Nini kimejificha nyuma ya Bunge kupitisha Sheria kuanzia mahabusu maalum za wauza unga?

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
Bunge limeridhia kuipa mamlaka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya (DCEA), uwezo wa kuanzisha mahabusu zake na masharti ya kumuweka mtu kizuizini kwa kuzingatia taratibu za kisheria kabla ya mtuhumiwa kufikishwa mahakamani.

Wachambuzi hebu tuitazameni hii Sheria iliyopitishwa na Bunge letu jana Septemba 14, 2022 ili tuone nini kimejificha kwenye sheria hii.

Je, ni kweli Mahabusu zilizopo sasa za Polisi na Magereza hazina uwezo wa kuwatunza hao mahabusu wa Dawa za kulevya hadi Mamlaka ya Dawa za kulevya ianzishe Mahabusu zake maalum na je miaka yote mapambano ya dawa za kulevya yalifanyikaje?

Au kuna nini kinataka kufichwa nyuma ya pazia la kuanzisha Mahabusu maalum za Mamlaka ya Dawa za kulevya na Kwanini hoja hii Ridhiwani Kikwete aliishikia bango sana bungeni wakati ni jambo ambalo haliko kwenye Wizara ya Ardhi anayoingoza.

Wazuoni na wajuzi tulijadili ili tumuombe Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan asiweke sahihi sheria hii ili irudi bungeni ichakatwe upya kwa kuwashirikisha wadau wote ikiwemo wananchi na Jeshi la Polisi.

Chanzo: Mwananchi Septemba 15, 2022
 
Ndio matumizi ya Tozo zetu hayo? kwamba Wauza madawa wawe na mahabusu zao.

Jazia nyama kidogo wamesema nini hasa umuhimu wa hilo jambo

3 Angels message
Mpina aliwakomalia kwanini hizo facility msijenge huko polisi au magereza kuliko kuanzisha mahabusu mpya hizo hela mnazo? Na kama mnazo kwanini msijenge magereza mpya maana kuna maeneo hayana magereza, je mamlaka nyingine kama pcccb, tawa nao wakija kuomba mahabusu zao mtawapa vipi abuses kwa watuhumiwa ila naona hoja zake zikatupiliwa mbali sheria imepita
Hayo Maswali ya Mpina nadhani yanapaswa kujibiwa...
 
Ndio matumizi ya Tozo zetu hayo..?? kwamba Wauza madawa wawe na mahabusu zao....

Jazia nyama kidogo wamesema nini hasa umuhimu wa hilo jambo
Japo sijasikia lengo lao lakimi kwa mtazamo wangu ni kupunguza uwezekano wa mahabusu wasiojihusisha na biashara hiyo kujiunga nayo, kwani wanapokuwa kwenye mahabusu moja huwa wanashirikishana uhalifu.
 
Tuwekee huo.muswada hapa tuupitie kipengele bin nukta
Ulisomwa jana Bungeni....Nanukuu

Mheshimiwa Spika, Ibara ya 13 pia inaweka masharti katika kifungu kipya cha 32 (4) na Kifungu Kipya cha 32 (5) ambavyo kwa pamoja, vinaipa Mamlaka uwezo wa kuanzisha mahabusu zake, na masharti ya kumuweka mtu kizuizini kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa katika sheria nyingine kabla mtuhumiwa kufikishwa mahakamani.
 
Hapo ndiyo itakuwa rahisi kuwarescue wanaotuhumiwa na kupoteza ushahidi hasa kwa watuhumiwa ambao wana connection na wakubwa maana mlolongo wa polisi mpk magereza ni mkubwa na tyr wengi watakuwa wameshafahamu

Kwa hiyo hii sheria imetungwa na wahusika tu na bunge kwa maelezo mazuri ooh mamlaka inahitaji kukaa nao ili kama walimeza wapewe dawa na kuangalia mwenendo wao mpk wazitoe jambo ambalo ni gumu wakiwa magereza au polisi

Mpina aliwakomalia kwanini hizo facility msijenge huko polisi au magereza kuliko kuanzisha mahabusu mpya hizo hela mnazo? Na kama mnazo kwanini msijenge magereza mpya maana kuna maeneo hayana magereza, je mamlaka nyingine kama pcccb, tawa nao wakija kuomba mahabusu zao mtawapa vipi abuses kwa watuhumiwa ila naona hoja zake zikatupiliwa mbali sheria imepita
 
Bunge limeridhia kuipa mamlaka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya (DCEA), uwezo wa kuanzisha mahabusu zake na masharti ya kumuweka mtu kizuizini kwa kuzingatia taratibu za kisheria kabla ya mtuhumiwa kufikishwa mahakamani.

