GE2025 Nini kimempata Fatma Karume?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Na hao watawala unaowakusudia ni Kikwete na Samia? Lakini sasa mbona kipindi cha Kikwete ndio kuliibuka ile ishu ya Uamsho na masheikh wakafungwa?
 
No reforms no election sio solution ya mapungufu ya sheria ya uchaguzi. Fatma yuko sahihi. Huwezi kuzuia watu wanaotaka kushiriki uchaguzi, that is illegal. Ila unaweza kususa wewe mwenyewe, that is personal choice. Ili kususa kuathiri credibility ya uchaguzi, inabidi wanaosusa wawe wengi kwa mbali sana kulinganisha na wanaoshiriki uchaguzi. Hapo ndipo anapisema Fatma kuwa Chadema haina hizo numbers.
 
Yule alimpinha sana Magu kwa sabanu ya Dini yake, sasa huyu wa sasa ni ndugu katika Imani
 
Tatizo la Fatma ni UDINI.
 
Tanzania watu husifia au kuponda watawala kwa sababu zao binafsi tu.

Ni unafiki zaidi.
Watanzania wakilijua hilo wala hawatoshangazwa, na sio kuwa na sababu binafsi tu bali inaweza kufika muda mtu akabadili mtazamo wake kwa sababu zake tofauti tofauti ndio maana mie hata siku nikija kuona Lissu nae kabadilika wala sitoshangaa.
 
Kuna post aliwashutumu chadema kwa udini,kashtuka,kaujua muundo wa wadini,kajiweka kando, kupitia mitandao fitna inageuka,wadini na walioweka misingi hiyo hawatofika kokote
Faizafoxy umekuja kivingine.
 
Fatma Karume ni mdini sana na pia ni Mzanzibari sana ndiyo maana humuambii kitu kuhusu Samia
 
Kuna hoja nyingine mahakamani zinakataliwa kujadiliwa kwa sababu ni "argumentative".

Nakubali Fatma ni mtata.Utata wa Fatma unakuja kwa sababu ukitaka kusema hapingi ukandamizaji unakuta anapinga. Nimeweka mpaka tweets zake. Nimemsikiliza Clubhouse akiweka rekodi sawa.

Ukitaka kusema anapinga pia unaona lakini mbona hapingi kama alivyopinga kwa bwana yule? Hawa watu wanaoweka hoja za Uzanzibari wana point au vipi?

Ukitaka kusema lakini mbona hapingi kama alivyopinga kwa bwana yule unajiuliza, kwani lazima apinge kama alivyopinga kwa bwana yule? Vipi kama anaamini kuna mabadiliko fulani ya maana na kupinga sana hakuna maana, kaona hata ikiwa "hataunga juhudi" basi abadili mambo kwa kushawishi kutoka ndani?

Vipi kama kaona uanaharakati uko overrated kaamua kumtazama mola wake zaidi? Ni haki yake, hakuna tutakachomdai kwa kusema awaachie wengine yeye kashafanya sehemu yake. Au anajipanga kuingia katika siasa ana kimya kitakachofuatiwa na mshindo mkuu?

Vipi kama kuna dynamics za kisiwa kidogo zimempoza si kwa sababu yeye ni msaliti, bali kwa sababu ni binadamu ana familia na watu wake wa karibu pia?

Kwangu mimi naona Fatma anasema. Anaisema serikali, anaisema mihimili executive, judiciary, legislature. Anawasema watu. Not so much Samia. Hapa ndipo watu wanapoona shida.

Anapomsema Samia anakuwa circumspect, with uncaharacteristic reverence.

Example is this tweet.

"Samia Suluhu has her advisors. Clearly they have advised her to stop social services for the Maasai of Ngorongoro to force them to move and she’s doing so.

It’s heartbreaking."

Advisors? Really Fatma?

You can't say hamsemi Samia. But she is not as direct as she did for Magufuli.

She is even sympathetic towards Samia.

Saying.

"I think it’s sad times for Samia. People who believed in her feel betrayed by her. She’s lost even her ardent allies.
She’s checkmated herself by isolating real friends in pursuit of power.
I feel sorry for her."

