RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,835
Ikija meli ya magari kutoka Japan, ina magari 300, kati ya hayo 250 yanakuwa ya wamiliki wa Dar yaliyobaki 50 ndio nchi jirani na mikoani.
Ikija meli ya makontena 500, 400 yanakuwa ya watu wa Dar,100 yaliyobaki nchi jirani na mikoani. Sasa meli kama hizi zitashusha Mtwara au Tanga?
Ikija meli ya makontena 500, 400 yanakuwa ya watu wa Dar,100 yaliyobaki nchi jirani na mikoani. Sasa meli kama hizi zitashusha Mtwara au Tanga?