GE2025 Nini kimempata Fatma Karume?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
ukiropoka kwa kukiuka sheria utawajibishwa kwa mujibu wa sheria. Na hata kama utaita huo ni ukandamizaji wa haki na uhuru wa maoni utashughulikiwa tu 🐒
Kama kweli alivunja sheria, kwa nini basi kesi yake inasuasua na kupigwa danadana kila mara mahakamani? Na unaposema 'ashughulikiwe', unamaanisha nini hasa? Kumbuka, mara zote mtu mjinga hutegemea nguvu na mabavu kujenga hoja, badala ya kutumia mjadala wa kistaarabu unaotegemea hoja na si vitisho.
 
NRNE haitamwacha mnafiki yeyote. Hii imekuwa mwiba mzito sana.
 
Tatizo la ndumuz ni personalizations

Ngumu kwa mtu mwenye long term vision kuelewa agenda ya ndumuz kwa sasa

Na anapohoji Lazima akutane na ndimi za moto zenye matusi yq asili utadhani mimba zao zilitungwa juu ya miti
 
Ukisharudi hijja mambo kama haya ya kuhangaika na mitandao unaachana nayo, ukipost uposti dini
 
Umeitafsiri vyema kabisa. Na kwa kadri muda unavyosonga, mambo mengi yanaendelea kujidhihirisha wazi. Hata hivyo, bado Watanganyika wengi wamefungwa na upofu usio na tiba, hawaoni, hawasikii, na hawataki kuelewa.
 
Anachofanya Fatma ndicho anachofanya Zito Kabwe. Wamebadili misimamo yao kis8asa baada ya kuingia "mmoja wao" madarakani. Kiuhalisia JPM na SSH hawana tofauti kubwa kwenye swala la utawala bora na demokrasia.
 
Ndege wanafananao huruka Pamoja...
 
Unataka kusema kwamba hoja zote za CHADEMA dhidi ya serikali hii zimejikita tu kwenye chuki dhidi ya Samia na dini yake ya Uislamu, na si kingine chochote?
 
Shekeli.. Vipande saba vya dhahabu
 
Siku zote usimwamini MZENJI, ukiona yuko bega kwa bega na wewe kuna kitu anakitarget akifanikisha anakuacha. Au akimpata MZENJI mwenzake anakuweka pembeni.
 
Hakika!
 
demokrasia ina mpa mtu haki kuja na mawazo ayatakayo,muhimu ni kuwa na stahmala ya kuvumilia maoni ya mwenzio
 
Hata siku moja usijeweka imani yako kwa mtu anayeitwa mzenji...
 
Dini na uzanzibar wa wenye madaraka ndivyo vilivyo mkalisha chini kwa sasa, waislam ni wadini sana si unaona kwa sasa masheikh wamekuwa wasemqji hadi wa serikali wanajibu hoja za serikali utadhani wao ndio walengwa , masheikh wananyege awamu hii sijapata kuona
 
Mzanzibari
 
Unajua hawa wanawake Samiah Suluhu,Tulia Acksoni,Halima Mdee na Fatma karume wanalipeleka Taifa kubaya kama wanaume tutaendelea kuwa mabwege,machawa,na watu wasiojali mambo ya msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…