya kweli.

Mwanzo, alivamia vikali kauli za Askofu Gwajima aliyekuwa anapinga matukio ya utekaji na ukiukwaji wa haki unaodaiwa kufanywa na vyombo vya dola, akimtuhumu kuwa anatafuta "attention" ya kisiasa, licha ya kwamba hoja za Gwajima zilikuwa na uzito wa kulinda utu na uhuru wa raia.

Sasa, ameibukia tena kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), akizibeza juhudi za CHADEMA na sera yao ya "No Reforms, No Elections", akikariri kuwa kusitisha uchaguzi ni kosa la jinai. Kauli hii imechukuliwa na wengi kama kejeli isiyoakisi hali halisi ya mazingira ya kisiasa nchini, ambapo haki za msingi, uhuru wa kisiasa na uhuru wa kutoa maoni vinaendelea kukandamizwa.

Cha kushangaza zaidi, kauli hizi za Fatma Karume zinatolewa wakati ambapo Tundu Lissu, mmoja wa viongozi wa upinzani na mwanasheria mwenzake, yuko rumande akikabiliwa na mashtaka ya uhaini, ambayo kisheria adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa. Hali hii imezidi kuzua maswali: je, Fatma Karume bado yupo upande wa watetezi wa haki, au amebadili msimamo kwa sababu ambazo bado hazijafahamika wazi?

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Hayati John Magufuli, Fatma Karume alijitokeza kuwa mmoja wa sauti thabiti zilizokuwa zikikemea dhuluma, ukandamizaji, na matumizi mabaya ya madaraka. Lakini katika utawala wa sasa, ambao nao umeonesha mwelekeo wa kukiuka misingi ya demokrasia, sauti yake imekuwa ya mashaka, wakati mwingine ikisikika kama ya kukubaliabiana na mfumo badala ya kuukosoa.
Je, ni mabadiliko ya kiitikadi? Ni mkakati wa kisiasa? Au kuna mambo ya ndani zaidi ambayo bado hayajawekwa wazi kwa umma? Kwa vyovyote vile, hatua na kauli za Fatma Karume zinahitaji tafakari, hasa kwa wale wanaoamini katika dhana ya "principled activism" yaani, kupigania haki bila kujali nani yuko madarakani.
Uzanzibari na Udini; wanadhani wamejipata, huku maisha yao yote wakila na kunywa Tanganyika.

Fatma Karume ni mdini kupindukia, na Mkabila kupindukia(kama Uzanzibar ukiwa Kabila)
 
Kuishi Marekani kunahusikanaje na hoja abstract?

Swali ni, kwa nini mna expectations zote hizi kwa Fatma Karume, mtu ambaye si mfanyakazi wa serikali wala mpigiwa kura na watu, kwa nini mnamfanya kama some pillar of society?

Akisema kaenda kuhiji Mecca na sasa anajikita zaidi kumrudia mola wake haya mambo ya dunia anajiondoa polepole mtasema nini? Mtasema ni lazima awe activist wa nguvu?
Unaposimamia haki siku ukikengeuka utakumbushwa na sio vibaya
 
Hivi karibuni, Fatma Karume ameonekana kubadili mwelekeo wa mijadala yake ya kisiasa kwa namna ambayo imeibua maswali miongoni mwa watanzania, hasa wale wanaoamini katika harakati za mageuzi ya kweli.

Mwanzo, alivamia vikali kauli za Askofu Gwajima aliyekuwa anapinga matukio ya utekaji na ukiukwaji wa haki unaodaiwa kufanywa na vyombo vya dola, akimtuhumu kuwa anatafuta "attention" ya kisiasa, licha ya kwamba hoja za Gwajima zilikuwa na uzito wa kulinda utu na uhuru wa raia.

Sasa, ameibukia tena kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), akizibeza juhudi za CHADEMA na sera yao ya "No Reforms, No Elections", akikariri kuwa kusitisha uchaguzi ni kosa la jinai. Kauli hii imechukuliwa na wengi kama kejeli isiyoakisi hali halisi ya mazingira ya kisiasa nchini, ambapo haki za msingi, uhuru wa kisiasa na uhuru wa kutoa maoni vinaendelea kukandamizwa.

