comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,492
- 17,404
Anasubiri raisi atoke bara aanze uanaharakati
Unajua hawa wanawake Samiah Suluhu,Tulia Acksoni,Halima Mdee na Fatma karume wanalipeleka Taifa kubaya kama wanaume tutaendelea kuwa mabwege,machawa,na watu wasiojali mambo ya msingi.