Wachambuzi hebu tuitazameni hii Sheria iliyopitishwa na Bunge letu jana Septemba 14, 2022 ili tuone nini kimejificha kwenye sheria hii.

Je ni kweli Mahabusu zilizopo sasa za Polisi na Magereza hazina uwezo wa kuwatunza hao mahabusu wa Dawa za kulevya hadi Mamlaka ya Dawa za kulevya ianzishe Mahabusu zake maalum na je miaka yote mapambano ya dawa za kulevya yalifanyikaje?

Au kuna nini kinataka kufichwa nyuma ya pazia la kuanzisha Mahabusu maalum za Mamlaka ya Dawa za kulevya na Kwanini hoja hii Ridhiwani Kikwete aliishikia bango sana bungeni wakati ni jambo ambalo haliko kwenye Wizara ya Ardhi anayoingoza.

Wazuoni na wajuzi tulijadili ili tumuombe Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan asiweke sahihi sheria hii ili irudi bungeni ichakatwe upya kwa kuwashirikisha wadau wote ikiwemo wananchi na Jeshi la Polisi.


Chanzo: Mwananchi Septemba 15,2022
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya (DCEA) viongozi wake wanakuwa na ties nzuri sana na wauzaji unga hapa nchini tena wale wakubwa sana, kuipa hii taasisi hii power ni kurudi pale pale. wanawafahamu, watawalinda!
 
Watu wanatengeneza njia ya kula kuku kwa mrija

Wajinga ndio waliwao
Hapa tumepigwa na kitu kizito
Wauza ngada watakula maisha saafi wakiwa mahabusu ya uongo na kweli
 
Watu wanatengeneza njia ya kula kuku kwa mrija

Wajinga ndio waliwao
Hapa tumepigwa na kitu kizito
Wauza ngada watakula maisha saafi wakiwa mahabusu ya uongo na kweli
Ni muhimu kufahamu zaidi na ikiwezekana wananchi wajue kwa kina
 
Bunge limeridhia kuipa mamlaka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya (DCEA), uwezo wa kuanzisha mahabusu zake na masharti ya kumuweka mtu kizuizini kwa kuzingatia taratibu za kisheria kabla ya mtuhumiwa kufikishwa mahakamani.

Wachambuzi hebu tuitazameni hii Sheria iliyopitishwa na Bunge letu jana Septemba 14, 2022 ili tuone nini kimejificha kwenye sheria hii.

Je, ni kweli Mahabusu zilizopo sasa za Polisi na Magereza hazina uwezo wa kuwatunza hao mahabusu wa Dawa za kulevya hadi Mamlaka ya Dawa za kulevya ianzishe Mahabusu zake maalum na je miaka yote mapambano ya dawa za kulevya yalifanyikaje?

Au kuna nini kinataka kufichwa nyuma ya pazia la kuanzisha Mahabusu maalum za Mamlaka ya Dawa za kulevya na Kwanini hoja hii Ridhiwani Kikwete aliishikia bango sana bungeni wakati ni jambo ambalo haliko kwenye Wizara ya Ardhi anayoingoza.

Wazuoni na wajuzi tulijadili ili tumuombe Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan asiweke sahihi sheria hii ili irudi bungeni ichakatwe upya kwa kuwashirikisha wadau wote ikiwemo wananchi na Jeshi la Polisi.

Chanzo: Mwananchi Septemba 15, 2022
Acha kuuza drugs kijana
 
Wazuoni na wajuzi tulijadili ili tumuombe Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan asiweke sahihi sheria hii ili irudi bungeni ichakatwe upya kwa kuwashirikisha wadau wote ikiwemo wananchi na Jeshi la Polisi.
wasiwasi wako nini, hata kama ingekuwa ni kuwapiga risasi?
Yaelekea kwenu kuna watu wanaofanya hii biashara, napendekeza WAUAWE
 
Back
Top Bottom