Cha kushangaza zaidi, kauli hizi za Fatma Karume zinatolewa wakati ambapo Tundu Lissu, mmoja wa viongozi wa upinzani na mwanasheria mwenzake, yuko rumande akikabiliwa na mashtaka ya uhaini, ambayo kisheria adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa. Hali hii imezidi kuzua maswali: je, Fatma Karume bado yupo upande wa watetezi wa haki, au amebadili msimamo kwa sababu ambazo bado hazijafahamika wazi?

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Hayati John Magufuli, Fatma Karume alijitokeza kuwa mmoja wa sauti thabiti zilizokuwa zikikemea dhuluma, ukandamizaji, na matumizi mabaya ya madaraka. Lakini katika utawala wa sasa, ambao nao umeonesha mwelekeo wa kukiuka misingi ya demokrasia, sauti yake imekuwa ya mashaka, wakati mwingine ikisikika kama ya kukubaliabiana na mfumo badala ya kuukosoa.
Je, ni mabadiliko ya kiitikadi? Ni mkakati wa kisiasa? Au kuna mambo ya ndani zaidi ambayo bado hayajawekwa wazi kwa umma? Kwa vyovyote vile, hatua na kauli za Fatma Karume zinahitaji tafakari, hasa kwa wale wanaoamini katika dhana ya "principled activism" yaani, kupigania haki bila kujali nani yuko madarakani.
Kavaa mawani ya mbao!
 
Lakini mhimu si kafikisha ujumbe unaotakiwa kwa maslahi ya wengi hayo mengine ni yake binafsi na hayana msingi wowote na pia hayana uthibitsho huo wa kupanda kisiasa
 
Hivi karibuni, Fatma Karume ameonekana kubadili mwelekeo wa mijadala yake ya kisiasa kwa namna ambayo imeibua maswali miongoni mwa watanzania, hasa wale wanaoamini katika harakati za mageuzi ya kweli.

Mwanzo, alivamia vikali kauli za Askofu Gwajima aliyekuwa anapinga matukio ya utekaji na ukiukwaji wa haki unaodaiwa kufanywa na vyombo vya dola, akimtuhumu kuwa anatafuta "attention" ya kisiasa, licha ya kwamba hoja za Gwajima zilikuwa na uzito wa kulinda utu na uhuru wa raia.

Sasa, ameibukia tena kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), akizibeza juhudi za CHADEMA na sera yao ya "No Reforms, No Elections", akikariri kuwa kusitisha uchaguzi ni kosa la jinai. Kauli hii imechukuliwa na wengi kama kejeli isiyoakisi hali halisi ya mazingira ya kisiasa nchini, ambapo haki za msingi, uhuru wa kisiasa na uhuru wa kutoa maoni vinaendelea kukandamizwa.

Cha kushangaza zaidi, kauli hizi za Fatma Karume zinatolewa wakati ambapo Tundu Lissu, mmoja wa viongozi wa upinzani na mwanasheria mwenzake, yuko rumande akikabiliwa na mashtaka ya uhaini, ambayo kisheria adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa. Hali hii imezidi kuzua maswali: je, Fatma Karume bado yupo upande wa watetezi wa haki, au amebadili msimamo kwa sababu ambazo bado hazijafahamika wazi?

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Hayati John Magufuli, Fatma Karume alijitokeza kuwa mmoja wa sauti thabiti zilizokuwa zikikemea dhuluma, ukandamizaji, na matumizi mabaya ya madaraka. Lakini katika utawala wa sasa, ambao nao umeonesha mwelekeo wa kukiuka misingi ya demokrasia, sauti yake imekuwa ya mashaka, wakati mwingine ikisikika kama ya kukubaliabiana na mfumo badala ya kuukosoa.
Je, ni mabadiliko ya kiitikadi? Ni mkakati wa kisiasa? Au kuna mambo ya ndani zaidi ambayo bado hayajawekwa wazi kwa umma? Kwa vyovyote vile, hatua na kauli za Fatma Karume zinahitaji tafakari, hasa kwa wale wanaoamini katika dhana ya "principled activism" yaani, kupigania haki bila kujali nani yuko madarakani.
Ameshajua wafuasi wa Lissu wengi wao akili zao sawa na za ng'ombe tu.
 
Anamsakama nani aliyekuwa anafanya kipi alichokifanya hapo nyuma?

Unajuaje anamsakama na si kwamba anasema ukwwli tu?

