Meli kubwa iliyobeba magari ya Dangote imetia nanga bandari ya Mtwara,kiasi kwamba imeshangaza Dunia kuona kwamba,kumbe mbali ya bandari ya Dar, Tanzania tuna bandari nyingine yenye uwezo wa kuingiza meli kubwa zaidi.
Nini kimefanya bandari hii kutotumiwa na meli kubwa kwa miaka yote hii?
Nini kimefanya bandari hii kutotumiwa na meli kubwa kwa miaka yote hii?