In a Solzhenitsinysque introspection that gives Samia a pass as if nodding to a realization that the thin "line that separates through good and evil cuts through the heart of every human being", Fatma takes a pause. She realizes power corrupts. It is as if she thought the Zanzibari woman was going to be different, perhaps because she is supposed to be cultured, she is not that brute Magufuli after all. But alas, she says, you too Samia? Lord Acton comes to her mind. "Power corrupts and absolute power corrupts absolutely" she muttwrs. Fatma is more disappointed than mad.

But the masses want her to be mad. They did not read Solzhenitsyn. They do not understand nuance.

All they know is she was mad when Magufuli was president. Why not now?

Is it because Samia is a Zanzibari woman?

But what if Fatma is just tired of being mad all the time, she simply does not want to spend her life being mad.

She wants to go to Mecca now. What do they call them, Hajjats?

She is even at a loss of words now, something never seen before.

Do we have a right to demand that she maintain the same speed she had during the Magufuli era?

Isn't that a bit too much?
 
Post za Fatuma Karume nyingi siyo maneno yake anadokoa then anaposti kwa page yake.

Hata hivyo mnataka akale wapi, aliwahi simamia chama fulani mpaka akachomewa kijiwe chake.

All in all atakuwa kaahidiwa mema ya nchi mfano wa Mwamposa
 
Mkuu labda kuna kitu hujui kuhusu huyo afande uliemtaja. Yeye ndio muasisi wa ile kauli mbiu "Hakuna kuhama chama"
Kauli mbiu hii ilitumika kipindi cha Uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA. Watu wanavyo mzodoa sio wajinga.
 
Kwaiyo naye anatuhabarisha kuwa gwaji ni opportunist nia yake tuamini projection yake kuhusu gwaji.
Kwani kuna sifa unahitajika kukidhi vigezo ili uwe na power ya kuwa mtu sahihi wa kukemea uhalifu unaoendelea ktk nchi?
Fatma anasema Gwajima hakemei uhalifu, anatumia hoja ya kukemea uhalifu kupanda chati kisiasa.

Huelewi wapi?
 
Katika moja ya sheria kuu kwa waislam nikumpenda mwana dini mwenzio. Nidhambi kubwa msaliti muislam mwenzio. Hii sharia inawaunganisha wa islam wote hivyo hata kazin usishangae bos akiwa muislam kumpenda au toa upendeleo kwa muislma mwenzake... hiyo ni dini inataka hivyo... je waona picha ya 2026? Alamsiki
 
Kwani ni mgeni na nchi hii mswahili akikatiwa mrija hupiga kelele,pambania familia usipoteze muda na mambo yao yatakupotezea muda
 
Yule ajuza ana udini sana na amelithibisha hilo kwenye hili sakata la gwajima na ametia uzanzibari ndani yake, kwa kifupi ni mbwa koko tuu hana maana wala faida hata kidogo
 
Mkuu labda kuna kitu hujui kuhusu huyo afande uliemtaja. Yeye ndio muasisi wa ile kauli mbiu "Hakuna kuhama chama"
Kauli mbiu hii ilitumika kipindi cha Uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA. Watu wanavyo mzodoa sio wajinga.
Mkuu,

Mimi siongelei mtu, naongelea hoja.

Madeleka is a showboat. I know that for some time and I do not need you to tell me that. So I am not the Madeleka fanboy you imagine me to be.

But my point was not to elevate Madeleka. I have a more philosophical and nuanced point than elevating a mere person.

My poInt is that wabongo wengine walikuwa hawamjui Madeleka wakamuona kamanda mpiganaji atakayefia CHADEMA.

Which was wrong. Wabongo tu hata hawamjui, wameproject matakwa yao kwake. This is wrong.

My point ni kwamba wabongo wengi wana project fikra zao kwa watu baki bila hata kukubaliana nao. Watu ambao hata hawajawahi kukutana nao wakaongea.

Ndio hao wanalazimisha Fatma Karume aunge mkono No Reforms No Election, wakati Fatma mwenyewe anasema kifalsafa yeye siku nyingi sana amekuwa akishauri vyama vishiriki chaguzi, kawa na msimamo huo tangu ACT Wazalendo kikiwa chama kichanga takriban miaka kumi sasa.

Sasa mtu kashakuwa na huo msimamo kabla ya No Reforms No Elections haijaanza, mtasemaje kawabadilikia leo kwa kuwa anaendelea na msimamo wake huo huo?
 
Huyu nayeye ndo walewale!! Apuuzwe tu hana msimamo anataka nn🏹
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…