Hicho alichokifanya hapo nyuma ni kipi?
Wewe endelea na ligi zako
Ila kama ulikuwa unamfuatilia fatuma karume kipindi cha magufuli mpaka akanyanganywa leseni ya uwakilu utanielewa ila kama unataka tu ligi wewe endelea
 
Ila tabia ya mtu kutoa maoni tofauti alafu wale tuliokuwa tunamwamini ndo tukawa wa kwanza kumdhihaki inaonesha ni namna gani hatuna subira.
Ukihisi mtu amekwenda tofauti na ulivyomzoea, mpe muda kwanza, sio kumshutumu haraka vile.

Lakini pia, sisi tunaotick October, tushajua udhaifu wenu😀. Nyie jamaa kwa kunata na biti hamjambo, sasa na sisi tunawapa vitu kila baada ya siku mbili mpaka mnatoka kwenye agenda yenu bila kujijua, jifunzeni kubaki kwenye mstari, mengine yawapite kama hamjayaskia, sisi huku tuna watu wa propaganda, tukiona mmetulia, tunawawekea inshu, paaaaa😀, wote mnajaa then sisi tunapitisha chap jambo flani. Ester tulimtuma ila mlituweza vile hamkushadadia kiviiiile😀😀😀.
Jifunzeni kubaki kwenye mambo yenu, mnakuwa na vitu vya msingi sana ila hamtulii😀.
Na sisi hatuchoki, sasa ivi bado mnanata na biti ya arise and shine, povu linawatoka kila upande, ikikalibia kesi ya bosi wenu tunatupia jambo jingine then huku hakimu anahairisha kesi mpaka october😀😀😀.

Jifunzeni kutulia kwenye inshu zenu, kila saa kufatafata mambo yetu tu... ndio maana hamuendelei. Tumewasimamisha mikutano ya kisiasa, badala ya kuendelea na kampeni yenu kwenye mitandao nyie mnakomaa leo mama kaenda komoro, mara majaliwa kaachia ngazi, inawahusu nini kwani, ndio agenda yenu?
 
Wewe endelea na ligi zako
Ila kama ulikuwa unamfuatilia fatuma karume kipindi cha magufuli mpaka akanyanganywa leseni ya uwakilu utanielewa ila kama unataka tu ligi wewe endelea
Nimeshaandika a very balanced post going laps around this topic, that is, a post that sparwd neither Fatma nor her detractors, with quotes from Solzhenitsyn.

Tatizo hujasoma tu.

Unataka nikupe namba ya post uisome?
 
Ila tabia ya mtu kutoa maoni tofauti alafu wale tuliokuwa tunamwamini ndo tukawa wa kwanza kumdhihaki inaonesha ni namna gani hatuna subira.
Ukihisi mtu amekwenda tofauti na ulivyomzoea, mpe muda kwanza, sio kumshutumu haraka vile.

Lakini pia, sisi tunaotick October, tushajua udhaifu wenu😀. Nyie jamaa kwa kunata na biti hamjambo, sasa na sisi tunawapa vitu kila baada ya siku mbili mpaka mnatoka kwenye agenda yenu bila kujijua, jifunzeni kubaki kwenye mstari, mengine yawapite kama hamjayaskia, sisi huku tuna watu wa propaganda, tukiona mmetulia, tunawawekea inshu, paaaaa😀, wote mnajaa then sisi tunapitisha chap jambo flani. Ester tulimtuma ila mlituweza vile hamkushadadia kiviiiile😀😀😀.
Jifunzeni kubaki kwenye mambo yenu, mnakuwa na vitu vya msingi sana ila hamtulii😀.
Na sisi hatuchoki, sasa ivi bado mnanata na biti ya arise and shine, povu linawatoka kila upande, ikikalibia kesi ya bosi wenu tunatupia jambo jingine then huku hakimu anahairisha kesi mpaka october😀😀😀.

Jifunzeni kutulia kwenye inshu zenu, kila saa kufatafata mambo yetu tu... ndio maana hamuendelei. Tumewasimamisha mikutano ya kisiasa, badala ya kuendelea na kampeni yenu kwenye mitandao nyie mnakomaa leo mama kaenda komoro, mara majaliwa kaachia ngazi, inawahusu nini kwani, ndio agenda yenu?
Kumbe ndo mbinu zinazotumika kuwatoa watanzania kwenye reli kwa kutumia wanasiasa Malaya Malaya kama Ester, Fatma, Zitto n.k.!?
 
Back
Top Bottom