Kwakweli wengine tumeamua kuacha beer! local beer hazina viwango vinavyoridhisha.Mh! Labda watu wamehamia kwenye Ile tamutamu flyingfish..
Ngumu ni hatar kwa afya kama utashindwa kifuata taratibu za unywaji wake (hasa chakula)watu saiz wanaishi na ngumu
Ngumu ni hatar kwa afya kama utashindwa kifuata taratibu za unywaji wake (hasa chakulawatu saiz wanaishi na ngumu
Mkuu niko tbt sijajua uko tbt ipi lakini hapa Kisukulu hakuna, na ambapo zipo ni chache bei Tsh 5kHuku Tabata bar zote hizo bia zimejaa tele, wapi huko zilikoadimika?
Njoo Mazembe Segerea mwisho. Pia hapo Segerea lounge zipo nimekunywa hapo nusu saa iliyopitaMkuu niko tbt sijajua uko tbt ipi lakini hapa Kisukulu hakuna, na ambapo zipo ni chache bei Tsh 5k
Pia kama uko Kisukulu nenda Obama hapo au Oxygen pale zamani mianziniMkuu niko tbt sijajua uko tbt ipi lakini hapa Kisukulu hakuna, na ambapo zipo ni chache bei Tsh 5k
wewe umekuja kulinda duniaNgumu ni hatar kwa afya kama utashindwa kifuata taratibu za unywaji wake (hasa chakula
Nimeenda hapo windhock hakuna, jana nilikunywa Obama 4500, leo hakuna, wote wana lalamika kuwa upatikanaji wa bizo beer umekuwa mgumu, na ndio msingi wa mada yanguPia kama uko Kisukulu nenda Obama hapo au Oxygen pale zamani mianzini
Ni kama Budweiser sehemu nyingi kuipata ni ngumu, ukipata bei wanapaisha!Nimeenda hapo windhock hakuna, jana nilikunywa Obama 4500, leo hakuna
Kweli kabisa. Sijui nini kimetokeaNi kama Budweiser sehemu nyingi kuipata ni ngumu, ukipata bei wanapaisha!
Hizo zipo kwa wingiCastle Lite.!
Mimejibu Swali..!Hizo zipo kwa wingi
Wanehamia kwa tbl products.Tumia cha nyumbani jenga uchumi wetu.Mh! Labda watu wamehamia kwenye Ile tamutamu flyingfish..