GE2025 Nini kimempata Fatma Karume?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Fatma ni mwanasiasa?
Kwani mwanasiasa ni nani ? Au unadhani wanasiasa n8 kadi ya chama tambua tofauti ya
1)mwanasiasa
2)mwana chama wa chama cha siasa ...
Kuwa mwana siasa ni kitendo cha mtu kujiusisha na mambo ya siasa kwa namna yoyote ile ...hivyo hata wapiga kura ni wanasiasa kwa hicho kitendo chao cha kwenda kupigia kura wana siasa.
 
Kwani na Wewe kelele unapiga za nini na ligi zizoisha wakati unajua ni haki yake kulingana na mtazamo na akili yake
Mimi napiga kelele kwa sababu mna ji contradict.

Mnapigania haki na demokrasia, halafu mtu akitumia haki yake na demokrasia kukataa No Reforms, No Election, mnamshambulia.

Hamuoni kuwa hii ni contradiction?
 
Fatma kinachomsumbua ni uzanzibari tu. hata Salum Mwalimu baada ya tu ya Mama kushika hatamu na yeye misimo yake yake ilihama jumla. tatizo Uzanzibar tu.
 
ACT miaka 10 iliyopita ndio ilikuwa imeanzishwa, haikuwa na watu wa kuifanya wasusie chochote, usitake kulazimisha. Ulitakiwa useme aliwashauri CUF na sio ACT boss wangu.

CUF wameinunua ACT baada ya CUF kuporwa na CCM. kigumu ni kipi kufahamu hapo?
 
Kuna kitu kimoja unakisahau pamoja na kuwa na Uhuru WA kuchagua upande. Kumbuka kunauchaguzi Kwa wakati Fulani na mazingira Fulani na taaluma yako lazima uonekane mwehu au umenunuliwa. Critical thinking. Swala la wakati huu na mazingira tuliyonayo unaweza simama Kwa watu ukasema okutoba tunatiki na kuzilinda kweri kabisa pamoja na kuwa na Uhuru wa kuchagua ni wako tukuoni kabisa kutoka Moyoni upo Sawa Kwa CCM hii kwamba utazilinda kulaaaaaq????
 
Sasa hapo ndipo pagumu kwa sababu kuna tofauti za kifalsafa. Kuna mtu mwingine anakwambia nyie ndio mpo upande mbaya kwa sababu mnasusia uchaguzi na hamuwezi kuuzuia. Bora mshiriki mkiibiwa mta document na kuonesha dunia hapa tumeibiwa kutakuwa na ushahidi wa ku discredit CCM.

Msiposhiriki kabisa mnawapa ushindi wa mezani CCM wa kupita bila kupingwa hata mkisema wameiba kura mkiulizwa wameiba kura ipi, wapi, hamuwezi kuweka ushahidi.
 

Chadema mumeshiriki mara ngapi uchaguzi kwa sheria hizi hizi?
 
Kilichofanyika
Kizimkazi kajiunganisha na family ya Karume ,kwakifupi wale kwasasa ni wanafamily moja so kutegemea kusikia tofauti ya tunachokisikia nilazima itakuwa ni ndoto ya kutisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…